TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, June 18, 2013

KAZI ZA WASANII ZIPEWE KIPAUMBELE-WADAU WA SANAA WASEMA

Watu wote wanao fanya kazi za kuandaa matamasha na Burudani mbalimbali wametakiwa kuwapa haki zao wasanii wote wanaofanya kazi za Sanaa mbalimbali hapa nchini, hayo yamesemwa na baadhi ya wadau wa Muziki na Sanaa mbalimbali kutokana na wasanii wachanga kutopewa haki zao mara baada ya kufanya shuguli zao jukwaani.Pichani ni baadhi ya Vikundi vya Sanaa wakiwa katika moja ya Majukwa ya kazi zao.
(Picha kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania)

No comments:

Post a Comment