TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, April 12, 2013

TANGAZO


MKURUGENZI WA FULLSHANGWE BLOG ANUSURIKA KUCHELEWA UWANJA WA NDEGE BAADA YA GARI YAKE KUPATA TATIZO.




tatizo hilo limetokea jana katikati ya jiji(Posta Mpya) na kulazimika kufanya matengenezo yaliyochukua zaidi ya nusu saa.
(Picha Zote kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania).

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA KUTOKA KATIKA MIJI YA MORO NA DAR ES SALAAM.

 Mazoezi ni njia mojawapo katika kujenga Afya zetu-Vijana wakazi wa Mkoa wa Morogoro wakifanya Mazoezi katika Eneo la Barabara ya Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.
 Wajenzi wa Mitalo ya Kando kando mwa Barabara zilizoko katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Mjini wakiendelea na zoezi hilo katika kuweka Mji Safi wa Morogoro
 Mvua ambazo zimenyesha kwa muda sasa maeneo mbalimbali ya Tanzania, zimesababisha Uharibifu mkubwa wa Barabara ambapo Magari yenye uzito mkubwa yanaendelea kupata tatizo katika Safari zao kama ilivyokutwa hii eneo la Barabara ya Abood Radio mjini Morogoro
 Mkoa wa Morogoro ni kati ya Mikoa ambayo imenufaika na Mvua Zilizonyesha kwa Muda mrefu sasa, kama ambavyo imekuwa Furaha kwa Wakulima wa zao la Mhindi.
 
 Michezo ni Afya, Wazazi mnashauriwa kuwaandaa vijana katika michezo, pichani Watoto wakazi wa Mji wa Morogoro wakicheza mduara
 Biashara ya Kuuza Mafuta imezidi kushamili sehemu mbalimbali za nchi, Mfanyabiashara wa Mafuta akijaza Mafuta katika Sheli ya Gapco kwa kutumia mfumo wa Kidumu kama aliyokutwa na jicho la kamera ya Full Utamu, Posta Mpya jijini Dar es Salaam.
 Kadili siku zinavyosonga na maisha nayo yamezidi kuongamana uhususani kwa kina mama wakazi wa majiji, wakazi wa Dar es Salaam wakikatiza na Mifuko Chupa za Maji ambazo zinauzwa kati ya shilingi 50 hadi 100
 Biashara ya Kuuza Mafuta imezidi kushamili sehemu mbalimbali za nchi, Mfanyabiashara wa Mafuta akijaza Mafuta katika Sheli ya Gapco kwa kutumia mfumo wa Kidumu kama aliyokutwa na jicho la kamera ya Full Utamu, Posta Mpya jijini Dar es Salaam.
 Pamoja na Dar es Salaam kuwa jiji kubwa, lakini Pia bado kuna barabara zingine ni kero kwa wapita njia, wakazi wa Ilala wakitoa msaada wa kusukuma gari ambalo limezimika wakati likijaribu kukwepa dimbwi la maji yaliyosababishwa na kunyesha kwa Mvua mfululizo maeneo tofauti ya nchi.
 Watumia Vyombo vya Moto Maeneo mbalimbali ya Msongo mkuwa watu na maeneo wanamo ama kuvuka walemavu mmetakiwa kuwa waangalifu wakati wa kuzitumia barabara hizo.
 Vijana mmetakiwa kujituma katika kazi, pichani Vijana wakazi wa Mabibo jijini Dar es Salaam wakiendelea na Zoezi la kupakia mizigo
 Wakati Mwingine Maji katika jiji la Dar es Salaam inakuwa Tatizo ususani wakati huu wa Ujenzi wa barabara ambapo mabomba mengi yamekatika hivyo kuwafanya kinamama kuangaikia maji kama ambavyo wakazi wa Ubungo Maziwa wakisubiri kwa udi maji yaliyokuwa yakichuruzika kutoka katika mipira iliyokatika.
 Mjasilia Mali Mkazi wa Dar es Salaam, akikatiza na Guta kuvuka Taa za kuongoza magari Ubungo
 Wakazi wa Kigogo jijini Dar es Salaam, wakiwa wamemzingira mama ambaye amesadikiwa kugongwa na bodaboda kisha boda boda hiyo kutoweka.
 Sanamu la Simba ambalo linaonekana katika Barabara ya Mburahati njia ya Kigogo kivutio kwa Watoto
 Wamasai ambao ivi sasa wamejaa katika eneo la Ilala wakijihusisha na usukaji, wameamua kuwa na chama cha ushirika, pichani wakiwa katika kikao leo
 Askari Magereza wa Mkoa wa Morogoro wakikatiza katika Mitaa na Wafungwa, kama ambavyo wamekutwa na jicho la Mwandishi Wetu
 Wafanyabiashara ya Mitumba katika Mji wa Morogoro wakika wakiwa katika pilika za kupeleka Biashara zao kwa ajiili ya mauzo.
 Mjasilia Mali wa Mji wa Morogoro akiwajibika
 Ongezeko la Nauli za Daladala nafuu ya wenye malori ambao majira ya jioni na Asubuhi sana wanakula vichwa
 Soko la Boda boda Mkombozi wa Vijana wengi kama ambavyo vijana hawa wakisubiri wateja wao katika barabara kuu ya M ji wa morogoro
 Watumia vyombo vya Moto katika miji mikubwa, mnatakiwa kuwa makini ususani gari kuisha mafuta, maan a tukio hilo linatokana na uzembe wako
Mjasilia Mali Mkazi wa jiji la Dar es Salaam, akiuza fagio katika Chuo cha Uhandishi wa Habari DSJ kilichopo Sharif Shamba Leo.(Picha Zote Kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania)

ELIMU KWANZA


MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA KATIKA JIJI LA DAR ES SALAAM

 Madereva wa Vyombo vya Moto wameaswa kuwa waangalifu wakati wakitumia vyombo vya Usafiri, ajali hii imetokea kutokana na Uzembe wa Dereva wa Pikipiki .
 Wakazi wa Mbagala wakijaribu kumtuliza Jamaa ambaye alisadikiwa kufanya Vurugu Kutokana na Kuzidisha Pombe kupita Kiasi katika Bar ya Tumaini Mbagala kuu jijini Dar es Salaam.
 Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wameaswa kutoa jitiada za kusaidia Watoto hawa ambao wanaishi katika Mbuyu huu uliopo eneo la Gymkana Posta.
Sanaa ni mchezo ambao ni burudani machoni mwa watu, kama ambavyo Vijana hawa walipokuwa wakitoa burudani hiyo wakati wa Tamasha la Tigo KABANG katika eneo la Mbagala Kizuiani hivi karibuni.
(Picha Zote kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania)

Thursday, April 11, 2013

EWE MTANZANIA TEMBELEA NA TANGAZA HIFADHI ZA TAIFA


The White House, Washington


Hello, all --
For the first time since the 1990s, Congress might be on track to pass legislation aimed at reducing gun violence in the United States. And it's because folks in Washington are starting to understand that the rest of the country isn't going to sit by and let them ignore this issue. Your voices are the reason we have a chance to win this debate. The American people expect and demand a yes or no vote.
But this is a critical moment. It's been almost four months since the tragedy at Sandy Hook Elementary School in Newtown, thousands more Americans have died at the hands of gun violence, and time is on the side of those who would prefer that we do nothing.
We want to make sure that your voices are impossible to ignore. So we're asking people from all over the country to speak out online in concert -- all at the same time. Will you join us?
Pledge to speak out about the need to reduce gun violence.
It's easy to participate. Over the next few days, anyone can sign up to tweet or share a message to Facebook. Through that time, we'll gather up as many people as we can. Then we'll make sure that all these individual messages get posted together in the same moment for maximum effect.
That wave of social media will get seen by millions and millions of people.
We're talking about common-sense reforms. Like the idea that any of us who want to buy a gun should have to go through a background check first -- which 90 percent of Americans support.
So let's make sure that there's absolutely no confusion about the public consensus.
Pledge to speak out with us, and then forward this email to your family and friends:
Thanks!
David
David Simas
Deputy Senior Advisor
The White House 




 
This email was sent to missdemokrasiatanzania@yahoo.com.
Unsubscribe | Privacy Policy

Please do not reply to this email. Contact the White House

The White House • 1600 Pennsylvania Ave NW • Washington, DC 20500 • 202-456-1111


TUZO 12 ZA FURAHA NA MAJONZI KWA WASHIRIKI WA FAINALI ZA TAIFA ZA MISS UTALII TANZANIA 2012/13 ZILIZOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA HIFADHI YA TAIFA MIKUMI NATIONAL PARK .NA KUZINDUA UPYA KAMBI YA TAIFA AMBAYO INAJIANDAA KUTOA WAWAKILISHI 5 WA DUNIA KATIKA MASHINDANO YA KIMATAIFA MWEZI WA SITA MWAKA HUU.

Kazi ya MC ni kuwafanya wanaosherehekea na kusherehekesha kufikia Malengo yao, hivyo kwa  MC huyu kazi yake ilikuwa ni kufurahi muda wote katika tukio hilo
 Miss Utalii Morogoro akiwaza wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12
  Miss Utalii Mbeya -wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12
  Miss Utalii Zanzibar yeye ilikuwa kama  ivi -wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12
  Miss Utalii Kilimanjaro, ambaye muda mwingi uonekana kuwa mtulivu muonekano wake iikuwa ivi -wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12
  Miss Utalii Rukwa akipotezea kwa kuchati na marafiki wa febook -wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12
  Miss Utalii Ruvuma alianza kupatwa na baridi la gafla Mara joto lilipanda hata kufikia kuitaji  kipoza koo -wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12
  Miss Utalii Tabora uvumilivu ulipita kando na kuamua kutandika kitanda bila godoro wala neti -wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12
  Miss Utalii Kagera ilibidi kuwaza kwa Marefu na mapana kutokana na jinsi alivyoweza kuvuka Ziwa Victoria na safari yake ndefu Mpaka Dar es salaam, yeye ilikuwa katika hali hii -wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12
  Miss Utalii Shinyanga -wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12 ilibidi kuwa katika hali hii.
  Miss Utalii Kigoma yeye pozi lake ilikuwa ivi -wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12
  Miss Utalii Simiyu ilibidi kuwa katika  mwonekao wenye majonzi -wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12
  Miss Utalii Vyuo Vikuu Kama ivo -wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12
  Miss Utalii Dar es Salaam 1 kwake hali ilikuwa mbaya zaidi-wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12
  Miss Utalii Ruvuma baada  ya baridi mara tena joto -wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12
 Washiriki hawa wa Miss Utalii Tanzania -wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12 wao haikuwapa kabisa isipokuwa muda wote walikuwa wakichungulia huko meza kuu kama kunaweza kusikiwa kwa sala zao wakati huo zikitoka katika Mioyo yao.maana hata viti havikukalika.
  Miss Utalii Simiyu mara tena ilibidi kufanya mapitio,yaani mwanafunzi baada ya kumaliza mtihani inafuata kujisomea hapa ni wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12
  Miss Utalii Mwanza yeye presha inapanda inashuka, kiti akifai wala chini hapakaliki -wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12
  Miss Utalii Lindi yeye ilikuwa ivi -wakati Majaji wakisubiliwa kutangaza Mabalozi wa Tuzo 12

Majaji kwa upande wao walikuwa  na Mvutano wa hapa na pale kutokana na Washiriki Wote kujielezea kwa ushindani wa hali ya juu katika kuvielezea Vivutio Mbalimbali  vya Taifa Vya Utalii na ambacho wanaweza kufanya pindi wakiteuliwa kuwa mwakilishi wa Eneo husika ama  kuwa mwakilishi wa Tanzania katika Mashindano ya kimataifa.
(Picha Zote kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania).