TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, April 13, 2013

The White House, Washington

The White House, Washington
 

Hello, everybody --
Each week, like many presidents before me, I sit down to record a short address to the nation. It's something I take very seriously because it offers a chance to bring focus to an issue that needs to be part of the national dialogue.
But today, I've asked someone to take my place.
Francine Wheeler is a mother. She and her family live in Newtown, Connecticut. Four months ago, her six year-old son Ben was murdered in his elementary school, along with 19 other children and six brave educators.
Joined by her husband David, Francine shares her perspective about the steps we can take to reduce gun violence and prevent the kind of tragedy she understands all too well.
It's a message that every American should hear:
This week, because people like Francine and like you got involved, the U.S. Senate took a step forward on commonsense reforms to reduce gun violence.
And that's good. Because this shouldn't be about politics. This is about doing the right thing for families that have been torn apart by gun violence, and for all our families going forward.
But we've got a lot of work to do before Congress finishes the job.
So if you believe that we can take sensible steps to protect more of our kids from gun violence and protect our Second Amendment rights, stand up and join us.
Just visit WhiteHouse.gov to get started:
Thanks,
President Obama

 
 
  This email was sent to missdemokrasiatanzania@yahoo.com.

TANGAZO

KASSAM DHALLA & SONS LTD
Grand Opening Special
8th April - 13th May 2013
+255 22 2113422 | +255 716 048 747 | +255 784 391 622
 

_________________________________________________

You are currently subscribed to the HapoPapo Tanzania Mailing List as missdemokrasiatanzania@yahoo.com

TOA MAONI YAKO JUU YA TUKIO AMBALO LIMEKUFURAHISHA AMA KUKUCHUKIZA KATI YA HIZI PICHA

 Mnara wa Mwenge wa Uhuru ambao upo Mnazi Mmoja
 Msanii wa Sarakasi yupo Morogoro
 Mnazi Mmoja ambao upo Jijini Dar es Salaam, ambao ndiyo wenye jina la Mnazi mmoja na. upo Mnazi mmoja kama ilivyo eneo husika, unapatikana eneo la makumbusho umehifadhiwa  na tangu enzi na enzi mmnazi huu Upo
 Mrembo wa wiki wa Blog, ambaye ameng'ara kuliko Wengine na Kuonekana mara Nyingi zaidi ndani ya Blogs hii.(Miss Utalii Dar es Salaam 2)
 Mchoraji ambaye pia amechorwa na Blog hii, wakati akichora , jijini  Dar es Salaam
Barabara ya njia mbili ambayo magari kama haya yaliweweseka  kupishana na kuziba njia yote, eneo la Tanesco Ubungo njia   
                                          ya Ubungo Maziwa

 Staili  ya Nywele za Miss Utalii Manyara ambaye pia ni mshindi wa Tuzo ya Kipaji katika Mashindano ya Miss Utalii Tanzania 2012/13
 Barabara ya Kinondoni ambayo Foleni yake inaonekana hivi, na wakati huo kibao cha kutambulisha Barabara hiyo kikiwa kimesahaulika hivyo unavyoona
Msanii wa Komed, na Midevu kama Osama, yupo Morogoro na Miondoko ya Kijoti.
(Picha Zote kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania).

Friday, April 12, 2013

MAISHA NI SAFARI NA MUZIKI, NDIVYO ILIVYOKUWA KWA WAREMBO WA MISS UTALII WAKATI WAKIWA SAFARINI WAKATI WA ZIARA YA KUTEMBELEA HIFADHI MBALIMBALI ZA TAIFA.

 Miss Utalii Dar es Salaam 2(kati) Miss Utalii Mbeya(kushoto) na Miss Utalii Dar 1
 Warembo wakiimba Nyimbo mbalimbali
 wakiimba na kucheza
 Miss Utalii Manyara na Mshindi wa Talent,(kushoto) akiongoza awamu hii kufurahi kwa kuimba na kucheza
 Furaha yao aikuishia hapo maana iliwachukua zaidi ya masaa 2
 Warembo wakipagawa na Muziki
 Siku zote raha jipe Mwenyewe maana kuna wakati wa Furaha na kuna wakati wa uzuni, hapa wakifurahi kuitiliza
 Katikati ni Miss Utalii Shinyanga & Miss Utalii Dar es Salaam 1
 Wakati Dereva akizidi kuchanja Mbuga wao walikuwa katika hali hiyo ya Furaha Muda wote
 Siyo Kilio Bali ni Furaha
 Baada ya Kusinzia kwa Muda, Miss Utalii Zanzibar Uzalendo ulimshinda na kujiunga katika kundi(wa pili kulia)
 Piga Kelele..................Miss Utalii Tanzania 2012/13
Kiboko yao Miss Utalii Dar es Salaam 2, ambaye aliongoza jahazi hilo la kuwapa Burudani washiriki wenzake na kuwataka wasilale ili wajiunge kufurahi wakati huo wakiwa katika Safari ya Kuelekea jijini Dar es Salaam, baada ya kuwa Porini kwa Siku Kadhaa ambako huko walifanikiwa kujionea Vivutio Vingi , isipokuwa pia hawatasahu moja ya Misukosuko waliyokutana nayo wakiwa katika Ziara hiyo ambao moja ya Msukosuko ilikuwa ni pale Magari yao yalipokuwa yakinasa katika Tope ambazo zilisababishwa na Mvua Zinazonyesha Maeneo mbalimbali ya Nchi, hivyo iliwabidi wakati Mwingine Kujitoa na kuhakikisha wanashirikiana kuisukuma hadi kunasuka.
(Picha Zote kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania).

JIJI LETU DAR ES SALAAM KATIKA TASWIRA HII



















Hii ndiyo Dar es Salaam, ambayo kadri siku zinavyosonga na jiji linaingia katika mabadiliko makubwa, lakini kubwa kuliko yote ni jinsi Maongamano wa Magari unavyozidi kuwa Mkubwa, Wingi wa Magari unashamili  ambapo wakazi wengi wa jiji ni waaminiaji ukilinganisha na wazawa wa jiji hili, ni maarufu kwa Biashara na Shuguli nyingi za Serikali zinafanyika katika jiji hili, hivyo ni lazima kuchukua taadhali wewe unayeingia mjini kwa wakati huu.
 (Picha Zote kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania).

ASKARI WANAVYOENDELEA NA MAPAMBANO YA KUDHIBITI WAALIFU SEHEMU MBALIMBALI NCHINI

 Akiwa Moroco Dar es Salaam katika kuharakisha magari kupunguza msongamano wa magari
 Wakiwa Kigogo Dar es Salaam baada ya Kumshuku Dereva asiyetumia Vizuri Leseni yake ya Udereva
 Gari ambalo lilikuwa na Bidhaa Likipekuliwa Kituo kidogo cha Kigogo Dar es Salaam
 Wakilikagua gari la Mizigo Kibamba CCM Nje Kidogo ya Jiji la Dar es Salaam
 Akiwa Eneo la Ubungo Kibangu kukagua Magari yanayopita Service Road(Njia ndogo ya Pembeni)
 Akiongoza Magari kupunguza Msongamano wa Magari Ubungo
 Akiwa Ubungo Kibangu
 Akiwa Kimara Dar es Salaam
 Wakiwa wamemdhibiti Dereva wa Boda boda ambaye alidhaniwa Kusababisha ajali kisha kukimbia baada ya kumgonga Mtembea kwa Miguu
 Akiwa Kigogo Dar es Salaam baada ya Kubaini Madereva wa Boda boda kuendesha Pikipiki bila kuvaa Element
 Ni dhahili Uwezi kushindana na hii Pikipiki maalum kwa ajili ya Matumizi ya Askari wa Usalama Barabarani
Akifanya Ukaguzi mjini Morogoro.
 (Picha Zote kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania).