TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, January 23, 2014

DARAJA LA DUMILA LAHARIBIKA KUTOKANA NA MVUA

MAJI YA MAFURIKO YAKIPITA KWA KASI KANDO YA DARAJA LA MTO MAGOLE WILAYA YA KILOSA NA KUFANYA MATUMIZI YA BARABARA YA DODOMA-MOROGORO KUSHINDWA KUTUMIKA KUTOKANA NA MAFURIKO KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA YALIYOTOKANA NA MVUA KUBWA KUNYESHA MAENEO MBALIMBALI YA WILAYA HIYO MKOANI MOROGORO NA KUSABABISHA MABASI YA ABIRIA NA MALORI KUSHINDWA KUSAFIRI NA KULAZIMIKA KUZUNGUKA BARABARA YA MELELA, KIMAMBA KISHA DUMILA KUENDELEA NA SAFARI YA DODOMA LEO HUKU MAGARI MENGINE YAKIWA YAMEKWAMA.

Wednesday, January 22, 2014

SAMWEL E'TOO AKIWA NA MWANAE

Cheki picha zake alipokuwa mdogo uwanjani na akicheza kabumbu.

Samuel na David baada ya Fainali ya Copa De Rey
Baba na Mwana mnamo 2007

JEURI YA FWEZA HII SUPER STAR SINGER KOFFI OLOMIDE BAADA YA KUNUNUA GARI LA AJABU

Ukiwataja wanamuziki matajiri basi Koffi ni mmoja wao, akiwa anamiliki 5 Star Hotel na akiwa na hisa kwenye kampuni kadhaa ndani ya Congo na nje ya Congo Koffi anaorodheshwa kuwa ni mmoja wa wanamuziki ambao wamefaidika vilivyo na muziki wao.

Majuzi Koffi aliingiza gari mpya Model ya 2012 aina ya Rolls Royce Phantom na kuitambiulisha kwa mashabiki.

Pichani Koffi Olomide akiwa mbele ya gari yake. Koffi ametangaza kung’atuka kwenye shughuli ya Muziki baada ya kutoa albamu yake mpya ambayo iko studio kwa sasa, Hii itakuwa ni Albamu ya 20 ya mwanamuziki huyu ambaye anamaliza akiwa na mafanikio na mpaka sasa albamu zake tatu zimeorodheshwa kwenye listi ya albamu 1000 ambazo unapaswa kusikiliza kabla ya kuondoka duniani (kufariki).

HAYA NDIYO MAJIBU YA MWIGULU NCHEMBA KWENDA KWA WANAOPONDA UTEUZI WAKE,AWEKA WAZI ELIMU YAKE PIA SOMA HAPA

MWIGULU NCHEMBA AWAJIBU WANAOMPONDA

Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, Mwigulu Nchemba, ambaye jana alikuwa miongozi mwa manaibu waziri walioapishwa na Rais Jakaya Kikwete kushika nyadhifa zao amewaambia watu wanaoponda uteuzi wake kuwa hana haja ya kubishana nao kwani hawamjui.

Katika maelezo yake, Mwigulu alisema anamshukuru Mheshimiwa Rais kwa kumwamini kuwa anaweza kumsaidia katika kusimamaia sera na mipango ya fedha nchini. Watu wasionifahamu wanadai mimi sina viwango vya kufanya kazi hii; naomba wafahamu kuwa mimi ni msomi mwenye shahada ya ya pili ya uchumi na hivi sasa niko katika masomo ya kupata shahada ya uzamivu.

Mwigulu aliendelea kusema “Kabla sijaingia kwenye siasa nilikuwa nafanya kazi katika Benki Kuu ya Tanzania kama mchumi. Ninakwenda Wizara ya Fedha kusimamia mambo manne ambayo ni uadilifu, ushirikiano, jitihada na huduma madhubuti ambazo zitatolewa kwa wakati mwafaka.”
Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, Mwigulu Nchemba, ambaye jana alikuwa miongozi mwa manaibu waziri walioapishwa na Rais Jakaya Kikwete kushika nyadhifa zao amewaambia watu wanaoponda uteuzi wake kuwa hana haja ya kubishana nao kwani hawamjui.
Katika maelezo yake, Mwigulu alisema anamshukuru Mheshimiwa Rais kwa kumwamini kuwa anaweza kumsaidia katika kusimamaia sera na mipango ya fedha nchini. Watu wasionifahamu wanadai mimi sina viwango vya kufanya kazi hii; naomba wafahamu kuwa mimi ni msomi mwenye shahada ya ya pili ya uchumi na hivi sasa niko katika masomo ya kupata shahada ya uzamivu.
 
 Mwigulu aliendelea kusema “Kabla sijaingia kwenye siasa nilikuwa nafanya kazi katika Benki Kuu ya Tanzania kama mchumi. Ninakwenda Wizara ya Fedha kusimamia mambo manne ambayo ni uadilifu, ushirikiano, jitihada na huduma madhubuti ambazo zitatolewa kwa wakati mwafaka.”

18+..LAANA+AIBU KUBWA AFRICA...ACTRESS AFROCANDY AACHIA PICHA ZA UTUPU KAMA ZAWADI KWA FANS WAKE...!



WAKATI WA KUTAFUFA WANAUME WA KUCHEZA NAE ALITOA TANGAZO HILI:

Nigerian actress, posted this on her facebook, asking guyz to send in pictures of their Private Parts for an audition for her new soft porn movie

Read Below
Please don’t send me no ‘FAKE DICKS’. Before you send me any DICK pictures, make sure it’s yours cos it will be very bad when you come to my AUDITIONS, I open it, and it looks different from the pics.. Still on the matter yo !..be warned !!
www.AfroCandysmusic.com

Ratiba ya M4C- Operesheni Pamoja Daima, Ruvuma, Tabora na Tanga

Kama ambavyo jana umma wa Watanzania ulitaarifiwa kupitia kwenye mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe na wanahabari, Chama leo kinaanza operesheni ya takriban wiki mbili kwa nchi nzima (mijini na vijijini).

 Kuna jumla ya timu 6 zilizoko uwanja wa mapambano kuendesha M4C- Operesheni Pamoja Daima, ambazo zote zinaanza kazi leo katika maeneo zilizopangiwa. Timu tatu zitakuwa zikishambulia kutokea angani na timu tatu zitakuwa zikisonga mbele nchi kavu.
Timu hizi zinajumuisha viongozi wakuu wa Chama, watendaji kutoka Makao Makuu ya Chama, Wajumbe wa Kamati Kuu, Viongozi wa Kanda, Mikoa, Wilaya, Majimbo, Kata, Vijiji na Vitongoji pamoja na wabunge wote wa CHADEMA katika maeneo husika.

CHADEMA itatumia operesheni hii ya wiki mbili kuandaa umma wa Watanzania juu ya masuala kadhaa muhimu kwa hatma ya nchi yao;

1. Mjadala wa rasimu ya pili ya katiba mpya- Bunge Maalum la Katiba Mpya Wakati huu ambapo nchi Watanzania wanasubiri vikao vya Bunge Maalum la Katiba, pamoja na Tume ya Warioba kufanya kazi nzuri kwa kukusanya na kuzingatia  maoni ya watu (ambayo CCM wanayapinga wakiweka mbele maslahi ya chama  chao badala ya Watanzania wenye nchi yao), bado kuna masuala ambayo;

(a) yanahitaji msisitizo yaendelee kubakia kwenye rasimu

(b) yanahitaji kuboreshwa

(c) yanahitajika kuongezwa kwa sababu hayamo

2. Kuhusu uboreshwaji wa daftari la wapiga kura kwa ajili ya kura ya maoni kuamua Katiba Mpya na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.

Hii ni moja ya shughuli ya 'kufa na kupona' mwaka huu kwa sababu kuna mamilioni ya Watanzania hadi sasa Serikali ya CCM imewanyima haki yao ya kikatiba ya kufanya maamuzi yanayohusu maisha yao, maendeleo yao kupitia kura.

3. Uchaguzi wa ndani ya chama ambao hadi sasa unaendelea katika ngazi ya msingi nchi nzima hatimaye ngazi ya taifa.

4. Masuala ya Watanzania na umiliki wa rasilimali zao ambazo kwa sasa zinaonekana kuwanufaisha wageni, watawala na watu wenye mahusiano na watawala, pia hali ya ugumu wa maisha inayozidi kuwakabili wananchi ikiwa na uhusiano na uongozi mbovu unaokumbatia ufisadi na sera zilizoshindwa, yatapewa kipaumbele kikubwa katika ziara hii.

5. Bila kusahau kwamba 'all politics is local', hivyo chama kitatumia fursa hii kuzungumza na wananchi juu ya kero mbalimbali zinazowakabili na CHADEMA inaweza ku-offer nini. Na mengine kadha wa kadha yenye umuhimu kwa  maendeleo ya watu.

Ifuatayo ni ratiba ya leo na kesho kwa timu tatu za angani ambazo zinatumia usafiri wa helkopta 3;

Timu ya Katibu Mkuu, Dkt. Slaa;

Mbambabay, Mbinga, Peramiho, Namtumbo kisha kwa leo watamalizia Songea Mjini

Timu ya Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Issa Saidi Mohamed

Nzega (Ndala), Igunga (Nkinga), Tabora Kaskazini (Mabama) na Tabora mjini

Timu ya Kamanda Tundu Lissu na John Heche

Lushoto, Korogwe, Muheza na Tanga mjini

* Tutawapatia updates kadri muda unavyokwenda. Accounts za CHADEMA mitandaoni ikihusisha pia 'vyombo' vya chama kama websites na blogs, ndizo zitakuwa vyanzo rasmi vya taarifa za uhakika kwa kila kinachoendelea field.

Tutashirikiana na mods pamoja na watu wengine wote hasa walioko fields kwenye timu zote 6 kuhakikisha Watanzania wanapata taarifa sahihi, za uhakika, kwa wakati, huku pia tukiomba uvumilivu wenu na subira inapolazimika, ili kupata vitu vizuri maana mikutano itafanyika maeneo ya vijijini na mijini.

Punde tutatoa ufafanuzi wa baadhi ya hoja za watu kama vile, kwa nini helkopta (tena idadi imeongezeka, hakuna chama cha siasa kiliwahi kufanya kama hivi kwenye operesheni kama hii), kwa nini PAMOJA DAIMA (wengine wanafikiri ni tofauti na M4C).

Haya karibuni kwa ajili ya M4C- PAMOJA DAIMA hii ndiyo habari yenyewe kwa sasa.

Japan officials defend dolphin hunting at Taiji Cove

By Yoko Wakatsuki and Madison Park, CNN

Watch this video

Japanese dolphin hunt stirs outrage

STORY HIGHLIGHTS
  • Local fisherman: Dolphin slaughter took place in cove in Taiji, Japan
  • Local officials defend hunting of dolphins as a traditional practice
  • Prefecture government allows hunt of more than 2,000 dolphins and porpoises
Tokyo, Japan (CNN) -- The slaughter of bottlenose dolphins in an infamous Japanese cove took place on Tuesday.
2009: Film explores dolphin hunts
About 500 dolphins were driven into the cove this year, a larger number than usual, according to the local Taiji fishermen's union. A fisherman who is a union board member, and who did not want to be named, told CNN that the total number of dolphins to be captured or slaughtered was less than 100, and that the rest would be released.
The yearly event is a focal point of the Taiji community's dolphin hunting season, which many in the community in southwest Japan view as a long-held tradition. The annual hunting season begins in September and runs through March, according to animal rights activists.
But the hunt is heavily scrutinized by environmental activists, who have been monitoring activities and livestreaming and tweeting about the latest developments.
Amazon bans sale of dolphin meat
In recent days, environmentalist group the Sea Shepherd Conservation Society has provided livestreams showing bottlenose dolphins splashing frantically as they tried to escape their human captors. Dolphins separated by nets into smaller partitions bobbed up and down, trying to reach other members of their pod. The group said that the dolphins appeared bloodied, and had had nothing to eat since their capture in Taiji Cove four days ago.
The union representative said that the fishermen had introduced what they considered a "more humane" method of slaughtering the dolphins, cutting their spines on the beach to kill the animals more swiftly and cause them less pain.

Group: 250 dolphins could be killed
Defending tradition
Although the hunting of dolphins is widely condemned in the West, many in Japan defend the practice as a local custom -- and say it is no different to the slaughter of other animals for meat.
Chief Cabinet Secretary Yoshihide Suga told reporters at a news conference Monday that marine mammals including dolphins were "very important water resources."
"Dolphin fishing is one of traditional fishing forms of our country and is carried out appropriately in accordance with the law. Dolphin is not covered by the International Whaling Commission control and it's controlled under responsibility of each country."
Taiji mayor Kazutaka Sangen echoed the sentiments.
"We have fishermen in our community and they are exercising their fishing rights," he said. "We feel that we need to protect our residents against the criticisms."
He accused the Sea Shepherd of using the issue of dolphin hunting to raise funds and attract attention. The Sea Shepherd Conservation Society has been live-streaming video of events in the cove and posting frequent updates on Twitter.
The Wakayama Prefectural Government, where Taiji is located, gives an annual "catching quota." This year, the government allows for the hunting of 2,026 small porpoises and dolphins (557 are for bottlenose dolphins).
The dolphin hunt has seen some changes, Sangen said. The town wants to create a whale/porpoise study with the aim of bringing a marine park to the city. And the method of hunting has been changing, becoming less crude, he added.
On Monday, the fishermen focused on selecting dolphins to be sold into captivity at marine parks and aquariums in Japan and overseas, the conservation group said. Trainers marked the dolphins deemed unsuitable for captivity, which would be either killed or driven back out to the ocean, according to the Sea Shepherd group.
Kennedy's tweet met with criticism in Japan
Caroline Kennedy, the recently installed U.S. ambassador to Japan, tweeted that she is "deeply concerned by inhumaneness of drive hunt dolphin killing."

45 dead, more than 260,000 displaced in Philippines flooding

By Tim Hume, CNN

A resident of Butuan City on the southern Philippine island of Mindanao wades through floodwaters.
A resident of Butuan City on the southern Philippine island of Mindanao wades through floodwaters.
========================================================
STORY HIGHLIGHTS
  • Flash floods and landslides have left 45 dead in the Philippines in recent days
  • More than 55,000 families, or 260,000 people, have been displaced by the storm
  • Most of the deaths were by drowning or in landslides
  • The heavy rains were brought by tropical depression Agaton, which has now dissipated
(CNN) -- A tropical depression that has brought flash flooding and landslides to the southern Philippines has left 45 people dead and displaced more than 260,000, authorities say.
Nearly 900,000 people have been affected by the heavy rains brought by Tropical Depression Agaton, having lashed the country for days, says the country's national disaster agency, with more than 55,000 families currently in emergency shelter in 585 evacuation centers.
Among those affected are survivors of November's Typhoon Haiyan, which left millions homeless in the Philippines, says relief organization Oxfam.
Oxfam's Philippines country director Justin Morgan said in a statement that thousands made homeless by Haiyan had been evacuated from rain-collapsed tents and flooded makeshift shelters to avoid being left exposed to the elements by Agaton, including in the ravaged city of Guiuan, the first town in Haiyan's path.
On top of the official death toll of 45, the Philippines national disaster agency said 68 people were injured and eight missing. Most of the deaths occurred in the regions of Caraga (19) and Davao (18), both situated on the southernmost island of Mindanao.
Most of the deaths were by drowning or in landslides, the disaster agency said.
More than 800 houses have been destroyed by Agaton, and nearly 1,300 partially damaged, while 50 roads and 25 bridges have been rendered impassable by flooding.
The current onslaught of bad weather began Friday when a low pressure area southeast of Guiuan developed into a tropical depression, with winds reaching 55 kilometers per hour (34 miles per hour) near its center.
After drifting east and west over the south of the country, Agaton weakened to become categorized as a "low pressure area" Monday. The Philippine Atmospheric, Geophysical and Astronomical Services Administration, PAGASA, said in an advisory late Wednesday that the "low pressure area" had dissipated.
PAGASA said that Mindanao and the Eastern Visayas could expect isolated showers and thunderstorms, while strong to gale-force winds associated with the surge of the monsoon were predicted to affect the seaboards of Luzon and the Eastern Visayas. It advised fishing vessels not to go to sea in order to avoid the expected large waves.
Over the last decade, the Philippines has consistently ranked in the top five most disaster-hit countries -- along with China, the United States, India and Indonesia -- according to the Center for Research on the Epidemiology of Disasters, or CRED.
Sitting on the western rim of the Pacific Ocean, the Philippines is situated in the most active area for tropical cyclones, due to the surrounding expanse of deep, warm ocean water.
Its more than 7,000 islands offer plenty of exposed coastline to the mercy of wind and rain, while its many mountains, dropping sharply to coastal areas, present a risk of landslides. Many buildings in the Philippines are not built to withstand a heavy battering from the elements.

KIGAMBONI YAUNGANISHWA RASMI NA DARAJA DAR ES SALAAM

NDUGU WAMFANYIA KITU MBAYA BIBI KIKONGWE WA MIAKA 100 BILA HURUMA...


Bibi kizee, Mwamini Abdallah
UONEVU! Bibi kizee, Mwamini Abdallah anayekadiriwa kuwa na umri  
wa zaidi ya miaka 100 (alikuwepo wakati wa Vita ya Kwanza ya 
Dunia ya 1914), anadai kunyang’anywa shamba na ndugu zake kisha kutelekezwa na kumsababishia kuishi kwa tabu.
 Akizungumza na waandishi wetu, bibi huyo anayeishi katika 
Kijiji cha Ngeleka-Usagara mkoani hapa alidai kwamba aliingia 
kwenye mgogoro wa mirathi na ndugu zake aliochangia nao baba 
mara baada ya mzazi  wake huyo kufariki dunia. 
Bibi huyo alisema kuwa mgogoro huo ulisababisha kufunguliwa kwa 
kesi Mahakama ya Mwanzo ya Misungwi na hukumu kuwapa haki ndugu 
zake hao na yeye kuambulia ardhi kidogo. 
Hata hivyo, aliiuza ardhi hiyo kidogo aliyopewa baada ya kukosa huduma za msingi  mara alipotengwa na ndugu zake.
 Waandishi wetu wamejionea hali ya bibi huyo ambaye analala 
chini akitandika na kujifunika magunia huku paa la ‘kibanda’ anachoishi likivuja. 
Kikongwe huyo anapata msaada kidogo kutoka kwa jirani yake 
Halima Said anayemchotea maji na kumpatia akiba kidogo ya chakula. 
Alisema kuwa hata kibanda hicho cha matope anachoishi kwa sasa alijengewa na mama mmoja aliyekuwa nesi maeneo hayo  lakini kwa
 sasa kipo hatarini kubomolewa kutokana na kujengwa kwenye 
hifadhi ya barabara inayotengenezwa kutoka Usagara kwenda Kisesa. 
“Nalelomba bhamunhu mnahmbilije naphandike hakulalaa niishiliwa,
alisema bibi huyo kwa Lugha ya Kisukuma akimaanisha ‘naombeni mnisaidie sehemu ya kulala na chakula.’  
Kufuatia ugumu wa maisha ya bibi huyo, mjukuu wake, Mariam John 
(15) ndiye anayemsaidia kwa kufanya kazi za ndani Mwanza mjini 
kwa ujira wa Sh. 20,000/= kwa mwezi, fedha ambazo pia hazikidhi mahitaji yao binafsi.  Kwa yeyote atakayeguswa na mateso 
anayopata  bibi huyu na anataka kutoa msaada wake, awasiliane 
na mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu wa asasi ya
 FARIJIKA kwa namba 0787 040 261 au 075

Tuesday, January 21, 2014

MBUNGE WA CHALINZE, SAID BWANAMDOGO (CCM) AFARIKI DUNIA

Mbunge wa Chalinze, Said Ramadhani Bwanamdogo enzi za uhai wake.Mbunge wa Chalinze, Said Ramadhani Bwanamdogo (CCM), aliyekuwa amelazwa chumba cha wagonjwa mahututi (ICU), katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Upasuaji wa Mishipa (MOI), amefariki

Ya huyu Mwanamke wa Russia kukalia hiki kiti chenye umbo la Mwanamke wa Kiafrika umeiona?

Screen Shot 2014-01-22 at 9.57.10 AM
Russian Socialite ambae ni muhariri wa jarida la Garage magazine, Dasha Zhukova, ameingia kwenye maporomoko ya matusi na maoni mengine mazito ya watu mbalimbali mtandaoni baada ya kusambaa kwa picha inayomuonyesha akiwa amekaa kwenye kiti kilichotengenezwa kwa mfano wa Mwanamke wa Kiafrika.
Mwanamke huyu ambae anasema ana mapenzi na fashion pamoja na usanii wa vitu kama hivi amekosolewa na wengi ambapo baadhi ya Wanawake hata wenye ngozi kama ya Dasha, wamemkosoa huku wengine wakiuliza ‘bado tunafanya vitu hivi mpaka huu mwaka wa 2014?’
Screen Shot 2014-01-22 at 9.38.20 AM

Unataka kuwaona wanaotuhumiwa kushambulia Westgate? tazama walipokwenda eneo la tukio chini ya ulinzi

2 
Ripota wangu wa nguvu Julius Chemitei kutoka Nairobi anaripoti kwamba Hakimu na pande husika dhidi ya washukiwa wa shambulio la Westgate wametembelea eneo la tukio kutekeleza amri iliyotolewa na hakimu mkuu Daniel Ojenja wiki iliyopita kabla ya kesi hiyo kuahirishwa.
Hakimu Daniel Ochenje alizungumza na waandishi kwenye hii ziara na kusema umuhimu wa ziara hiyo ni kuwezesha pande husika kupata taswira ya eneo hilo wakati Mashahidi wanapolihusisha eneo la tukio kwenye ushahidi wao Mahakamani.
Mawakili wa washukiwa wanaendelea kusimamia kwamba wateja wao hawana hatia yoyote na baada ya ziara hiyo walikua tayari kuendelea na kushirikiana na Mahakama wakati wakisubiri uamuzi kutolewa.
Kesi hiyo itaendelea kusikilizwa tarehe 27 & 28 January 2014 wakati upande wa mashtaka ukitarajiwa kuwasilisha mashahidi wengine 28 ambapo hata hivyo kumekuwa na malalamiko kutoka kwa mawakili wa upande wa Washukiwa kwamba viongozi wa mashtaka hawajawapa taarifa za polisi zilizoandikishwa na mashahidi.
3
1
6
Hawa ni baadhi wa washukiwa wenyewe wanaotuhumiwa kuhusika na shambulio la Westgate.
5
4

MZIMU WAIBUKA UWANJA WA MPIRA -LIVE BILA CHENGA:



This happened during a soccer match in South Africa Few hours back.
I wonder if she scored that night. More photos after the jump.
All these happened live at the football stadium.
I don't really know what is wrong with her,but i think she is up to something.

Sunday, January 19, 2014

DACICO YAKARIBISHA WANAFUNZI WAPYA- YAICHAKAZA MLIMANI PROFESIONAL KATIKA MCHEZO WA SOKA.

Wachezaji wa Timu za Dacico Fc, kiungo Machejo Dula (nyekundu) na mlinzi wa timu ya Mlimani Profesional Fc. Masanga Mkama wakiwania mpira wakati wa mchezo wa kirafiki katika hafla ya Sherehe za kuwakaribisha wanafunzi wapya wa Dar es Salaam City College na Mlimani Profesional(School Bush) iliyofanyika kwenye Viwanja vya Kibamba Chama, jijini Dar es Salaam Jana. hadi mwisho wa mchezo Dacico iliibuka na ushindi wa bao  1-0 (Picha kwa Hissan ya Miss Demokrasia Tanzania).
Wachezaji wa Timu za Dacico Fc, kiungo Machejo Dula (nyekundu) na mlinzi wa timu ya Mlimani Profesional Fc. Masanga Mkama wakiwania mpira wakati wa mchezo wa kirafiki katika hafla ya Sherehe za kuwakaribisha wanafunzi wapya wa Dar es Salaam City College na Mlimani Profesional(School Bush) iliyofanyika kwenye Viwanja vya Kibamba Chama, jijini Dar es Salaam Jana. hadi mwisho wa mchezo Dacico iliibuka na ushindi wa bao  1-0 (Picha kwa Hissan ya Miss Demokrasia Tanzania).
Mchezaji wa Timu za Dacico Pooltable, Yohana Mathius, akijaribu kulenga shimo wakati wa mchezo wa kirafiki dhidi ya  Mlimani Profesional Pooltable  katika hafla ya Sherehe za kuwakaribisha wanafunzi wapya wa Dar es Salaam City College na Mlimani Profesional(School Bush) iliyofanyika kwenye ukumbi wa Chuo cha Dar es Salaam City College Kibamba  jijini Dar es Salaam Jana.(Picha kwa Hissan ya Miss Demokrasia Tanzania).
Walimu wa Chuo cha Uandishi wa Habari na Utawala Dar es Salaam City College, Mwl. Kasilima Kasilima na Mwl. Grayson Mgoi wakishindana kucheza na kuimba wakati wa Hafla ya kuwakaribisha wanafunzi wapya wa Vyuo vya DACICO na Mlimani Profesional, iliyofanyika Makao makuu ya Chuo cha DACICO kibamba Chama jana na kushirikisha michezo mbali mbali ikiwamo Soka, Pooltable, kuimba, kucheza muziki, kuogelea, Urembo Mr. & Miss New Intake DACICO na mashindano ya kujibu Mada(Debate)(Picha kwa Hissan ya Miss Demokrasia Tanzania).
Walimu wa Chuo cha Uandishi wa Habari na Utawala Dar es Salaam City College, Mwl. Kasilima Kasilima na Mwl. Grayson Mgoi wakishindana kucheza na kuimba wakati wa Hafla ya kuwakaribisha wanafunzi wapya wa Vyuo vya DACICO na Mlimani Profesional, iliyofanyika Makao makuu ya Chuo cha DACICO kibamba Chama jana na kushirikisha michezo mbali mbali ikiwamo Soka, Pooltable, kuimba, kucheza muziki, kuogelea, Urembo Mr. & Miss New Intake DACICO na mashindano ya kujibu Mada(Debate)(Picha kwa Hissan ya Miss Demokrasia Tanzania).
Wanafunzi wa Chuo cha Uandishi wa Habari na Utawala Dar es Salaam City College, kutoka kulia ni Sharifa, fatuma saidi, Ikumbo Gradman, Jeff, Razack,na Merry wakati wa wakati wa kutafuta washindi wa Urembo Miss & Mr. Dacico kwenye  Hafla ya kuwakaribisha wanafunzi wapya wa Vyuo vya DACICO na Mlimani Profesional, iliyofanyika Makao makuu ya Chuo cha DACICO kibamba Chama jana na kushirikisha michezo mbali mbali ikiwamo Soka, Pooltable, kuimba, kucheza muziki, kuogelea, Urembo Mr. & Miss New Intake DACICO na mashindano ya kujibu Mada(Debate)(Picha kwa Hissan ya Miss Demokrasia Tanzania).
Wanafunzi wa Chuo cha Uandishi wa Habari na Utawala Dar es Salaam City College, kutoka kulia ni Sharifa, fatuma saidi, Ikumbo Gradman, Jeff, Razack,na Merry wakati wa wakati wa kutafuta washindi wa Urembo Miss & Mr. Dacico kwenye  Hafla ya kuwakaribisha wanafunzi wapya wa Vyuo vya DACICO na Mlimani Profesional, iliyofanyika Makao makuu ya Chuo cha DACICO kibamba Chama jana na kushirikisha michezo mbali mbali ikiwamo Soka, Pooltable, kuimba, kucheza muziki, kuogelea, Urembo Mr. & Miss New Intake DACICO na mashindano ya kujibu Mada(Debate)(Picha kwa Hissan ya Miss Demokrasia Tanzania).
wanafunzi na Mashabiki na mashabiki wa Dacico f.c wakishangilia baada ya timu yao kuifunga timu ya Mlimani Profesional katika mchezo wa kirafiki uliyofanyika kwenye Viwanja vya kibamba chama dar es salaam jana.(Picha kwa hissani ya Miss Demokrasia Tanzania).
Mchezaji wa Timu ya DACICO FC. Haji (kulia) akiwasili kwenye uwanja wa kibamba chama kwa ajili ya mpambano dhidi ya timu ya wanafunzi wa Mliman Profesional.
Kikosi cha Timu ya DACICO F.C.(Picha Zote kwa Hissan ya Miss Demokrasia Tanzania).
=================================

Wanafunzi wapya wa Vyuo vya Uandishi wa Habari jana wamekaribishwa kwa sherehe na shamrashamrav mbalimbali kutoka Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Uandishi wa Habari na Utawala Dar es Salaam City Collge(DACICOSTUA) kwa kushirikiana na Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Mlimani Profesional vyote vya jijini Dar es Salaam, ambao waliandaa michezo mbalimbali ikiwemo kuvuta kamba, mashindano ya Urembo, kutunisha Misuli, kuimba, kucheza, kujibu mada, kuogelea, netball, volleyball katika hafla iliyofanyika makao makuu ya chuo cha Dacico kibamba chama.

Akizungumza katika hafla hiyo mkuu wa Chuo cha Uandishi wa Habari na Utawala, Dacico, Bw. Idrisa Mziray, alisema kuwa lengo la sherehe hizo ni kuwakaribisha wanafunzi wanaoanza mafunzo kwenye Vyuo hivyo new Intake, ambao baada ya kuwasili kila muhula ufanyiwa ukaribisho na serikali za vyuo hivyo kwa lengo la kutakiana baraka na pia kufanya utambulisho wa viongozi kwa wanafunzi wageni ili kuweza kuendana na utaratibu unaokuwa umewekwa na bodi ya chuo kwa kuwashirikisha wanafunzi ambao ni viongozi wa serikali yao.

Aidha katika Hafla hiyo mapema wanafunzi wa chuo cha Dacico kilichuana na Mlimani Profesional katika michezo mbalimbali lakini hata hivyo wachezaji wengi wa Mlimani Profesional walifanikiwa kuibuka washindi kwenye michezo ya Pooltabl, kuvuta Kamba kabla ya kubwagwa kwenye mchezo wa Soka kwa kukubali kufungwa bao 1-0  ambalo lilifungwa na mchezaji Mathias Haule kwa shti kali mchezo ambao ulifanyika kwenye uwanja wa Kibamba Chama.

baada ya mchezo huo hafla hiyo ilikwenda moja kwa moja ukumbini na kuwakutanisha tena katika  michezo ya pooltabe ambapo wachezaji wa Dacico walionekana kukabwa koo kutokana na wachezaji wa mlimani profesional kuonyesha kiwango kizuri katika kulenga na kutumbukiza mipira ukilinganisha na wenzao wa Dacico pooltable lakini hata hivyo hadi mwisho wa mchezo timu zote zilitoshana nguvu kwa kufungana michezo miwili miwili lakini Yohana Dula wa Dacico akiibuka nyota wa mchezo huo kutokana na kushangiliwa sana na mashabiki waliokuwa wamefurika kushuhudia michezo hiyo.

Kivutio kikubwa katika hafla hiyo ilikuwa ni mashindano ya Urembo ambayo yalishirikisha jinsia zote na hivyo kuonekana kuwa kivutio kikubwa kwa wote waliokuwa wakifuatilia shamrashamra hizo na hivyo kufanya vifijo na ndelemo kutawala muda wote ususani alipokuwa akikatiza mshindi  Ikumbo Gradman ambaye aliwabwaga wenzake kutokana na kuwa kivutio kikubwa kwenye mashindano hayo akifuatiwa na Fatuma Said, wakati kwa  upande wa wanaume kivutio kikubwa ilikuwa ni kwa haji juma maarufu kama kaseja kutokana na umahili wake wa kudaka mipira, wakati shindano la Miss Bantu lilikosa msisimuko kutokana na washiriki Cecilia Kimaro, Saumu Ramadhan, Rabia Salum, shamim Juma kushindwa kutokea Uwanjani.

Washindi wengine katika Michezo hiyo ilikuwa ni pamoja na Kasilima na Grayson Mgoi walitoshana nguvu baada ya wote kupata kura sawa kutoka kwa mashabiki waliokuwa wamejaa ukumbi wa Chuo cha Dar es Salaam City College, katika mchezo wa kuimba na kucheza, Happy Mayala kuogelea kwa upande wa Wanawake huku nafasi ya pili ikienda kwa Mariam Mwakatumbula na nafasi ya tatu ikichukuliwa na Vanessa hata hivyo fainal hiyo ilishindwa kuwa na msisimko kutokana na kiza kuingia na hivyo washiriki wengine waliokuwa wamejiandikisha kushiriki kushindwa kutokana na muda.

MWISHOOOOOOOOOO