TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, December 20, 2013

IDDY MNYEKE AMPANIA COSMAS CHEKA DESEMBA 31

Bondia Iddy Mnyeke  akipambana na Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala  Amana CCM Dar es salaam mabondia hawo watapanda ulingoni kuwakabili wapinzani wao ambapo Mnyeke atacheza na Cosmas Cheka na King class mawe atazidunda na Mohamed Kashinde desemba 31 katika ukumbi wa msasani klabu  kulia ni kocha Mkongwe Habibu Kinyogoli ‘Masta’ Picha na BLOG YA SUPER D

Na Mwandishi Wetu 
BONDIA Iddy Mnyeke  yupo katika mazoezi mazito akijiandaa na mpambano wake na Cosmas Cheka utakaofanyika desemba 31 katika ukumbi wa msasani klabu jijini ar es salaam 
 
akizungumzia mpambano huo mnyeke amesema cheka ni mtoto mdogo sana anazani anaweza kusafiria nyota ya kaka yake ajue ameingia anga nyingine hivyo ata kiona cha mchema kuni kwa  mimi sio kama mabondia aliewai kuwashinda  
Mnyeke ambaye anafanya mazoezi katika kambi ya ilala jijini Dar es salaam ameongeza kwa kusema siku hiyo watu waje kwa wingi wangalie anavyo mchakaza na kuongeza kuwa waje yeye na kaka yake ili apate msaada wakati atakapo mwangusha chini kwa ngumi kali misri ya nondo 
ambazo zitakazo msambalatisha raundi za awari kwani yeye ni cha mtoto kwake

Katika mchezo huo kutakuwa na michezo mingine ambapo  bondia  Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’  ataoneshana ubabe na Mohamed Kashinde,Antony Mathias akizipiga na Fadhili Majiha katika mchezo mwingine ni kati ya Fransic Miyeyusho wa Tanzania akizichapa na David Chalanga kutoka Kenya 
Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile

No comments:

Post a Comment