TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, May 1, 2012

SHEREHE ZA WAFANYAKAZI MEI MOSI MKOANI DAR ES SALAAM LEO


Kaimu mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Bi Mwnantum Mahiza akitoa hotuba wakati wa sherehe za MEI MOSI leo zilofanyika katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam ambapo kitaifa sherehe hizo zimefanyikia mkoani Tanga mgeni rasmi akiwa Rais  wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Kikwete.Kushoto ni Mwenyekiti wa TUCTA mkoa wa Dar es salaam Bw Hassan Kaumo.
Wafanyakazi kutoka Vyama mbalimbali vya wafanyakazi wakiwa wamefurika katika viwanja vya mnazi mmoja kusherekea MEI MOSI leo huku watu wengine wakijaribu kuingia katika viwanja hivyo kama wanavyoonekana katika uzio.
 Baadhi ya wafanyakazi wakiwa katika viwanja vya Mnazi Mmoja wakisubiri kuanza kwa sherehe hizo jijini Dar es salaam.
Unaweza ukafikiria huyu ni mlemavu Lah. siyo mlemavu ila kijana huyu aliyetambulika kwa jina la Hashimu Ibrahimu aliamua kutoa burudani kwenye sherehe za Mei Mosi ili kujipatia kipato.kama usemi unaosemwa mgeni njoo mwenyeji apone.

No comments:

Post a Comment