TAN
Bayport
Kikoa
Myway entertainment
FORE PLAN CLINIC
MPINGA CUP 2016
Mashujaa Fm 89.3, Lindi
Saturday, December 28, 2013
Thursday, December 26, 2013
MWILI WA ALIYEKUWA KOCHA WA MAKIPA SIMBA MAREHEMU JAMES KISAKA KUSAFIRISHWA MUHEZA TANGA KESHO.
Mjane wa marehemu James Kisaka, Teddy Kisaka akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa mumewe
Mjane
wa marehemu James Kisaka, Teddy Kisaka akifarijiana na mtoto wa pili wa
marehemu Kisaka, Boniface baada ya kutoa heshima za mwisho.
Mtoto wa mwisho wa marehemu Kisaka, Christopher akitoa heshima za mwisho
Benny Kisaka ambaye ni mdogo wa marehemu James Kisaka akisoma wasifu wa marehemu kakake
Msanii wa filamu Jacob Steven JB akitoa heshima za mwisho
Mchezaji wa zamani wa Simba Malota Soma akitoa heshima za mwisho kwa mchezaji mwenzie marehemu Kisaka.
Mwandishi wa habari za michezo wa gazeti la Jambo Leo, Asha Kigundula akitoa heshima za mwisho
Benny Kisaka ambaye ni mdogo wa marehemu, akitoa taarisha ya usafiri wa kwenda kwenye msiba baada ya kutoa heshima za mwisho.
Monday, December 23, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)