TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, July 20, 2016

MKUU WA WILAYA YA LINDI AHAIDI KUSIMAMIA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI LINDI HADI KUKAMILIKA:



post-feature-image

MKUUWA WILAYA YA LINDI KATIKATI






“Siyo jambo la taratibu hili, maana ni maagizo ambayo yametolewa na Mheshimiwa Waziri Mkuu kwamba ufanyike kwa haraka iwezekanavyo, kwa hiyo mimi nafuatilia kutimiza Kauli ya Waziri Mkuu ambaye alisimamia uhamasishwaji wa uchangiaji wa ujenzi wa majengo ya Shule yalioungua kwa Moto, na kama unavyoona mwenyewe tayari wadau wameendelea na zoezi la kutoa kile walichosema watatoa, na hapa leo nakagua kwanza Sehemu ya Barabara ambayo itajengwa kwa dharura ili kufikisha Vifaa eneo la Ujenzi lakini si hivyo tu hapa kuna changamoto nyingi ambazo zinatakiwa kufanyiwa ufumbuzi ikiwa ni pamoja na kupata mchoro wa jingo ambao unatakiwa uandaliwe kwa haraka na siyo vinginevyo, pili ni kwa hawa wajenzi ambao wanatakiwa kubuni barabara mbadala ambayo pamoja na kwamba itatumika kwa ujenzi huu lakini pia iwe ni barabara ambayo itakuwa ya kudumu kwa lengo la kuja kusaidia wakati mwingine kama itatokea tatizo kama hili, kitu kingine ni jinsi ambavyo wajenzi wanatakiwa kubuni mchoro wenye kiwango kwa ajli ya kuendana na dunia ya sasa, siyo tu bora mchoro, wahakikishe mchoro huo unakuwa kivutio na jingo lenyewe liwe ni jingo linalokidhi mahitaji kwa ajili ya shule hii, pamoja na kwamba changamoto ni nyingi lakini pia nimefika hapa kuangalia kile ambacho tayari kimepatikana na wapi kimehifadhiwa, si unajua unaweza kupata lakini ukose sehemu ya kuhifadhi, tunatarajia kupokea mifuko ya Simenti kutoka Dangote zaidi ya 4000 na mabati kama 400 ivi kwa hiyo ni lazima nifahamu ni wapi itakuwa stoo ya kuifadhi hivyo vifaa, na nataka kusimamia mimi mwenyewe ujenzi huu kwa haraka ili kutimiza maagizo ya Waziri Mkuu “ alisema Ndemanga








No comments:

Post a Comment