TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, December 20, 2013

WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS IKULU NA UTAWALA BORA ZANZIBAR AWEKA JIWE LA MSINGI LA KITENGO KIPYA CHA UTIBABU WA UTI WA MGONGO NA UBONGO

01 (2) 
 Jengo jipya la kitengo cha matibabu ya Uti wa mgongo na Ubongo linalojengwa kwa mashirikiano ya Serekali ya Spen na ya Zanzibar.03 (1) 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Mhe. Mwinyi Haji Makame (wakatikati) akiongozana na viongozi mbalimbali kuweka jiwe la msingi la kitengo cha matibabu ya Uti wa mgongo na Ubongo katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, sherehe hiyo imefanyi Mnazi mmoja Hospitali Mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment