TAN
Bayport
Kikoa
Myway entertainment
FORE PLAN CLINIC
MPINGA CUP 2016
Mashujaa Fm 89.3, Lindi
Monday, December 28, 2015
Japan yakubali fidia kwa watumwa wa ngono
Japan na Korea Kusini zimefikia makubaliano ya kihistoria kuhusu wanawake waliolazimishwa kuhudumu katika madanguro kama watumwa wa ngono wakati wa Vita Vikuu vya Pili vya Dunia.
Japan imeomba msamaha na kukubali kulipa yen 1bn ($8.3m, £5.6m) ambazo zitawekwa kwenye hazina ya waathiriwa itakayosimamiwa na Korea Kusini.
Mzozo huo umeathiri uhusiano kati ya mataifa hayo mawili, Korea Kusini ikitaka kuombwa msamaha “kwa dhati” na kutolewa kwa fidia kwa waathiriwa.
BREAKING NEWS-MSAFARA WA WAZIRI Prof MUHONGO WAPATA AJALI KAGERA.
One convoy of cars crash for minerals and energy minister Prof Muhongo Sospter in Kyerwa district of Kagera region today of 28th,December 2015
"moja ya magari ya msafara wa waziri wa nishati na madini Prof Sospter Muhongo lenye namba za usajili ....limepata ajali katika wilaya ya Kyerwa Kagera.Hata hivyo waliokuwa kwenye gari hilo wako salama,ni kijiji cha Kigorogoro kata ya Kibare wilayani Kyerwa"
MAADAMANO YA WACHIMBAJI WADOGO YAANDALIWA
Subscribe to:
Posts (Atom)







