TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, November 20, 2014

Uzinduzi wa Acha hizo leo

index
UZINDUZI wa albamu ya Mwanamuziki Tarsis Masela,  iitwayo ‘Acha Hizo’unafanyika kesho
kwenye ukumbi wa Ten Lounge, zamani ulikuwa unaitwa Bunisiness Park, uliopo Victoria
Dar es Salaam.
Katika uzindu huo bendi ya Mashujaa, Akudo Impack na Jahazi Modern Taarab,zitasindikiza usiku huo maalum wa Tarsis Masela.
Akizungumza Dar es Salaam jana Masela, alisema kuwa maandalizi ya uzinduzi huoyamekamilika, huku akiwataka wapenzi wajitokeze kwa wingi kuangalia uzinduzi wakeutakavyofana.
Masela ambaye ni Rais wa bendi ya Akudo Impact, anazindua albamu yake hiyo yenyenyimbo saba, ambayo ni ya kwanza kuzindua na kuikamilisha.
Alisema kuwa kila mshabiki atakayekuja atapata burudani safi kutoka kwake na hata bendizinazomsindikiza.
Katika uzinduzi huo viingilio vitakuwa viwili ambavyo ni shilingi 30,000 kwa viti vya maalum na sh.10,000 kwa kawaida.
Katika albamu hiyo kuna nyimbo saba ambazo ni Tabia Mbaya ambayo amemshirikishaMzee Yusuf‘Mfalme’  Chaguo Langu, Nimevumilia Lady Jay Dee, nyingine ni VidoleVitatu, Penzi Langu Limezidi Asali, Mwiko na Tusiachane.
Onesho hilo limedhaminiwa na RJ Company, Jambo Leo na Clouds Radio.

No comments:

Post a Comment