TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, April 29, 2014

WAKULIMA WA ZAO LA TUMBAKU WATAKIWAKUFANYA KAZI KWA MALENGO ILI KUBORESHA MAISHA YAO CHUNYA


Mkuu wa Wilaya ya Chunya Deodatus Kinawiro akifungua  semina iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwa wakulima wa zao la Tumbaku katika Ukumbi wa Sapanjo unaomilikiwa na Halmashauri ya Wilaya Chunya

Mwakilishi wa Meneja wa NMB Kanda Sumka Mbuba amesema Benki ya NMB ina mkakati wa kuwa karibu na wakulima wa mazao mbalimbali na kuendesha semina mbalimbali zitakazowasaidia wakulima kujikwamua kiuchumi.

Meneja wa NMB wilaya Chunya Musa Mumba alisema Benki yake ipo tayari kutoa mikopo kwa wakulima wa zao la Tumbaku na kuwataka kuwa waaminifu katika kurejesha mikopo kwa wakati ili iweze kusaidia wakulima wengine.

Baadhi ya wwezeshaji tika NMB wakimsikiliza mgeni rasmi


Wakulima wa zao la Tumbaku wakiwa makini kumsikiliza mgeni rasmi




Picha ya pamoja


Mkuu wa Wilaya ya Chunya Deodatus Kinawiro amewataka wakulima wa zao la Tumbaku kufanya kazi kwa malengo ili kuboresha maisha yao na Watanzania ili kupata matokeo makubwa sasa(BRN).
Ameyasema hayo alipokuwa anafungua semina iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwa wakulima wa zao la Tumbaku katika Ukumbi wa Sapanjo unaomilikiwa na Halmashauri ya Wilaya ili kuleta tija kwa wakulima ambao wamekuwa na maisha duni.
Kinawiro ameitaka Benki ya NMB kutoa mikopo nafuu kwa wakulima wa Tumbaku na kukopesha Pembejeo kwa gharama nafuu ili vyama viweze kujikwamua kiuchumi kwa ajili ya kupata majawabu sahihi na Serikali inaunga mkono juhudi zinazofanywa na Benki hiyo.
Aidha amewataka viongozi wa vyama vya Ushirika na Benki kufanya kazi kwa uadilifu na kuacha kukwepa kutorosha Tumbaku na kupeleka mikoa mingine na nchi jirani kwa nia ya kukwepa madeni wanayodaiwa pia kufanya hivyo kunakosesha serikali mapato yake yanayotokana na ushuru.
Pia amewataka wakulima wa zao la Tumbaku kuweka pesa benki na kuhakikisha wanapanda miti ili kutunza mazingira na kupata nishati mbadala ili kuhifadhi mazingira ya Wilaya ya Chunya.
Hata hivyo Mkuu wa wilaya ya Chunya alitumia fursa hiyo kuiomba Benki ya NMB kusaidia mazao mengine kama ufuta ambayo yamekuwa yakichangia kwa kiasi kikubwa pato la wilaya hiyo.
Kwa upande wake Mwakilishi wa Meneja wa Kanda Sumka Mbuba amesema Benki ya NMB ina mkakati wa kuwa karibu na wakulima wa mazao mbalimbali na kuendesha semina mbalimbali zitakazowasaidia wakulima kujikwamua kiuchumi kama siku za hivi karibuni walifanya semina ka hii kwa wakulima wa zao la Kahawa ilyojumuisha wilaya za Mbeya,Mbozi,Rungwe,Ileje na Mbeya.
Meneja wa NMB wilaya Chunya Musa Mumba alisema Benki yake ipo tayari kutoa mikopo kwa wakulima wa zao la Tumbaku na kuwataka kuwa waaminifu katika kurejesha mikopo kwa wakati ili iweze kusaidia wakulima wengine.

Na Mbeya yetu 
Chunya

BASI LA AM LAMGONGA MWENDESHA BAISKELI ENEO LA MAJENGO ARUSHA


Mwendesha Baiskeri akiwa ameumia vibaya Mguuni baada ya kugongwa na Basi hilo
Picha na Arusha yetu Blog

Friday, April 18, 2014

MAMA AMSAMEHE NA KUMFUNGUA KITANZI MFUNGWA ALIYE HUKUMIWA KUFA KWA KUMUUA MWANAE

Wanasema uchungu wa mwana aujuae mzazi! Na kutokana na uchungu huo wa mama, ni vigumu kumshawishi akae meza moja na mtu aliyemuua mwanae kwa makusudi tena kwa kumpiga hadi kuhakikisha anakata roho.

Lakini imekuwa tofauti na jambo lililowaacha mdomo wazi umati wa watu uliohudhuria kushuhudia kunyongwa kwa mwanaume aliyemuua kijana mwenye umri wa miaka 18 nchini Iran ambako hukumu ya kunyongwa hadharani ni kawaida kwa mtu aliyepatikana na hatia ya kuua kwa kukusudia, pale ambapo mama mzazi wa marehemu alipoingilia na kumfungua kitanzi muuaji huyo sekunde ya mwisho.
Kwa mujibu wa The Guardian, mwanaume huyo aliyejulikana kwa jina la Balal alikuwa tayari amefungwa kitambaa cheusi na kuvalishwa kitanzi akisubiri amri ya kitanzi kufyatuliwa, ghafla mama huyo alimzaba kibao usoni na kuanza kumfungua kitanzi akisaidiana na mumewe!

“Mimi ni mtu wa imani.” Alisema mama huyo aliyefahamika kwa jina la Samereh Alinejad. “Nilipata ndoto ambayo mwanangu alikuwa ananiambia kuwa yuko katika sehemu nzuri na yenye amani…baada ya hapo, ndugu zangu wote, hata mama yangu, wakaanza kunihimiza nimsamehe muuaji huyu.”
Balal alihukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumpiga vibaya Abdollah Hosseinzadeh (18) hadi kumuua katika ugomvi uliotokea mtaani kati yao mwaka 2007.

Tuesday, April 15, 2014

Fredy Tony added 2 new photos. 7 hrs · Haya yaligongana moja likaingia chaka moja likapinduka ..kila moja na upande wake wa barabara Fredy Tony's photo. Fredy Tony's photo. Like · · Share Bana Kang'ata likes this. Mpalule Shaban Mwezi huu nimeshuhudia ajali nyingi sana barabara ya kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro na ile ya kwenda Mbeya baada ya Mikumi, lakini nahisi sema zilitokana na utelezi uliokuwa umeambatana na mvua za hapa na pale. lakini pia nawashauri madereva kwenda mwendo wa kawaida. kwani mwendo kasi ndo chanzo cha ajali.

Fredy Tony added 2 new photos.
7 hrs ·
Haya yaligongana moja likaingia chaka moja likapinduka ..kila moja na upande wake wa barabara
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Like · ·
  • Bana Kang'ata likes this.
  • Mpalule Shaban Mwezi huu nimeshuhudia ajali nyingi sana barabara ya kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro na ile ya kwenda Mbeya baada ya Mikumi, lakini nahisi sema zilitokana na utelezi uliokuwa umeambatana na mvua za hapa na pale. lakini pia nawashauri madereva kwenda mwendo wa kawaida. kwani mwendo kasi ndo chanzo cha ajali.

TIZAMA HAPA JINSI LOWASSA ALIVYOMKARIBISHA RAIS MSTAAFU MKAPA WILAYANI MONDULI

Rais mstaafu wa awamu wa tatu Mh Benjamin Mkapa amefanya ziara kutembelea shule ya msingi ya Manyara Ranchi inayofadhiliwa na shirika la kimataifa la uhifadhi wa wanyamapori la African Wildlife Foundation  Wilayani Monduli. Mzee Mkapa ni Makamu Mwenyekiti wa shirika hilo lenye makao yake mjini Washington Marekani. picha mbalimbali zinamuonesha Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akimuongoza Rais Mkapa kuzuru shule hiyo.
 Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akizungumza Mzee Mkapa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akiagana na  Mzee Mkapa
 
NA: RWEYEMAMU BLOG

AJALI BARABARANI

:Liliacha njia
 
 
 
 
 
 
 
Like · ·

MAZIKO YA GUROMO ANGALIA MATUKION KATIKA PICHA

Monday, April 14, 2014

MKUU WA MKOA WA ARUSHA AZUNGUMZIA TUKIO LA BOMU KULIPUKA KWENYE BAA USIKU APRILI 13, 2014

Usiku wa April 13 2014 kwenye baa iitwayo ‘Arusha night park’ iliyopo Mianzini Arusha ambayo siku zote ni miongoni mwa sehemu zinazokua na mkusanyiko wa watu wengi kuanzia jioni, limerushwa bomu wakati watu mbalimbali wakitazama mpira.
Blog hii imepata nafasi ya kuongea na mkuu wa mkoa wa Arusha ambae ni kiongozi
wa Kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa ambae amethibitisha kwamba ni
watu 15 wamejeruhiwa kwenye mlipuko huo.
Anasema
wote wamepelekwa hospitali ambapo uchunguzi wa awali umeonyesha bomu
hilo ni la kutengenezwa kwa mkono na mpaka sasa hajajulikana
alietekeleza shambulio hilo.
Kwenye sentensi nyingine pia amesema hakuna aliepoteza maisha kwenye shambulio hilo ambalo uchunguzi wa awali umeshatoka, ila baadae itatoka taarifa rasmi pale uchunguzi kamili utakapokamilika.

ANGALIA PICHA ZA MUONEKANO WA DARAJA LA MTO RUVU LLILOJAA MAJI NA KUSABABISHA MAGARI KUSHINDWA KUPITA



Saturday, April 12, 2014

MVUA JIJI DAR ZALETA MAFURIKO YAMAKUBWA

Hapa ni eneo la Jangwani Uwanja wa Club ya Yanga na nyumba zilizopo pembeni yake pakiwa pamejaa maji na barabara ya jangwani kutokea Kigogo haipitiki.
Huu ni uwanja wa Club ya Yanga ukiwa umejaa maji.
Hii ni Braking News ya Daraja la Matumbi kutoka Buguruni kuelekea Ubungo.....
Jangwani......
Nyumba za jiraji na Jengo la Yanga Jangwani......
Mito ni kama hivi hatari tupu.....
Hatari tupu eneo la Mbagala.....
Lori likiwa limetumbukia baada ya barabara kukatika kutokana na mvua kubwa iliyosababisha maji kukatiza barabara eneo la Mbagala. Dereva ameokolewa na wasamariawema.
Wananchi wakihama baada ya nyumba zao kujaa maji....
Wananchi wakiokoana kimtindo......
Nyumba za Dar Villa Msasani.....
Hapa ni Bunju, .......
 Sehemu ya maduka yaliyopo eneo la Kituo cha daladala cha ITV yakiwa yamezingirwa na maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam. Kutokana na mvua hizo na maji kujaa kumesababisha msongamano mkubwa wa mago kuanzia jana jioni na leo.
 Barabara ya kuelekea Goba....
 Barabara ya Goba ikiwa imeharibika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.
 Maji yakitiririka kwa kasi katika Mto Mbezi eneo la Bondeni...
 Vijana wakitumia fursa vizuri kwa kujipatia mchanga unaotiririshwa na maji ambapo huwauzia madereva wa maroli.
 Eneo la Mwenge karibu na kituo cha daladala.....
 Moja ya daladala lililokuwa gereji likiwa limezingirwa na maji eneo la Mwenge....
 Maduka ya Mwenge yakiwa yamezingrwa na maji.....
 Mdada huyu alikuwa akipiga hesabu na kujiuliza jinsi ya kuvuka maji yaliyojaa na kukatiza barabara eneo la ITV.
 Mwenge karibu na Zahanati......hakuna njia ya kuingilia Zahanati
 Maduka eneo la Mwenge yamejaa maji....
 Kazi haifanyiki leo katika maduka haya...
 Mwenge eneo la Nakiete......
 Maji yakikatiza barabara eneo la ITV.....
 Mitungi ya Ges ikielea....
Njia panda ya Kwa Nyerere.......