TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, March 26, 2016

Papa ashtumu Ulaya kwa kuwapuuza wahamiaji


Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amesema kuwa tabia za watu wa Ulaya za kuwapuuza wahamiaji, ni za kutia wasiwasi.
Katika sala za kuadhimisha siku ya aliyouawa mwanzilishi wa Imani ya Kikristo, Papa alisema kuwa Bahari zimegeuka kuwa mahali pa mazishi ya maelfu ya watu wanaohatarisha maisha yao kila siku kufika Ulaya.
Akihutubia waumini katika Roma, alishutumu tabia za kutumia dini katika kutekeleza visa vya ugaidi.

Wahamiaji
Aliwashutumu pia mabwenyenye wanaotengeneza na kuuza silaha katika juhudi za kuchochea ghasia ili wanufaike.BBC

No comments:

Post a Comment