TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, May 1, 2012

SHEREHE ZA MEI MOSI ZAFANYIKA ZANZIBAR


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk
.Ali Mohamed Shein,akizungumza na wanayakazi wa Sekta mbali mbali za
Serikali na Sekta Binafsi wakati wa Sherehe za Maadhimisho ya Kilele
cha Siku ya Wafanyakazi Duniani (MEY DAY)zilizofanyika jana katika
ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja,(kushoto) Mwenyekiti wa
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Zanzibar,Zahrani Mohamed
Nassor,(kulia) Katibu Mkuu Kiongozi Dk. Abdulhamid Yahya Mzee na
Waziri wa Kazi,Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika Haroun Ali
Suleiman, {Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.}
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk
.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi   Fedha tasilim Margreth Peter Mathew
wa Nelia Hotel & Resort Zanzibafr, Shilingi za Kitanzania Laki
Saba,(700,000/=)  kupitia Chama cha wafanykazi (CHODAU) akiwa katika
miongoni mwa wafanyakazi bora kwa mwaka 2012,wakati wa sherehe za siku
ya wafanyakazi Duniani zilizofanyika leo katika ukumbi wa Salama
Bwawani Hotel Mjini Unguja. {Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.}
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk
.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi   Fedha tasilim Kidawa Juma said
Shilingi za Kitanzania Laki Mbili na Hamsini Elfu (250,000/=)
Mfanyakazi Bora,wa Halmashauri  ya Wilaya ya Magharibi kupitia Chama
cha wafanykazi (ZALGWU) akiwa katika miongoni mwa wafanyakazi bora kwa
mwaka 2012,wakati wa sherehe za siku ya wafanyakazi Duniani
zilizofanyika leo katika ukumbi wa Salama Hotel Bwawani. {Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.}
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati ) akishikana mikono na viongozi wakati
wa Sherehe za  kilele cha Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi
Duniani,na kuimba wimbo wa (Solidariti Foreva) wakinyanyua juu mikono
kuonesha mshikamano katika Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja
zilizofanyika sherehe hizo  leo.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati ) akishikana mikono na viongozi wakati
wa Sherehe za  kilele cha Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi
Duniani,na kuimba wimbo wa (Solidariti Foreva) wakinyanyua juu mikono
kuonesha mshikamano katika Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja
zilizofanyika sherehe hizo  leo.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
 

No comments:

Post a Comment