TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, June 28, 2013

MASHABIKI SIMBA WAJAZANA KUISHUHUDIA TIMU YAO KINESI DAR ES SALAAM.

 Mashabiki wa Timu ya Soka ya Simba ya Jijini Dar es Salaam, wakifuatilia kwa Makini Mazoezi ya Timu hiyo wakati wa Usaili wa Wachezi na Maandalizi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara katika Uwanja wa Kinesi Dar es Salaam
 Mashabiki wa Timu ya Soka ya Simba ya Jijini Dar es Salaam, wakifuatilia kwa Makini Mazoezi ya Timu hiyo wakati wa Usaili wa Wachezi na Maandalizi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara katika Uwanja wa Kinesi Dar es Salaam
 Basi la abiria Daladala linalofanya kazi ya Usafirishaji Ubungo Mbezi, likiwa katika hali ya kusababisha msongamano wa magari eneo la Kimara kutokana na Kuishiwa Mafuta wakiwa katika mzunguko wa kusafirisha abiri, kitendo ambacho pia kilikuwa kero kwa abiria waliokuwa wakiwahi makazini, hali ambayo pia usababisha Ajali kutokana na kuharibikia katikati ya barabara.
 Washiriki wa Mashindano ya Miss Inter University Dar es Salaam, wakiwa katika mazoezi ya katika Ukumbi wa Sansiro Dar es Salaam leo kujiwinda na Onyesho litakalofanyika kesho(Leo) katika Ukumbi huo wa Sansiro, washindi wataungana na washindi wa kanda zingine kuunda kikosi cha Tanzania katika mashindano ya Vyuo Vikuu Tanzania(Tanzania ambassador of Democracy 2013)
 Wachezaji wa Timu ya Soka ya Simba wakipanga mipira katika Moja ya Mazoezi ya Kupiga Mashuti, kwenye mazoezi ya timu hiyo katika uwanja wa Kinesi Dar es Salaam leo
 Wachezaji wa Timu ya Soka ya Simba wakipanga mipira katika Moja ya Mazoezi ya Kupiga Mashuti, kwenye mazoezi ya timu hiyo katika uwanja wa Kinesi Dar es Salaam leo
Washiriki wa Mashindano ya Miss Inter University Dar es Salaam, wakiwa katika Pozi  wakati wa mazoezi katika Ukumbi wa Sansiro Dar es Salaam leo kujiwinda na Onyesho litakalofanyika june 29 katika Ukumbi huo wa Sansiro, washindi wataungana na washindi wa kanda zingine kuunda kikosi cha Tanzania katika mashindano ya Vyuo Vikuu Tanzania(Tanzania ambassador of Democracy 2013).

No comments:

Post a Comment