TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, June 20, 2013

MASHUJAA MUSICA YAPAGAWISHA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM, WAMIMINIKA vINGUNGUTI- LEO NI SANSIRO SINZA

 Shabiki wa Musiki wa Dance na Mkereketwa wa Mashujaa Musica, China, akisakata Rhumba
 Wacheza Shoo wa Bendi hiyo(kutoka kushoto) , Veronica Deogratius , Koku Kibangu, Suzy Manzaka, na Sweety Beby, wakipagawisha mashabiki
 Wanamuziki wa Mashujaa Musica, wakicheza wakati wa Onyesho hilo, kutoka kulia) Raja Radha, Pasia Bundansi(Kengele), Masooud na Jado Fid, 
 Jado Fid
 Rais wa Bendi Mkongwe, Charles Baba, akipagawisha mashabiki wake
 Rais wa Bendi ya Mashujaa Charles Baba, akitumia mwanya pia kuwasikiliza mashabiki wake kile wanachotaka(kushoto ni Shabiki nguli wa Bendi hiyo- AISHA MATATA
 Mashabiki waliojitokeza katika onyesho hilo wakijitokeza kuingia kusakata Rhumba.
 Rais wa Bendi hiyo Charles Baba na Masoud wakionyesha Pozi baada ya kazi kubwa
 Shabiki na Moja ya wafadhili wa Mashujaa Bendi, Mzee wa Vingunguti, akiwa katika moja ya machafuzi katika uwanja wa Mashujaa Pub. kushoto ni DJ'S mkali wa Mashujaa. kijana wa Kihiyo.
 Mkali wa Music, wa Bendi ya Mashujaa akionyesha Vidole 5 kama ishara ya TUZO tano.
 Masouud bingwa wa kuimba, akiwapa raha mashabiki wake katika ukumbi wa Mashujaa Pub
Mkali wa kucheza Tanzania na Afrika nzima, Star wa kunengua, Sweety Baby akiwa katika Onyesho la Jana katika Ukumbi wa Mashujaa Pub.(Picha Zote kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania).

No comments:

Post a Comment