TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, June 26, 2013

Club Sansiro kukamata Inter city jumamosi 29 mwezi huu

Club Sansiro imeandaa Onyesho la Urembo Miss Inter  university 2013 itakayofanyika katika Ukumbi wa Sansiro kuanzia majira ya saa mbili Usiku na kuendelea, Shindano hili la Vyuo Vikuu ni Mwendelezo wa Mashindano mengine ambayo tayari yamefanyika katika mijin ya Dodoma na Mwanza mapema mwishoni mwa Mwezi May.

Akizungumzia Maandalizi Mwandaaji wa Mkoa wa Dar es Salaam, Fredy Kimiti amesema kwamba shindano hili katika mkoa wa Dar ni changamoto ambayo itaanza mapema kwa wanafunzi wa Vyuo vya jiji la Dar es Salaam kushindana katika Mbio(Riadha) kwa wanaume na wanawake.

na kwamba mashindano kwa upande wa Riadha yataanza Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam kuelekea Leaders Club ambako pia kutakuwapo na Changamoto ingine ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Kutimuana katika Mchezo wa Mpira wa MIGUU.

Washindi wote katika Sanaa hizo wataungana na Washindi wengine kutoka kanda zote za Tanzania katika kinyang'anyiro cha kuwasaka washindi wa Taifa wa Vyuo Vikuu katika Riadha, Soka na Urembo.

No comments:

Post a Comment