TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, December 11, 2015

MISSY TEMEKE ALIVYONOGESHA USIKU WA ANNE KANSIIME

Mbunifu wa vivazi vya KWETU Fashion Missy Temeke (kati) akipata ukodak moment na walimbende wake siku ya Ijumaa Novemba 27, 2015 alipofanya onensho la vivazi vya kampuni yake na kunogesha show ya mchekeshaji maarufu kutoka Uganda Anne Kansiime alipowavunja mbavu wanaDMV katika kusherehekea wiki ya Thanksgiving.
Missy T akimpa tano ya shavu mchekeshaji maarufu anayechukua vichwa vya habari kwa hivi sasa Duniani Anne Kansiime siku ya Ijumaa Novemba 27, 2015 siku mchekeshaji huyo alivyoipagawisha DMV.
Missy T katika picha ya pamoja na Asha Nyang;anyi na Nassibu Sareva kushoto ni mdhamini wa pendo lake kipenzi mume wake Bwn. Mohamed Matope.


No comments:

Post a Comment