TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, September 25, 2011

BONANZA LA UJIRANI MWEMA STAKISHARI LEO

Timu ambazo tayari zimefika ni pamoja na Kitunda na Ulongoni ambazo mchezo unaendelea, Mbagala ambayo itaingia uwanjani muda mfupi kucheza na timu ya Makangalawe kabla ya Timu za Tabata dhidi ya Vituka kuinmgia kupepetana, mchezo mwingine ambao unatazamiwa kuwa mkali kutokana na Timu Mwenyeji ambao ni Staki shari kuikaribisha Timu ya Wadhamini Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) kUPITIA KINYWAJI CHAKE CHA KILIMANJARO.

Michezo Mingine itakayofuatia ni kati ya Timu za Kunduchi, Charambe, Bandari, Kigamboni, Skopioni, na Vingunguti 

Kwamujibu wa Waandaji wa Mashindano hayo Meneja Emmanuel Urembo amesema kuwa Kila Timu imepangwa kucheza mchezo mmoja kutokana na kubanwa na Ratiba ya mashindano na Mshindi wa Kila mchezo atapatiwa zawadi kutoka kwa wadhamini wa michezo hiyo

Lengo kubwa la mashindano ni kuimarisha wachezaji wa zamani, kuimarisha na kukuza vipaji vya wanamichezo kupitia wachezaji hao ambao kutokana na kutambua Soka ni chachu ya kupatikana kwa wachezaji ikiwa ni sehemu ya Burudani kutokana namajukumu ya kila siku.

Mchezo uliopo Dimbani kwa sasa Timu ya Ulongoni Inaongoza kwa Mabao 3-0 ambayo yamepachikwa kipindi cha kwanza na bado mpira Unaendelea isipokuwa mchezo ni mzuri na timu zote zinashambuliana kwa zamu.









No comments:

Post a Comment