TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, July 17, 2014

HAPPINESS MAGESE KUKOJOA KWA KUTUMIA MIRIJA MAARUM

                    HIVI NDIVYO ANAVYO KOJOA SASA

JINA lake kamili anajulikana kama Happiness Millen Magese. Ni mshindi wa Shindano la Miss Tanzania Mwaka 2001.Happiness Magese (35), alikuwa akifanya kazi zake za uanamitindo nchini Afrika Kusini chini ya Kampuni ya Ice Model Management na alikaa huko kwa miaka nane kabla hajahamia katika Jiji la New York, nchini Marekani ambapo amesaini mkataba na Kampuni ya Ford Models mpaka sasa hivi. Ana miaka minne na tayari ameshaongezewa miaka miwili zaidi ya fani hiyo ya uanamitindo duniani.
Happiness Magese anasihi wanawake kucheki afya zao mara kwa mara wasije wakakutwa na tatizo kama lake la ugumba ambalo limeharibu na kibofu chake na kupelekea hata kushindwa kukojoa kwa njia ya kawaida na badala yake anatumia mipira, ni vema kuchek afya mara kwa mara.

MATAWI MAALUMU YA UMOJA WA VIJANA WA CCM KUIMARISHWA VYUONI.

Mkuu wa utawala wa UVCCM Taifa Comred OMARI MWANANG'WALU akizungumza na baadi ya vijana kutoka vyuo mbalimbali vya mkoa wa DSM ambao walikuja kujifunza mambo mbalimbali ya UVCCM MAKAO MAKUU,,,KAMA VILE ,KANUNI YA UVCCM NA IDARA ZA UVCCM MAKAO MAKUU,,,,,
AKIAMBATANA NA COM MPOKWA,,kwa pamoja waliwapongeza vijana hao kwa moyo wao wakujenga UVCCM imara...
mkuu wautawala alisema.."..tunatafuta utaratibu mzuri zaidi wa kuona tunaimarishaje matawi ya umoja wa vijana vyuoni nchi nzima,,,baada ya kikao na viongozi wenzangu tutawajulisha nini tumeamua kwa pamoja....."

MOTO WA MWANANYAMALA NA ROHO ZA UKATILI WA MIOYO YA WATANZANIA


Hii Ilikuwa Kama Picha ya Kivietinamu, maana tukio lenyewe ilikuwa kama jambo la kawaida kuona moshi wa Moto, ukianza Mdogo mdogo, Kamera Yetu inayoangaza pande zote yenyewe kazi yake ilikuwa ni kuhakikisha inakusanya vipande vipande (Crips) za Matukio isipikuwa Mkanda huu meneja aliyeandaa Vipande hivi naona hakutarajia kama kutatokea madhara makubwa kama ilivyo sasa, Pengine kwa mtazamo wake baada ya kuangalia Mikanda ya Wenzetu wa huko Majuu, Maana Movie za wenzetu kama unavyojua  tena, Wakiamua kutumia Magari basi Wanayateketeza kwa moto ili mradi tu Sinema hiyo Ikamilike, Tren na hata NDEGE.
Sasa mimi najiuliza kweli inakuwaje Moto Mkubwa kama huo unatokea wakati Vyombo husika vipo tena Mwananyamala Siyo Eneo ambalo utasema hakuna vitendea kazi, Vyombo husika vipo na Vimewekeza kwenye ardhi ya Mwananyamala, Watu walikuwapo wengi sana wa kuweza kuleta Amani kwa Kuchukua hatua Mapema, Kila Mtu siku hizi hakosi kuwa na Simu Mkononi, Sasa nikuulize wewe unayesoma muda huu hii habari, hiyo simu yako Mkononi unajua Matumizi yake? au ya kwako kazi yake ni kuwasiliana na huyo Mkeo/Mmeo/Boyfred/mchumba/biashara gani?Wizi tu; au kwa kuwa siku hizi kuna hata simu za Shilingi 1500? ndiyo maana hata wewe unayo, maana Simu ZENU hizo kuwaka zinawaka ila kubonyezeka hazibonyezeki.
Umbea tu unakusumbua, kuwa mwandishi wa habari basi utafute habari na utuletee matukio unayodhani kwamba unapenda yaendelee kutokea, unapata faida gani unaposhuhudia Uharibifu Mkubwa tena wa hatari kubwa ususani kwa Watoto wasiojua jinsi ya kujikwamua, au ndiyo ukomavu sasa wa Watanzania katika Maandalizi ya Uvunjifu wa Amani wa Makusudi unaoutafuta kwa Visingizio Visivyoturidhisha?
Tafakari@Kuhusu Mwananyala.