TAN
Bayport
Kikoa
Myway entertainment
FORE PLAN CLINIC
MPINGA CUP 2016
Mashujaa Fm 89.3, Lindi
Thursday, January 23, 2014
Wednesday, January 22, 2014
SAMWEL E'TOO AKIWA NA MWANAE
JEURI YA FWEZA HII SUPER STAR SINGER KOFFI OLOMIDE BAADA YA KUNUNUA GARI LA AJABU
Ukiwataja wanamuziki matajiri basi Koffi ni mmoja wao, akiwa
anamiliki 5 Star Hotel na akiwa na hisa kwenye kampuni kadhaa ndani ya
Congo na nje ya Congo Koffi anaorodheshwa kuwa ni mmoja wa wanamuziki
ambao wamefaidika vilivyo na muziki wao.
Majuzi Koffi aliingiza gari mpya Model ya 2012 aina ya Rolls Royce Phantom na kuitambiulisha kwa mashabiki.
Pichani Koffi Olomide akiwa mbele ya gari yake. Koffi ametangaza kung’atuka kwenye shughuli ya Muziki baada ya kutoa albamu yake mpya ambayo iko studio kwa sasa, Hii itakuwa ni Albamu ya 20 ya mwanamuziki huyu ambaye anamaliza akiwa na mafanikio na mpaka sasa albamu zake tatu zimeorodheshwa kwenye listi ya albamu 1000 ambazo unapaswa kusikiliza kabla ya kuondoka duniani (kufariki).
HAYA NDIYO MAJIBU YA MWIGULU NCHEMBA KWENDA KWA WANAOPONDA UTEUZI WAKE,AWEKA WAZI ELIMU YAKE PIA SOMA HAPA

Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, Mwigulu Nchemba, ambaye jana alikuwa
miongozi mwa manaibu waziri walioapishwa na Rais Jakaya Kikwete kushika
nyadhifa zao amewaambia watu wanaoponda uteuzi wake kuwa hana haja ya
kubishana nao kwani hawamjui.
Katika maelezo yake, Mwigulu alisema anamshukuru Mheshimiwa Rais kwa kumwamini kuwa anaweza kumsaidia katika kusimamaia sera na mipango ya fedha nchini. Watu wasionifahamu wanadai mimi sina viwango vya kufanya kazi hii; naomba wafahamu kuwa mimi ni msomi mwenye shahada ya ya pili ya uchumi na hivi sasa niko katika masomo ya kupata shahada ya uzamivu.
Katika maelezo yake, Mwigulu alisema anamshukuru Mheshimiwa Rais kwa kumwamini kuwa anaweza kumsaidia katika kusimamaia sera na mipango ya fedha nchini. Watu wasionifahamu wanadai mimi sina viwango vya kufanya kazi hii; naomba wafahamu kuwa mimi ni msomi mwenye shahada ya ya pili ya uchumi na hivi sasa niko katika masomo ya kupata shahada ya uzamivu.
Mwigulu aliendelea kusema “Kabla sijaingia kwenye siasa nilikuwa
nafanya kazi katika Benki Kuu ya Tanzania kama mchumi. Ninakwenda Wizara
ya Fedha kusimamia mambo manne ambayo ni uadilifu, ushirikiano,
jitihada na huduma madhubuti ambazo zitatolewa kwa wakati mwafaka.”
18+..LAANA+AIBU KUBWA AFRICA...ACTRESS AFROCANDY AACHIA PICHA ZA UTUPU KAMA ZAWADI KWA FANS WAKE...!
WAKATI WA KUTAFUFA WANAUME WA KUCHEZA NAE ALITOA TANGAZO HILI:
Nigerian actress, Afrocandy posted this on her facebook, asking guyz to send in pictures of their Private Parts for an audition for her new Nollywood soft porn movie
Read Below
Please don’t send me no ‘FAKE DICKS’. Before you send me any DICK pictures, make sure it’s yours cos it will be very bad when you come to my AUDITIONS, I open it, and it looks different from the pics.. Still on the matter yo !..be warned !!
www.AfroCandysmusic.com
Please don’t send me no ‘FAKE DICKS’. Before you send me any DICK pictures, make sure it’s yours cos it will be very bad when you come to my AUDITIONS, I open it, and it looks different from the pics.. Still on the matter yo !..be warned !!
www.AfroCandysmusic.com
Ratiba ya M4C- Operesheni Pamoja Daima, Ruvuma, Tabora na Tanga
Kama ambavyo jana umma wa Watanzania ulitaarifiwa kupitia
kwenye mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe na
wanahabari, Chama leo kinaanza operesheni ya takriban wiki mbili kwa
nchi nzima (mijini na vijijini).
![]() |
Kuna jumla ya timu 6 zilizoko uwanja wa mapambano kuendesha M4C-
Operesheni Pamoja Daima, ambazo zote zinaanza kazi leo katika maeneo
zilizopangiwa. Timu tatu zitakuwa zikishambulia kutokea angani na timu
tatu zitakuwa zikisonga mbele nchi kavu.
Timu hizi zinajumuisha viongozi wakuu wa Chama, watendaji kutoka Makao Makuu ya Chama, Wajumbe wa Kamati Kuu, Viongozi wa Kanda, Mikoa, Wilaya, Majimbo, Kata, Vijiji na Vitongoji pamoja na wabunge wote wa CHADEMA katika maeneo husika.
CHADEMA itatumia operesheni hii ya wiki mbili kuandaa umma wa Watanzania juu ya masuala kadhaa muhimu kwa hatma ya nchi yao;
1. Mjadala wa rasimu ya pili ya katiba mpya- Bunge Maalum la Katiba Mpya Wakati huu ambapo nchi Watanzania wanasubiri vikao vya Bunge Maalum la Katiba, pamoja na Tume ya Warioba kufanya kazi nzuri kwa kukusanya na kuzingatia maoni ya watu (ambayo CCM wanayapinga wakiweka mbele maslahi ya chama chao badala ya Watanzania wenye nchi yao), bado kuna masuala ambayo;
(a) yanahitaji msisitizo yaendelee kubakia kwenye rasimu
(b) yanahitaji kuboreshwa
(c) yanahitajika kuongezwa kwa sababu hayamo
2. Kuhusu uboreshwaji wa daftari la wapiga kura kwa ajili ya kura ya maoni kuamua Katiba Mpya na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.
Hii ni moja ya shughuli ya 'kufa na kupona' mwaka huu kwa sababu kuna mamilioni ya Watanzania hadi sasa Serikali ya CCM imewanyima haki yao ya kikatiba ya kufanya maamuzi yanayohusu maisha yao, maendeleo yao kupitia kura.
3. Uchaguzi wa ndani ya chama ambao hadi sasa unaendelea katika ngazi ya msingi nchi nzima hatimaye ngazi ya taifa.
4. Masuala ya Watanzania na umiliki wa rasilimali zao ambazo kwa sasa zinaonekana kuwanufaisha wageni, watawala na watu wenye mahusiano na watawala, pia hali ya ugumu wa maisha inayozidi kuwakabili wananchi ikiwa na uhusiano na uongozi mbovu unaokumbatia ufisadi na sera zilizoshindwa, yatapewa kipaumbele kikubwa katika ziara hii.
5. Bila kusahau kwamba 'all politics is local', hivyo chama kitatumia fursa hii kuzungumza na wananchi juu ya kero mbalimbali zinazowakabili na CHADEMA inaweza ku-offer nini. Na mengine kadha wa kadha yenye umuhimu kwa maendeleo ya watu.
Ifuatayo ni ratiba ya leo na kesho kwa timu tatu za angani ambazo zinatumia usafiri wa helkopta 3;
Timu ya Katibu Mkuu, Dkt. Slaa;
Mbambabay, Mbinga, Peramiho, Namtumbo kisha kwa leo watamalizia Songea Mjini
Timu ya Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Issa Saidi Mohamed
Nzega (Ndala), Igunga (Nkinga), Tabora Kaskazini (Mabama) na Tabora mjini
Timu ya Kamanda Tundu Lissu na John Heche
Lushoto, Korogwe, Muheza na Tanga mjini
* Tutawapatia updates kadri muda unavyokwenda. Accounts za CHADEMA mitandaoni ikihusisha pia 'vyombo' vya chama kama websites na blogs, ndizo zitakuwa vyanzo rasmi vya taarifa za uhakika kwa kila kinachoendelea field.
Tutashirikiana na mods pamoja na watu wengine wote hasa walioko fields kwenye timu zote 6 kuhakikisha Watanzania wanapata taarifa sahihi, za uhakika, kwa wakati, huku pia tukiomba uvumilivu wenu na subira inapolazimika, ili kupata vitu vizuri maana mikutano itafanyika maeneo ya vijijini na mijini.
Punde tutatoa ufafanuzi wa baadhi ya hoja za watu kama vile, kwa nini helkopta (tena idadi imeongezeka, hakuna chama cha siasa kiliwahi kufanya kama hivi kwenye operesheni kama hii), kwa nini PAMOJA DAIMA (wengine wanafikiri ni tofauti na M4C).
Haya karibuni kwa ajili ya M4C- PAMOJA DAIMA hii ndiyo habari yenyewe kwa sasa.
Timu hizi zinajumuisha viongozi wakuu wa Chama, watendaji kutoka Makao Makuu ya Chama, Wajumbe wa Kamati Kuu, Viongozi wa Kanda, Mikoa, Wilaya, Majimbo, Kata, Vijiji na Vitongoji pamoja na wabunge wote wa CHADEMA katika maeneo husika.
CHADEMA itatumia operesheni hii ya wiki mbili kuandaa umma wa Watanzania juu ya masuala kadhaa muhimu kwa hatma ya nchi yao;
1. Mjadala wa rasimu ya pili ya katiba mpya- Bunge Maalum la Katiba Mpya Wakati huu ambapo nchi Watanzania wanasubiri vikao vya Bunge Maalum la Katiba, pamoja na Tume ya Warioba kufanya kazi nzuri kwa kukusanya na kuzingatia maoni ya watu (ambayo CCM wanayapinga wakiweka mbele maslahi ya chama chao badala ya Watanzania wenye nchi yao), bado kuna masuala ambayo;
(a) yanahitaji msisitizo yaendelee kubakia kwenye rasimu
(b) yanahitaji kuboreshwa
(c) yanahitajika kuongezwa kwa sababu hayamo
2. Kuhusu uboreshwaji wa daftari la wapiga kura kwa ajili ya kura ya maoni kuamua Katiba Mpya na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.
Hii ni moja ya shughuli ya 'kufa na kupona' mwaka huu kwa sababu kuna mamilioni ya Watanzania hadi sasa Serikali ya CCM imewanyima haki yao ya kikatiba ya kufanya maamuzi yanayohusu maisha yao, maendeleo yao kupitia kura.
3. Uchaguzi wa ndani ya chama ambao hadi sasa unaendelea katika ngazi ya msingi nchi nzima hatimaye ngazi ya taifa.
4. Masuala ya Watanzania na umiliki wa rasilimali zao ambazo kwa sasa zinaonekana kuwanufaisha wageni, watawala na watu wenye mahusiano na watawala, pia hali ya ugumu wa maisha inayozidi kuwakabili wananchi ikiwa na uhusiano na uongozi mbovu unaokumbatia ufisadi na sera zilizoshindwa, yatapewa kipaumbele kikubwa katika ziara hii.
5. Bila kusahau kwamba 'all politics is local', hivyo chama kitatumia fursa hii kuzungumza na wananchi juu ya kero mbalimbali zinazowakabili na CHADEMA inaweza ku-offer nini. Na mengine kadha wa kadha yenye umuhimu kwa maendeleo ya watu.
Ifuatayo ni ratiba ya leo na kesho kwa timu tatu za angani ambazo zinatumia usafiri wa helkopta 3;
Timu ya Katibu Mkuu, Dkt. Slaa;
Mbambabay, Mbinga, Peramiho, Namtumbo kisha kwa leo watamalizia Songea Mjini
Timu ya Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Issa Saidi Mohamed
Nzega (Ndala), Igunga (Nkinga), Tabora Kaskazini (Mabama) na Tabora mjini
Timu ya Kamanda Tundu Lissu na John Heche
Lushoto, Korogwe, Muheza na Tanga mjini
* Tutawapatia updates kadri muda unavyokwenda. Accounts za CHADEMA mitandaoni ikihusisha pia 'vyombo' vya chama kama websites na blogs, ndizo zitakuwa vyanzo rasmi vya taarifa za uhakika kwa kila kinachoendelea field.
Tutashirikiana na mods pamoja na watu wengine wote hasa walioko fields kwenye timu zote 6 kuhakikisha Watanzania wanapata taarifa sahihi, za uhakika, kwa wakati, huku pia tukiomba uvumilivu wenu na subira inapolazimika, ili kupata vitu vizuri maana mikutano itafanyika maeneo ya vijijini na mijini.
Punde tutatoa ufafanuzi wa baadhi ya hoja za watu kama vile, kwa nini helkopta (tena idadi imeongezeka, hakuna chama cha siasa kiliwahi kufanya kama hivi kwenye operesheni kama hii), kwa nini PAMOJA DAIMA (wengine wanafikiri ni tofauti na M4C).
Haya karibuni kwa ajili ya M4C- PAMOJA DAIMA hii ndiyo habari yenyewe kwa sasa.
Japan officials defend dolphin hunting at Taiji Cove
By Yoko Wakatsuki and Madison Park, CNN
Japanese dolphin hunt stirs outrage
STORY HIGHLIGHTS
- Local fisherman: Dolphin slaughter took place in cove in Taiji, Japan
- Local officials defend hunting of dolphins as a traditional practice
- Prefecture government allows hunt of more than 2,000 dolphins and porpoises
Tokyo, Japan (CNN) -- The slaughter of bottlenose dolphins in an infamous Japanese cove took place on Tuesday.
| 2009: Film explores dolphin hunts |
About 500 dolphins were
driven into the cove this year, a larger number than usual, according to
the local Taiji fishermen's union. A fisherman who is a union board
member, and who did not want to be named, told CNN that the total number
of dolphins to be captured or slaughtered was less than 100, and that
the rest would be released.
The yearly event is a focal point of the Taiji community's dolphin hunting season,
which many in the community in southwest Japan view as a long-held
tradition. The annual hunting season begins in September and runs
through March, according to animal rights activists.
But the hunt is heavily
scrutinized by environmental activists, who have been monitoring
activities and livestreaming and tweeting about the latest developments.
| Amazon bans sale of dolphin meat |
In recent days,
environmentalist group the Sea Shepherd Conservation Society has
provided livestreams showing bottlenose dolphins splashing frantically
as they tried to escape their human captors. Dolphins separated by nets
into smaller partitions bobbed up and down, trying to reach other
members of their pod. The group said that the dolphins appeared
bloodied, and had had nothing to eat since their capture in Taiji Cove
four days ago.
The union representative
said that the fishermen had introduced what they considered a "more
humane" method of slaughtering the dolphins, cutting their spines on the
beach to kill the animals more swiftly and cause them less pain.
| Group: 250 dolphins could be killed |
Defending tradition
Although the hunting of
dolphins is widely condemned in the West, many in Japan defend the
practice as a local custom -- and say it is no different to the
slaughter of other animals for meat.
Chief Cabinet Secretary
Yoshihide Suga told reporters at a news conference Monday that marine
mammals including dolphins were "very important water resources."
"Dolphin fishing is one
of traditional fishing forms of our country and is carried out
appropriately in accordance with the law. Dolphin is not covered by the
International Whaling Commission control and it's controlled under
responsibility of each country."
Taiji mayor Kazutaka Sangen echoed the sentiments.
"We have fishermen in
our community and they are exercising their fishing rights," he said.
"We feel that we need to protect our residents against the criticisms."
He accused the Sea
Shepherd of using the issue of dolphin hunting to raise funds and
attract attention. The Sea Shepherd Conservation Society has been
live-streaming video of events in the cove and posting frequent updates
on Twitter.
The Wakayama Prefectural
Government, where Taiji is located, gives an annual "catching quota."
This year, the government allows for the hunting of 2,026 small
porpoises and dolphins (557 are for bottlenose dolphins).
The dolphin hunt has
seen some changes, Sangen said. The town wants to create a
whale/porpoise study with the aim of bringing a marine park to the city.
And the method of hunting has been changing, becoming less crude, he
added.
On Monday, the fishermen
focused on selecting dolphins to be sold into captivity at marine parks
and aquariums in Japan and overseas, the conservation group said.
Trainers marked the dolphins deemed unsuitable for captivity, which
would be either killed or driven back out to the ocean, according to the
Sea Shepherd group.
Kennedy's tweet met with criticism in Japan
Caroline Kennedy, the recently installed U.S. ambassador to Japan, tweeted that she is "deeply concerned by inhumaneness of drive hunt dolphin killing."
45 dead, more than 260,000 displaced in Philippines flooding
By Tim Hume, CNN
A resident of Butuan City on the southern Philippine island of Mindanao wades through floodwaters.
========================================================
STORY HIGHLIGHTS
- Flash floods and landslides have left 45 dead in the Philippines in recent days
- More than 55,000 families, or 260,000 people, have been displaced by the storm
- Most of the deaths were by drowning or in landslides
- The heavy rains were brought by tropical depression Agaton, which has now dissipated
(CNN) -- A tropical depression that has brought
flash flooding and landslides to the southern Philippines has left 45
people dead and displaced more than 260,000, authorities say.
Nearly 900,000 people
have been affected by the heavy rains brought by Tropical Depression
Agaton, having lashed the country for days, says the country's national disaster agency, with more than 55,000 families currently in emergency shelter in 585 evacuation centers.
Among those affected are
survivors of November's Typhoon Haiyan, which left millions homeless in
the Philippines, says relief organization Oxfam.
Oxfam's Philippines
country director Justin Morgan said in a statement that thousands made
homeless by Haiyan had been evacuated from rain-collapsed tents and
flooded makeshift shelters to avoid being left exposed to the elements
by Agaton, including in the ravaged city of Guiuan, the first town in
Haiyan's path.
On top of the official
death toll of 45, the Philippines national disaster agency said 68
people were injured and eight missing. Most of the deaths occurred in
the regions of Caraga (19) and Davao (18), both situated on the
southernmost island of Mindanao.
Most of the deaths were by drowning or in landslides, the disaster agency said.
More than 800 houses have
been destroyed by Agaton, and nearly 1,300 partially damaged, while 50
roads and 25 bridges have been rendered impassable by flooding.
The current onslaught of
bad weather began Friday when a low pressure area southeast of Guiuan
developed into a tropical depression, with winds reaching 55 kilometers
per hour (34 miles per hour) near its center.
After drifting east and
west over the south of the country, Agaton weakened to become
categorized as a "low pressure area" Monday. The Philippine Atmospheric, Geophysical and Astronomical Services Administration, PAGASA, said in an advisory late Wednesday that the "low pressure area" had dissipated.
PAGASA said that
Mindanao and the Eastern Visayas could expect isolated showers and
thunderstorms, while strong to gale-force winds associated with the
surge of the monsoon were predicted to affect the seaboards of Luzon and
the Eastern Visayas. It advised fishing vessels not to go to sea in
order to avoid the expected large waves.
Over the last decade,
the Philippines has consistently ranked in the top five most
disaster-hit countries -- along with China, the United States, India and
Indonesia -- according to the Center for Research on the Epidemiology
of Disasters, or CRED.
Sitting on the western
rim of the Pacific Ocean, the Philippines is situated in the most active
area for tropical cyclones, due to the surrounding expanse of deep,
warm ocean water.
Its more than 7,000
islands offer plenty of exposed coastline to the mercy of wind and rain,
while its many mountains, dropping sharply to coastal areas, present a
risk of landslides. Many buildings in the Philippines are not built to
withstand a heavy battering from the elements.
NDUGU WAMFANYIA KITU MBAYA BIBI KIKONGWE WA MIAKA 100 BILA HURUMA...
![]() |
| Bibi kizee, Mwamini Abdallah |
UONEVU! Bibi kizee, Mwamini Abdallah
anayekadiriwa kuwa na umri
wa zaidi ya miaka 100 (alikuwepo wakati wa
Vita ya Kwanza ya
Dunia ya 1914), anadai kunyang’anywa shamba na ndugu
zake kisha kutelekezwa na kumsababishia kuishi kwa tabu.
Akizungumza
na waandishi wetu, bibi huyo anayeishi katika
Kijiji cha
Ngeleka-Usagara mkoani hapa alidai kwamba aliingia
kwenye mgogoro wa
mirathi na ndugu zake aliochangia nao baba
mara baada ya mzazi wake
huyo kufariki dunia.
Bibi huyo alisema kuwa mgogoro huo
ulisababisha kufunguliwa kwa
kesi Mahakama ya Mwanzo ya Misungwi na
hukumu kuwapa haki ndugu
zake hao na yeye kuambulia ardhi kidogo.
Hata hivyo, aliiuza ardhi hiyo kidogo aliyopewa baada ya kukosa huduma za msingi mara alipotengwa na ndugu zake.
Waandishi
wetu wamejionea hali ya bibi huyo ambaye analala
chini akitandika na
kujifunika magunia huku paa la ‘kibanda’ anachoishi likivuja.
Kikongwe huyo anapata msaada kidogo kutoka kwa jirani yake
Halima Said anayemchotea maji na kumpatia akiba kidogo ya chakula.
Alisema kuwa hata kibanda hicho cha
matope anachoishi kwa sasa alijengewa na mama mmoja aliyekuwa nesi
maeneo hayo lakini kwa
sasa kipo hatarini kubomolewa kutokana na
kujengwa kwenye
hifadhi ya barabara inayotengenezwa kutoka Usagara
kwenda Kisesa.
“Nalelomba bhamunhu mnahmbilije naphandike hakulalaa niishiliwa,
alisema bibi huyo kwa Lugha ya Kisukuma akimaanisha ‘naombeni mnisaidie sehemu ya kulala na chakula.’
Kufuatia
ugumu wa maisha ya bibi huyo, mjukuu wake, Mariam John
(15) ndiye
anayemsaidia kwa kufanya kazi za ndani Mwanza mjini
kwa ujira wa Sh.
20,000/= kwa mwezi, fedha ambazo pia hazikidhi mahitaji yao binafsi. Kwa
yeyote atakayeguswa na mateso
anayopata bibi huyu na anataka kutoa
msaada wake, awasiliane
na mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu wa
asasi ya
FARIJIKA kwa namba 0787 040 261 au 075
Tuesday, January 21, 2014
MBUNGE WA CHALINZE, SAID BWANAMDOGO (CCM) AFARIKI DUNIA
Ya huyu Mwanamke wa Russia kukalia hiki kiti chenye umbo la Mwanamke wa Kiafrika umeiona?
Russian Socialite ambae ni muhariri wa jarida la Garage magazine, Dasha Zhukova, ameingia kwenye maporomoko ya matusi na maoni mengine mazito ya watu mbalimbali mtandaoni baada ya kusambaa kwa picha inayomuonyesha akiwa amekaa kwenye kiti kilichotengenezwa kwa mfano wa Mwanamke wa Kiafrika.
Mwanamke huyu ambae anasema ana mapenzi na fashion pamoja na usanii wa vitu kama hivi amekosolewa na wengi ambapo baadhi ya Wanawake hata wenye ngozi kama ya Dasha, wamemkosoa huku wengine wakiuliza ‘bado tunafanya vitu hivi mpaka huu mwaka wa 2014?’
Unataka kuwaona wanaotuhumiwa kushambulia Westgate? tazama walipokwenda eneo la tukio chini ya ulinzi
Ripota wangu wa nguvu Julius Chemitei kutoka Nairobi anaripoti kwamba Hakimu na pande husika dhidi ya washukiwa wa shambulio la Westgate wametembelea eneo la tukio kutekeleza amri iliyotolewa na hakimu mkuu Daniel Ojenja wiki iliyopita kabla ya kesi hiyo kuahirishwa.
Hakimu Daniel Ochenje alizungumza na waandishi kwenye hii ziara na kusema umuhimu wa ziara hiyo ni kuwezesha pande husika kupata taswira ya eneo hilo wakati Mashahidi wanapolihusisha eneo la tukio kwenye ushahidi wao Mahakamani.
Mawakili wa washukiwa wanaendelea kusimamia kwamba wateja wao hawana hatia yoyote na baada ya ziara hiyo walikua tayari kuendelea na kushirikiana na Mahakama wakati wakisubiri uamuzi kutolewa.
Kesi hiyo itaendelea kusikilizwa tarehe 27 & 28 January 2014 wakati upande wa mashtaka ukitarajiwa kuwasilisha mashahidi wengine 28 ambapo hata hivyo kumekuwa na malalamiko kutoka kwa mawakili wa upande wa Washukiwa kwamba viongozi wa mashtaka hawajawapa taarifa za polisi zilizoandikishwa na mashahidi.
Hawa ni baadhi wa washukiwa wenyewe wanaotuhumiwa kuhusika na shambulio la Westgate.
MZIMU WAIBUKA UWANJA WA MPIRA -LIVE BILA CHENGA:
I wonder if she scored that night. More photos after the jump.
All these happened live at the football stadium.
I don't really know what is wrong with her,but i think she is up to something.
Sunday, January 19, 2014
DACICO YAKARIBISHA WANAFUNZI WAPYA- YAICHAKAZA MLIMANI PROFESIONAL KATIKA MCHEZO WA SOKA.
| Mchezaji wa Timu ya DACICO FC. Haji (kulia) akiwasili kwenye uwanja wa kibamba chama kwa ajili ya mpambano dhidi ya timu ya wanafunzi wa Mliman Profesional. |
Subscribe to:
Posts (Atom)

















