TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, September 23, 2013

Wasanii wa Kisasa Sanaa Group, wakiwa katika harakati za kukamilisha Filamu mpya ya (ACTION MOVIE), inatazamiwa kuingizwa sokoni baada ya Mwezi mmoja.


 Mzee Simba (ambaye amerekodi kama Mwizi wa Kuku, akiburutwa na Wananchi wenye Asira Kali baada ya Kuitiwa Kelele za Mwizi, pichani wananchi wakijadiliana kuhusu hukumu yake.
 Mwizi  wa Kuku Mzee Shaaban  Simba (Pichani akiigiza kama mtu aliyeitiwa kuuba kuku kisha kupigwa na wananchi wenye Asira Kali
 Wananchi wakimpeleka Mwizi wa KUKU katika Kituo cha Polisi
 Msanii wa Filamu hiyo, Marry Williums Mihayo, Happy Mashagal, Allan Kisandura,  Washiriki wa Kundi hilo wakipozi baada ya kumaliza kurekodi baadhi ya Sehemu ya Filamu hiyo
Wasanii Angel Pasical(kushoto), Silver  Williums, Haeshi Musa,   wakiwa katika harakati za maisha kila siku, ni baadhi ya wasanii wa kundi hilo katika kuonyesha maisha wanayoishi baadhi ya wakazi wa Tanzania, Hapa inaonekana jinsi maji yalivyo na taabu kupatikana.
 Mwongozaji wa Filamu Fredy Libaba, akitoa maelekezo kabla ya kuanza kurekodi
 Mzee Simba akiwa kakalishwa chini ya Ulinzi baada ya kukamatwa kwa Tuhuma za Kuiba Kuku
 Hapa Mzee Simba akipewa kipigo na wananchi wenye asira kali
 Wasanii Edwini Basi, Marry Williums, Silver Williams, Baadhi ya Wasanii wa Kisasa wakimfukuza Mwizi wa Kuku
 Msanii wa Kundi hilo Marry Mtipura wa pili kulia, na Baadhi ya Waigizaji wa Filamu hiyo wakiwa katika harakati za kurekodi
 Msanii wa kundi hilo Shaaban Simba, akipigwa na wakazi wa Maeneo hao wakimpiga baada ya kuiba kuku katika moja ya Sehemu zilizopo katika Mkanda huo wa Kusisimua.
 Mkufunzi wa na Mtunzi wa Filamu hiyo, Nyakasagani Masenza, akitoa Maelekezo kuhusu sehemu zinazorekodiwa.
 Washiriki wa Filamu hiyo wakiwa katika Mazungumzo
 Washiriki wa Filamu hiyo wakimfukuza Mwizi(Hayupo pichani)
 Msanii Shaaban Simba, akiwa Chini ya Ulinzi baada ya kukamatwa kwa kuiba kuku.
Kikundi cha Sanaa (Waigizaji wa Filamu) wa kundi la Kisasa Arts Group cha Keko Jijini Dar es Salaam, wakiwa katika harakati za Kufanikisha Filamu ambayo imerekodiwa hapa hapa Tanzania, katika Maeneo mbalimbali. hapa ni kati ya Vipande Vilivyopo katika Mkanda huo, Baadhi ya Washiriki wakimwadabisha Mtu ambaye anasadikiwa kuiba Kuku katika Maeneo ya Mbagala Kokoto. kwa habari zaidi tembelea mtandao huu. www.shaabanmpalule.blogspot.com.
(Picha Zote kwa Hissani ya Miss Demokrasia Tanzania).

No comments:

Post a Comment