TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, August 13, 2014

Details from night of Robin Williams's death emerge


Details from night of Robin Williams's death emerge
Kylie Jenner Celebrates Her 17th With Justin Bieber, Chris Brown, and Sisters
Yahoo Celebrity
Chris Rock Remembers His 'Mentor' Robin Williams
Good Morning America
'God' and Angel in Photograph of Clouds Over Cape Coral, Florida
Huffington Post
"I Haven't Had a Chance to Grieve Since I Got the Phone Call."
Huffington Post

Emblem3 - Tonight at 8:40PM ET

CCM WATOA POLE MSIBANI MTAMA

Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Mhesimiwa Bernard Membe akisalimiana na Salum Said Mchora ambaye amepoteza mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miaka 23 Said S. Mchora  mkazi wa Masasi,Majengo.Watu 8 wamepoteza maisha na wengine watatu kujeruhiwa kwenye ajali ya gari iliyotokea Mtama tarehe 8/8/2014

Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Mhesimiwa Bernard Membe akititoa  mkono wa pole kwa Ndugu Said Mchora ambaye amepoteza mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miaka 23 Said S. Mchora  mkazi wa Masasi,Majengo kwenye ajali ya gari iliyotokea Mtama karibu na stendi ya mabasi ya Masasi,Katikati ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa Nape Nnauye ambaye alitoa salaam za rambi rambi kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi.
Watu 8 wamepoteza maisha na wengine watatu kujeruhiwa kwenye ajali ya gari iliyotokea Mtama tarehe 8/8/2014

Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Mhesimiwa Bernard Membe akiongozana na  Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa Nape Nnauye kwenda kutoa salaam za rambirambi kwa familia zilizopoteza jina wao kwenye agari ya gari iliyotokea Mtama,kulia ni  Mwenyekiti wa Bodi ya Washauri wa Madini,Richard Kasesela .Watu 8 wamepoteza maisha na wengine watatu kujeruhiwa kwenye ajali ya gari iliyotokea Mtama tarehe 8/8/2014

Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Mhesimiwa Bernard Membe pamoja na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa Nape Nnauye wakimsikiliza Mzee Halfani Libaba ambaye ameondokewa na mtoto wake wa kiume Rajab Halfani kwenye ajali mbaya ya gari lililoacha njia wakati dereva akijaribu kumkwepa mbuzi na kusababisha vifo vya watu 8.

 Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Mhesimiwa Bernard Membe  na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa Nape Nnauye pamoja na viongozi wengine wa CCM Mkoa na Wilaya ya Lindi wakionyeshwa eneo ambalo ajali ilitokea.
 Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Mhesimiwa Bernard Membe pamoja na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa Nape Nnauye wakimpa pole mpiga picha maarufu Mohamed Selemani ambaye amelazwa kwenye hospitali ya Nyangao mkoani Lindi.
 Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Mhesimiwa Bernard Membe akimjulia hali na kumpa pole Ndugu Shaaban Issa mmoja wa majeruhi watatu wa ajali ya a gari iliyotokea Mtama na kusababisha vifo vya watu 8.

Sunday, August 10, 2014

President Obama Addresses the Situation in Iraq

Last night, President Obama made a statement addressing the current crisis in Iraq. He announced that he authorized two operations in the country: "targeted airstrikes to protect our American personnel, and a humanitarian effort to help save thousands of Iraqi civilians who are trapped on a mountain without food and water and facing almost certain death."
The President detailed the actions that the U.S. is taking, and explained why we must act now. He also made clear that "even as we support Iraqis as they take the fight to these terrorists, American combat troops will not be returning to fight in Iraq."
Watch President Obama's full statement from last night.
President Obama Makes a Statement on the Crisis in Iraq.

 
 
  Top Stories
Chart of the Week: Number of Americans Applying for Unemployment Benefits Lowest Since 2006
As the economy moves forward, the number of people who are applying for unemployment insurance is dropping. Just this week, the four-week moving average of initial claims for unemployment benefits hit their lowest level since 2006.
Yesterday, President Obama traveled to Fort Belvoir, Virginia to sign a reform bill giving the Department of Veterans Affairs the necessary resources to improve access and quality of care for the men and women who have served our country in uniform.
READ MORE
President Obama Engages with African Leaders on Final Day of the U.S.-Africa Leaders Summit
President Obama and African leaders took part in three action-oriented sessions on Wednesday as part of the U.S.-Africa Leaders Summit in Washington, D.C. The summit is the largest event any U.S. president has held with African heads of state and government, and builds on President Obama's trip to Africa last summer.

 
 
  Today's Schedule
All times are Eastern Time (ET)
10:00 AM: The President receives the Presidential Daily Briefing
11:30 AM: The President will meet with Secretary of Labor Perez
12:10 PM: The President will meet with Secretary of Commerce Pritzker
12:45 PM: Press Briefing by Press Secretary Josh Earnest WATCH LIVE

 
Did Someone Forward This to You? Sign Up for Email Updates
This email was sent to missdemokrasiatanzania@yahoo.com
Unsubscribe | Privacy Policy
Please do not reply to this email. Contact the White House
The White House • 1600 Pennsylvania Ave NW • Washington, DC 20500 • 202-456-1111