TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, June 20, 2013

MATUKIO KATIKA MITAA YA JIJI LETU DAR ES SALAAM.

 Mcheza Shoo wa Mashujaa Musica, Mdogo wa Nyakwela, akibadili maarifa kwa kuburudika na mchezo wa Pool
 Mkazi wa jiji la Dar es Salaam, akiwa kauchapa Usingizi majira ya saa tisa usiku katika mabanda ya wafanyabiashara huko Vingunguti, hali inayoonyesha ni kwa kiasi gani ugumu wa maisha unavyowasumbua vijana mbalimbali hapa nchini, Serikali iangalie namna ya kupunguza Ukali na Ukata mbalimbali nili kuondokana na hali hii.
 Mtoto Callen Paul Siboka, anayetafsiliwa kuwa Mtoto mwenye akili nyingi ukilinganisha na waotot wengine, ni mkazi wa jiji la Dar es Salaaam.
Mfadhili wa Wanamuziki wa Mashujaa Bendi, akijaribu kuelezea kikubwa kinachomgusa kusaidia wanamuziki kwa kiasi chote katika maisha haya ya kila siku.
(Picha Zote kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania).

No comments:

Post a Comment