TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, June 20, 2013

MASHUJAA MUSICA YAPAGAWISHA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM, WAMIMINIKA vINGUNGUTI- LEO NI SANSIRO SINZA

 Shabiki wa Musiki wa Dance na Mkereketwa wa Mashujaa Musica, China, akisakata Rhumba
 Wacheza Shoo wa Bendi hiyo(kutoka kushoto) , Veronica Deogratius , Koku Kibangu, Suzy Manzaka, na Sweety Beby, wakipagawisha mashabiki
 Wanamuziki wa Mashujaa Musica, wakicheza wakati wa Onyesho hilo, kutoka kulia) Raja Radha, Pasia Bundansi(Kengele), Masooud na Jado Fid, 
 Jado Fid
 Rais wa Bendi Mkongwe, Charles Baba, akipagawisha mashabiki wake
 Rais wa Bendi ya Mashujaa Charles Baba, akitumia mwanya pia kuwasikiliza mashabiki wake kile wanachotaka(kushoto ni Shabiki nguli wa Bendi hiyo- AISHA MATATA
 Mashabiki waliojitokeza katika onyesho hilo wakijitokeza kuingia kusakata Rhumba.
 Rais wa Bendi hiyo Charles Baba na Masoud wakionyesha Pozi baada ya kazi kubwa
 Shabiki na Moja ya wafadhili wa Mashujaa Bendi, Mzee wa Vingunguti, akiwa katika moja ya machafuzi katika uwanja wa Mashujaa Pub. kushoto ni DJ'S mkali wa Mashujaa. kijana wa Kihiyo.
 Mkali wa Music, wa Bendi ya Mashujaa akionyesha Vidole 5 kama ishara ya TUZO tano.
 Masouud bingwa wa kuimba, akiwapa raha mashabiki wake katika ukumbi wa Mashujaa Pub
Mkali wa kucheza Tanzania na Afrika nzima, Star wa kunengua, Sweety Baby akiwa katika Onyesho la Jana katika Ukumbi wa Mashujaa Pub.(Picha Zote kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania).

Tuesday, June 18, 2013

KAZI ZA WASANII ZIPEWE KIPAUMBELE-WADAU WA SANAA WASEMA

Watu wote wanao fanya kazi za kuandaa matamasha na Burudani mbalimbali wametakiwa kuwapa haki zao wasanii wote wanaofanya kazi za Sanaa mbalimbali hapa nchini, hayo yamesemwa na baadhi ya wadau wa Muziki na Sanaa mbalimbali kutokana na wasanii wachanga kutopewa haki zao mara baada ya kufanya shuguli zao jukwaani.Pichani ni baadhi ya Vikundi vya Sanaa wakiwa katika moja ya Majukwa ya kazi zao.
(Picha kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania)

SAFARI YA MAZIKO YA NDUGU YETU MPENDWA LANGA KILEO-KINONDONI DAR ES SALAAM

 Mwili wa Langa Kileo ukiwa katika Kaburi muda mfupi kabla ya maziko.
 Wazazi wa Langa wakiwa katika masikitiko wakati wa maziko
 Jeneza la Mwili wa Msanii wa Muziki Langa Kileo
Wazazi wa Langa wakitoa Heshima za Mwisho(kuweka Udongo) wakati wa kufukia Mwili wa Mpendwa Mwana wao  na ndugu yetu Mwanamuziki Langa Kileo katika Makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam
 Baadhi ya ndugu na Marafiki wa Karibu wakitoa Heshima za Mwisho kwa kuweka Udogo katika Jeneza wakati wa maziko ya Langa.

 Ndugu na Rafiki wa Mwanamuziki Langa wakiwa katika Masikitiko wakati wa kuuzika mwili wa Marehemu
 Ndugu wa Mwanamuziki Langa akiwa katika Masikitiko makubwa wakati wa maziko ya ndugu yake
 Wakereketwa na mashabiki, ndugu na jamaa wakishuhudia Mwili wa Langa ukiingizwa Kaburini
 Baadhi ya wasanii wakiwa makundi makundi katika kujadili ili na lile wakati wa maziko
 Vijana wakazi  wa Dar es Salaam na Mashabiki wa Muziki wa ndugu Langa wakijadili jambo wakati wa maziko ya Mwanamuziki huyo

Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliojitokeza kusindikiza mwili wa ndugu yetu Langa katika Makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam.
(Picha Zote kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania).

Saturday, June 15, 2013

Siku ya Kuzaliwa Mtoto Erasmus Richard Lunaga- Tegeta jijini Dar es Salaam.

 Hapa ikionekana keki aliyoandaliwa na wazazi wake
 Shangazi yake Erasmus, Bi. Rosemary Lunaga, akiwapongeza kwa mtindo wa kuwapa Chakula watoto
 Mtoto Erasmus akiwa nyuma ya Keki
 Mtoto Erasmus Lunaga, akiwa na watoto wenzake
 



Shangazi yake Erasmus Rose Lunaga, akipozi baada ya kuwapa Chakula Wageni katika Hafla hiyo.
(Picha Zote na Redmptus Mkama)

ILIKUWA NI SIKU AMBAYO MWILI WA MAREHEMU ROBERT MAKIMA- UKISAFIRISHWA UKEREWE KWA MAZISHI

Jeneza la Mwili wa  Mzazi Mlezi wa  Redemptus Mkama, likiwa njiani(ndani ya Meli) kuelekea Ukerewe kwa Maziko, pembeni mwa jeneza ni Redemptus Mkama.
 Mjane wa Marehemu(kushoto) Sabina Kaliba na Wifi yake- Spelansia Laurent, wakiwa kwenye Meli.
 Watoto wa Marehemu kutoka kushoto wa pili ni Veronica Robert, Mjukuu na Binti wa Marehemu , Editha Robert.
 Mwili wa Marehemu Robert Ukishushwa katika Meli baada ya kuwasili katika kisiwa cha Ukerewe
 Wafiwa wakiwa katika Msiba huo
Wajukuu wakiweka Mishumaa kuhitimisha Safari ya Mwisho.
(Picha Zote na Redemptus Mkama)

RAIS wa Marekani, Bw. Barack Obama, atakuwa na ujumbe wa watu 700 katika ziara yake ya siku mbili nchini Tanzania kuanzia Julai Mosi mwaka huu.


Askari Polisi akimdhibiti kijana ambaye hakufahamika jina (wa tatu kulia)kwa kutuhumiwa kuiba kompyuta ya kubebe 'laptop' na  hela ndani ya gari lililokuwa limeegeshwa katika eneo la Hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam juzi. Picha na Pete Twite

Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Bi. Liberata Mulamula akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dar es Salaam jana kabla ya mkutano wa kujadilikuhusu maadhimisho ya Miaka 50 ya Umoja wa Afrika (AU) yatakayofanyika Addis Ababa, Ethiopia. Picha na Asia Mbwana
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Posta, Prof. Lehice Rutashobya  (katikati) akiteta jambo na Ofisa Mtendaji Mkuu wa benki hiyo, Bw. Sabasaba Moshingi (kushoto) pamoja na Mkurugenzi wa Shirika la Posta, Bw. Hamisi Mndeme, baada ya kumalizika mkutano wa mwaka wa wanahisa wa benki hiyo Dar es Salaam jana. Picha na Prona Mumwi
========================================================
RAIS wa Marekani, Bw. Barack Obama, atakuwa na ujumbe wa watu 700 katika ziara yake ya siku mbili nchini Tanzania kuanzia Julai Mosi mwaka huu. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Bernard Membe, aliyasema hayo Dar es Salaam jana wakati akizungumza na waandishi wa habari. Alisema kutokana na ziara ya kiongozi huyo, alitoa wito kwa wafanyabiashara wenye hoteli, migahawa, magari ya kukodisha waziboreshe biashara zao ili Wizara hiyo iingie mkataba nao. Aliongeza kuwa, akiwa nchini, Bw. Obama atafanya mkutano na viongozi wa nchi zinazoendelea kwa kuzungumzia umuhimu wa sayansi na teknolojia katika nchi zao.“Ugeni huo ni mkubwa, ujio wa kiongozi huyu utaisaidia nchi kupata pesa za Miradi ya Changamoto za Milenia (MCC), ambazo zitatumika katika maji, elimu na barabara. “Pia Rais Obama atazungumzia jinsi nchi za Afrika zitakavyopata umeme wa kutosha tofauti na sasa...kimsingi tumejiandaa katika mapokezi yake hata kwenye mavazi,” alisema Bw. Membe. Hata hivyo, Bw. Membe alisema tayari baadhi ya ujumbe ambao ataongozana nao umeanza kuwasili nchini kwa matayarisho. Katika hatua nyingine, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Bw. John Haule, alisema Umoja wa Nchi za Afrika (AU), kesho unafikisha miaka 50 tangu kuanzishwa kwake. Alisema maadhimisho hayo yatafanyika Makao Makuu ya umoja huo Addis Ababa, nchini Ethiopia ambapo nchini Tanzania, yatafanyika Viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam. Aliongeza kuwa, mgeni rasmi katika maadhimisho hayo nchini atakuwa Bw. Membe ambaye atakuwa na mabalozi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania. Bw.Haulea lisemaumoja huoulianza mwak a1963 a mbapohadi sasamafa nik iowaliyoya patani onge zekolawa nachamakuto ka32hadi54,kupat ikanakw auhuruwa nchi ya S udanKusin i,vio ngozi wanawak ebaraniAf rikanawananchiku waheshi muviong ozi wanchi zao .A lisemambali ya mafanikio waliyopa tapiakunachangamotozilizopoka tika nchi wanachama kamatis hiolaugaidi, uh aramiana hali te tekati ka baadhiyanchi kam aSomalia na Mali.

ZOOM TANZANIA- INAKUPA FURAHA WAKATI WOTE.- TANGAZA PAMOJA NA ZOOM TANZANIA