TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, May 29, 2016

TAIFA STARS NA HARAMBEE STARS ZATOSHANA SARE 1-1.

NAPE AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI WA KIWANDA CHA KUBANGUA KOROSHO MTAMA NA KUFANYA MIKUTANO MIWILI YA HADHARA

KITUO CHA MIKUTANO CHA AICC CHAKABIDHI MADAWATI 100








DIWANI WA KATA YA MABATINI JIJINI MWANZA AZINDUA KIKUNDI CHA USHIRIKIANO PEOPLE'S.

JIJI LA DAR ES SALAAM KUJENGEWA MFUMO WA KISASA WA UONDOAJI NA USAFISHAJI WA MAJITAKA PAMOJA NA MIUNDOMBINU MIPYA YA KUSAMBAZIA MAJISAFI MAENEO YASIYO NA MTANDAO WA MABOMBA.

Benki ya TIB Corporate yapongezwa kwa juhudi za kuwezesha makandarasi wazawa






‘Tumeona juhudi za serikali ya awamu ya tano katika kuwawezesha wakandarasi wazalendo, kwa kuanza kuwapa miradi mikubwa, ndio maana tumeanzisha huduma mbalimbali za kibenki kama dhamana ya kibenki bila gharama yoyote pamoja na mkopo wa ununuzi wa vifaa ambazo zitawasaidia wakandarasi wa ndani kufanikisha miradi yao bila usumbufu wowote’ alisema bwana Nyabundege

Waziri wa Mazingira JANUARY MAKAMBA atembelea Jamii ya Wafugaji wa Kimasai

JK AWAFUNDA VIJANA WA CCM VYUO VIKUU JIJINI DAR ES SALAAM

KATIBU MKUU MAMBO YA NDANI YA NCHI AFANYA ZIARA NIDA, ATOA HABARI NJEMA KWA WATUMISHI 597 WALIOSITISHWA MIKATABA YAO











Katibu Mkuu Rwegasira alifanya ziara hiyo kwa lengo la kujifunza zaidi shughuli mbalimbali zinazofanywa na Mamlaka, hata hivyo alipata muda wa kuzungumza na watumishi wa Mamlaka hiyo kuhusu masuala mbalimbali ya kiutendaji

WILAYA YA MPWAPWA KUFANYA HARAMBEE YA KUPATA MADAWATI JIJINI DAR ES SALAAM JUNI 4, 2016









"Kwa muda mrefu hatukuwa na kitengo cha kukarabati madawati yaliyoharibika lakini sasa tumekianzisha na kitasaidia kupunguza changamoto hiyo kwa kitengo hicho kitakuwa kikisaidia na wajasiriamali waliopo kwenye vikundi vya watu 20 ambavyo vipo sita kwa ajili ya kufanya kazi hiyo" alisema Maje

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFANYA ZIARA YA KIKAZI GEREZA MSALATO – DODOMA ATEMBELEA MRADI WA KUPONDA KOKOTO

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AFANYA ZIARA YA KICHAMA PEMBA


 

TTCL YAFANYA UZINDUZI WA NEMBO MPYA .

SERIKALI YAANDAA MKAKATI MPYA WA KITAIFA WA KUPANDA NA KUTUNZA MITI WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI.