TAN

Bayport

Kikoa

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi
Saturday, February 11, 2012
KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM CHAFANYIKA DODOMA

Shein,kushoto) na Katibu Mkuu wa Chama hicho Taifa Wilson Mkama.





















Bandi ya muziki wa
Dansi ya Kalunde na uongozi wa hoteli ya Trinity ya Oysterbay jijini Dar
es salaam, imeandaa onyesho kali katika siku ya wapendanao (Valentine
Day) itakayofanyika Februari 14 duniani kote.
Akizungumza
na FULLSHANGWE Mkurugenzi wa bendi hiyo Deo Mwanambilimbi, amesema
bendi yake imejiandaa vyema kuhakikisha inatoa burudani kabambe siku ya
wapendanao, ikiwa na wanamuziki wake kama Bob Ludala, Gringo Junior,
Deo Mwanambilimbi mwenyewe na Debora Nyangi pamoja na wanamuziki
wengine.
Siku hiyo kutakuwa na zawadi
mbalimbali zikiwemo Wine pamoja na zawadi zingine kemkem, huku
mwanamuziki mwalikwa Shilole akishiriki katika onyesho hilo na kutoa
burudani kwa kuimba nyimbo zake zote, katika usiku huo wa wapendanao.
Kiingilio katika onyesho hilo kitakuwa
bei rahisi kabisa yaani shilingi elfu 15.000 kwa kila mtu, watu wote
mnakaribishwa kuja kuona burudani kutoka kwa Kalunde Band.
WASANII
wakali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mwana FA, AY, Kundi la TMK
Wanaume Family na Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ kwa pamoja
wanatarajiwa kuangusha bonge la shoo siku ya Jumapili hii ndani ya
Ukumbi wa Dar Live jijini Dar es Salaam huko Mbagala.
Akizungumza
na wanahabari mchana huu, mratibu wa burudani katika ukumbi huo, Juma
Mbizo, alisema maandalizi yote kuhusiana na tamasha hilo
yamekamilika.kama anavyoonekana mwanamuziki Mwana FA akielezea jinsi atakavyofanya makamuzi ya nguvu.
Ambwene Yessayah ‘AY’ akiumwagia sifa ukumbi wa Dar Live ambao baada ya kuuona aligundua kuwa una hadhi ya kimataifa.


Kocha
Milovan ameisifu timu ya Azam FC na kusema ni timu nzuri na yenye
ushindani mkubwa, lakini pamoja na kwamba kuna baadhi ya wachezaji wake
hawako fiti sana, wamejiandaa vyema kupambana na timu hiyo na lengo ni
kupata Pointi tatu muhimu, ili kujweka vizuri katika msimamo wa Ligi kuu
ya Vodacom
Naye Msemaji wa timu hiyo Ezekiel Kamwanga amewaomba
mashabiki kujitokeza kwa wingi ili kushuhudia mchezo huo utakaokuwa wa
kuvutia kutokana na viwango vya timu zote mbili, ameongeza kwamba kama
inavyofahamika michezo mingi katika ya Simba na Azam FC inakuwa siyo ya
kukamiana, hivyo ana imani kuwa mchezo wa kesho utakuwa na burudani
tosha kwa mashabiki wa mpira, katika picha kushoto ni msemaji wa Simba
Ezekiel Kamwanga.







Labels:
siasa
Subscribe to:
Posts (Atom)