TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, July 26, 2014

Waziri Mkuu Pinda kuwa mgeni rasmi Baraza la Eid- ElL-Fitri.

Na Hassan Silayo-MAELEZO
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Baraza la Eid- ElL-Fitri.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA) Suleiman Lolila baraza hilo litafanyika katika viwanja vya Karimjee kuanzia saa kumi kamili alasiri.
Aidha taarifa hiyo imesema kuwa Sikukuu ya Eid-EL-Fitri inatarajiwa kuwa tarehe 28 au 29 julai 2014 kulingana na mwandamo wa mwezi.
Sikukuu hiyo itaadhimishwa kitaifa  katika Mkoa wa Dar es Salaam na swala itaswaliwa katika viwanja vya Mnazi Mmoja kuanzia saa moja na nusu asubuhi.
Mufti na sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Issa bin Shaaban Simba anawatakia waislam wote na Wananchi kwa ujumla Eid-EL-Fitri njema

Ujumbe wa Bill Gate watua TFDA

 Ujumbe kutoka Bill & Melinda Gates Foundation umefanya ziara Tanzania na kuitembelea pia TFDA kwa lengo la kujionea utekelezaji wa miradi mbalimbali ya afya wanayoifadhili Tanzania. 

Ujumbe huo unaoongozwa na Mkurugenzi katika Mfuko huo Bw. Michael Poole, umesifu maendeleo ya Mradi wa ADDO na Uwianisho wa mifumo ya udhibiti wa dawa kwa nchi za Afrika Mashariki, miradi ambayo TFDA imekuwa ikisimamia utekelezaji wa ADDO hadi mwaka 2012 na kushiriki Uwianisho wa mifumo ya udhibiti wa dawa katika Jumuiya ya Afrika Mashariki toka mwaka 2012 hadi sasa. 

Hivi sasa ADDO inasimamiwa na Baraza la Famasi kufuatia Sheria ya Famasi ya mwaka 2011.Wenyeji wa ujumbe huu ni Shirika la Menejimenti ya Sayansi ya Afya (MSH) ambao ni wadau wakuu wa mradi wa mpango wa ADDO nchini.
  Picha ya kikao cha ueasilishaji wa taarifa za maendeleo ya miradi inayofadhiliwa na Mfuko huo

 Picha ya pamoja ya ujumbe kutoka Mfuko wa Bill & Mellinda Gates, Maafisa wa TFDA, MSH na Baraza la Famasi mara baada ya ziara ya TFDA.
Picha ya Kaimu Murugenzi Mkuu TFDA, Dkt. S.S Ngendabanka, akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Mfuko wa Bill & Mellinda Gates Bw. Michael Poole katika viwanja vya TFDA

ALIYECHOMWA NA SHOKA MADAKTARI WASEMA KUHUSIANA NA TAARIFA YA UPASUAJI

 Mgonjwa akiwa wodini na shoka kichwani.
NI tukio la kutisha! Tukio hilo linadaiwa kutokea jijini Mwanza ambapo mwanaume mmoja (jina halikupatikana mara moja) amepigwa shoka la upande wa kushoto wa kchwa na kuzama ndani ikidaiwa ni sababu ya kufumaniwa.
 Picha za tukio hilo zilitumbukizwa mitandaoni na mtu anayedaiwa ni daktari aliyekuwa akimfanyia upasuaji mtuhumiwa huyo. 

TAARIFA FUPI
Kwenye mitandao ya kijamii, picha hizo ziliambatana na maelezo mafupi sana kwa chini yakisomeka hivi:
 “Baada ya madoctor (madaktari) wa Bugando kupambana kuokoa maisha ya jamaa aliyefumaniwa huko Mwanza hatimaye wamefanikiwa kumtoa shoka kichwani na hali yake bado mbaya, yuko ICU (chumba cha wagonjwa mahututi) kwa uangalizi zaidi. Mke wa mtu sumu!” 
MAZINGIRA YA PICHA
Kwenye baadhi ya picha, mwanaume huyo anaonekana ana nywele ndefu kidogo na mustachi ulionona. Picha nyingine zinamuonea akiwa na kipara nusu kichwa baada ya kunyolewa nywele ili madaktari waweze kumfanyia upasuaji wa kulitoa shoka hilo lililozama ndani sana. 
MAZINGIRA YA HOSPITALI
Baadhi ya watu waliochangia kwenye mitandao ya kijamii walisema tukio hilo lilitokea nje ya Tanzania. Walisema ingekuwa Bongo lazima vyombo vya habari vingeandika lakini hata hivyo, mazingira ya chumba cha upasuaji alicholazwa mwanaume huyo yalionesha ni Tanzania.
Shoka likiwa limetolewa na madaktari wa upasuaji.
 KWA NINI NI TANZANIA?
Ni Tanzania kwa sababu, picha zinamuonesha mwanaume huyo akiwa kwenye kitanda cha chumba cha upasuaji akiwa amefunikwa shuka yenye maandishi yanayosomeka kwa kifupi MSD.
MSD ni kifupi cha maneno Medical Stores Department (Bohari Kuu ya Dawa). Mbali na kugawa dawa katika hospitali za serikali nchini, pia MSD inatoa mashuka yenye nembo hiyo kwa ajli ya kujifunika wagonjwa mahospitalini. 
RPC ASHTUKA
Ili kupata ukweli wa madai hayo kwamba mwanaume huyo alikutwa na mkasa huo mkoani Mwanza na kulazwa katika Hospitali ya Bugando, Risasi Jumamosi liliingia kazini kufuatilia tukio hilo kwa kuzungumza na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Christopher Fuime na kumuuliza kama ana ishu hiyo mezani kwake. 

“Mh! Hivi nyiye mnajua kama mitandao siku hizi imezua balaa kubwa sana? Hivi tukio kama hilo, mwanaume apigwe shoka mpaka kuzama kichwani, alazwe Bugando Hospital mimi nisijue? “Hakuna kitu kama hicho. Hayo ni mambo ya mitandao tu, sijui wametoa wapi? Halafu si umeona hata maelezo hayajitoshelezi? Mimi mkoa wangu upo shwari kabisa mpaka hivi ninavyoongea na wewe,” alisema Afande Fuime kwa sauti iliyoashiria kushtuka.
 
Picha ya X-Ray shoka lilivyoingia pichani.
 DAKTARI BUGANDO AONGEA
Ili kuchimba zaidi, Risasi Jumamosi lilimtuma paparazi wake aliye Mwanza, Mashaka Bartazal ambaye alikwenda hadi Hospitali ya Rufaa, Bugando na kuzungumza na daktari mmoja anayefanya kazi kwenye kitengo cha upasuaji ambapo alisema: 
“Ni kweli tunapokea watu wenye matukio ya kutisha lakini mwanaume aliyepigwa shoka mpaka likazama kichwani hatujampokea,” alisema daktari huyo akiomba asitajwe jina gazetini kwani si msemaji wa hospitali hiyo.  
TUKIO LAHAMISHIWA KAHAMA
Katika hali iliyozidi kuibua maswali, baadhi ya watu waliozungumza na mwandishi wetu wa Mwanza walisema wamesikia mwanaume huyo alikumbwa na balaa hilo wilayani Kahama, Mkoa wa Shinyanga. 
RISASI JUMAMOSI KAHAMA
Kwa sababu Kampuni ya Global Publishers inayochapisha magazeti pendwa Bongo ina waandishi nchi nzima, ilimwagiza mwandishi wake aishiye Kahama kulisaka tukio hilo na kutoa ripoti Makao Makuu, Bamaga-Mwenge jijini Dar ambapo alifanya hivyo kwa kuomba apewe saa mbili tu kufuatilia. 
Baada ya saa mbili kupita, mwandishi wetu alitoa ripoti makao makuu kwamba, hakuna mwanaume aliyelazwa kwenye hospitali yoyote ya wilayani Kahama wala mkoa huo kwa kupigwa shoka la kichwani. 
MASWALI YA MSINGI
Bado jamii imebaki na maswali kadhaa ya kujiuliza. Kwamba, kama ni tukio la Tanzania, hiyo sehemu aliyolazwa mtu huyo hakuna jeshi la polisi? Kwa sababu polisi ndiyo wanahusika na kupewa taarifa za matukio kama hayo na kuyatangaza.
 Pili, jamii inauliza kwamba, inawezekana mwanaume huyo baada ya tukio hakupitia au kupitishwa polisi kwa ajili ya kupewa Police Form No. 3 (PF3)? Kama ni hivyo, hospitali walimpokeaje mtu wa hivyo hasa ikizingatiwa kuwa, hali yake ilionekana ni mbaya kwani hata picha ya X-Ray ilionesha shoka hilo lilizama kiasi cha kama inchi sita kwenda ndani na kubakiza kidogo kutokea upande wa kulia wa kichwa.
Msemaji wa Vatican (Roman Catholic) ametangaza rasmi leo kwamba ujio wa pili wa Yesu, mtoto wa pekee wa Mungu, unaweza usitokee tena, lakini amewahimiza wafuasi wa kanisa Katoliki kuendelea na imani yao, bila kujali taarifa hiyo.
Kardinali Giorgio Salvadore aliiambia WWN kwamba hii ikiwa ni miaka 1981 ya maadhimisho ya mwisho ya kumsubiri Kristo kurudi tena duniani.

Kwa jinsi inavyoonekana tunaona kwamba Yesu hatorudi tena!. 
 Alisema.   
It’s been ages like. He’s probably flat out doing other really good things for people somewhere else.
“It’s been ages like. He’s probably flat out doing other really good things for people somewhere else.” - See more at: http://www.eacvision.com/news/jesus-is-not-coming-back-roman-catholic-leaders-said/#sthash.NG7EEo1R.dpuf
Karibu miaka elfu mbili iliyopita, Yesu aliwaahidi wanafunzi wake kwamba atarudi tena, fuatilia kitabu kitakatifu, katika sura ya Yohana 14:1-3 ya Biblia:

Kwa baba yangu kuna makao mengi, nami nakwenda kuwaandalia ili nilipo mimi nanyi muwepo. Wakati kila kitu kikiwa tayari, ndipo mimi nitakuja kuwachukua ninyi
Vatican ilitetea ahadi ya Yesu kuvunjwa, wakidai:
Pengine alikunywa mvinyo wakati akinena hayo
Kuwa na uwezo wa kugeuza maji kuwa divai kuna mazuri yake na mabaya yake
 Aliongeza Kardinali Salvadore
Sote huwa tunaweka ahadi tusizoweza kuzitimiza pale ambapo tunakuwa tumelewa, Yesu pia hakuwa na tofauti
Akinukuliwa na Fichuo Tz Blog Kardinal Salvadore amesema kuwa sasa kanisa litakuwa likizingatia umuhimu wa kujenga sifa yake duniani kote, lakini kuweka akili matumaini kwa ujio wa mkombozi kwa mara ya pili.
- See more at: http://fichuotz.blogspot.com/2014/07/yesu-kristo-hatorudi-tena-viongozi.html?spref=fb#sthash.8EgKg6oL.dpuf
Msemaji wa Vatican (Roman Catholic) ametangaza rasmi leo kwamba ujio wa pili wa Yesu, mtoto wa pekee wa Mungu, unaweza usitokee tena, lakini amewahimiza wafuasi wa kanisa Katoliki kuendelea na imani yao, bila kujali taarifa hiyo.
Kardinali Giorgio Salvadore aliiambia WWN kwamba hii ikiwa ni miaka 1981 ya maadhimisho ya mwisho ya kumsubiri Kristo kurudi tena duniani.

Kwa jinsi inavyoonekana tunaona kwamba Yesu hatorudi tena!. 
 Alisema.   
It’s been ages like. He’s probably flat out doing other really good things for people somewhere else.
“It’s been ages like. He’s probably flat out doing other really good things for people somewhere else.” - See more at: http://www.eacvision.com/news/jesus-is-not-coming-back-roman-catholic-leaders-said/#sthash.NG7EEo1R.dpuf
Karibu miaka elfu mbili iliyopita, Yesu aliwaahidi wanafunzi wake kwamba atarudi tena, fuatilia kitabu kitakatifu, katika sura ya Yohana 14:1-3 ya Biblia:

Kwa baba yangu kuna makao mengi, nami nakwenda kuwaandalia ili nilipo mimi nanyi muwepo. Wakati kila kitu kikiwa tayari, ndipo mimi nitakuja kuwachukua ninyi
Vatican ilitetea ahadi ya Yesu kuvunjwa, wakidai:
Pengine alikunywa mvinyo wakati akinena hayo
Kuwa na uwezo wa kugeuza maji kuwa divai kuna mazuri yake na mabaya yake
 Aliongeza Kardinali Salvadore
Sote huwa tunaweka ahadi tusizoweza kuzitimiza pale ambapo tunakuwa tumelewa, Yesu pia hakuwa na tofauti
Akinukuliwa na Fichuo Tz Blog Kardinal Salvadore amesema kuwa sasa kanisa litakuwa likizingatia umuhimu wa kujenga sifa yake duniani kote, lakini kuweka akili matumaini kwa ujio wa mkombozi kwa mara ya pili.
- See more at: http://fichuotz.blogspot.com/2014/07/yesu-kristo-hatorudi-tena-viongozi.html?spref=fb#sthash.8EgKg6oL.dpuf
Msemaji wa Vatican (Roman Catholic) ametangaza rasmi leo kwamba ujio wa pili wa Yesu, mtoto wa pekee wa Mungu, unaweza usitokee tena, lakini amewahimiza wafuasi wa kanisa Katoliki kuendelea na imani yao, bila kujali taarifa hiyo.
Kardinali Giorgio Salvadore aliiambia WWN kwamba hii ikiwa ni miaka 1981 ya maadhimisho ya mwisho ya kumsubiri Kristo kurudi tena duniani.

Kwa jinsi inavyoonekana tunaona kwamba Yesu hatorudi tena!. 
 Alisema.   
It’s been ages like. He’s probably flat out doing other really good things for people somewhere else.
“It’s been ages like. He’s probably flat out doing other really good things for people somewhere else.” - See more at: http://www.eacvision.com/news/jesus-is-not-coming-back-roman-catholic-leaders-said/#sthash.NG7EEo1R.dpuf
Karibu miaka elfu mbili iliyopita, Yesu aliwaahidi wanafunzi wake kwamba atarudi tena, fuatilia kitabu kitakatifu, katika sura ya Yohana 14:1-3 ya Biblia:

Kwa baba yangu kuna makao mengi, nami nakwenda kuwaandalia ili nilipo mimi nanyi muwepo. Wakati kila kitu kikiwa tayari, ndipo mimi nitakuja kuwachukua ninyi
Vatican ilitetea ahadi ya Yesu kuvunjwa, wakidai:
Pengine alikunywa mvinyo wakati akinena hayo
Kuwa na uwezo wa kugeuza maji kuwa divai kuna mazuri yake na mabaya yake
 Aliongeza Kardinali Salvadore
Sote huwa tunaweka ahadi tusizoweza kuzitimiza pale ambapo tunakuwa tumelewa, Yesu pia hakuwa na tofauti
Akinukuliwa na Fichuo Tz Blog Kardinal Salvadore amesema kuwa sasa kanisa litakuwa likizingatia umuhimu wa kujenga sifa yake duniani kote, lakini kuweka akili matumaini kwa ujio wa mkombozi kwa mara ya pili.
- See more at: http://fichuotz.blogspot.com/2014/07/yesu-kristo-hatorudi-tena-viongozi.html?spref=fb#sthash.8EgKg6oL.dpuf
Msemaji wa Vatican (Roman Catholic) ametangaza rasmi leo kwamba ujio wa pili wa Yesu, mtoto wa pekee wa Mungu, unaweza usitokee tena, lakini amewahimiza wafuasi wa kanisa Katoliki kuendelea na imani yao, bila kujali taarifa hiyo.
Kardinali Giorgio Salvadore aliiambia WWN kwamba hii ikiwa ni miaka 1981 ya maadhimisho ya mwisho ya kumsubiri Kristo kurudi tena duniani.

Kwa jinsi inavyoonekana tunaona kwamba Yesu hatorudi tena!. 
 Alisema.   
It’s been ages like. He’s probably flat out doing other really good things for people somewhere else.
“It’s been ages like. He’s probably flat out doing other really good things for people somewhere else.” - See more at: http://www.eacvision.com/news/jesus-is-not-coming-back-roman-catholic-leaders-said/#sthash.NG7EEo1R.dpuf
Karibu miaka elfu mbili iliyopita, Yesu aliwaahidi wanafunzi wake kwamba atarudi tena, fuatilia kitabu kitakatifu, katika sura ya Yohana 14:1-3 ya Biblia:

Kwa baba yangu kuna makao mengi, nami nakwenda kuwaandalia ili nilipo mimi nanyi muwepo. Wakati kila kitu kikiwa tayari, ndipo mimi nitakuja kuwachukua ninyi
Vatican ilitetea ahadi ya Yesu kuvunjwa, wakidai:
Pengine alikunywa mvinyo wakati akinena hayo
Kuwa na uwezo wa kugeuza maji kuwa divai kuna mazuri yake na mabaya yake
 Aliongeza Kardinali Salvadore
Sote huwa tunaweka ahadi tusizoweza kuzitimiza pale ambapo tunakuwa tumelewa, Yesu pia hakuwa na tofauti
Akinukuliwa na Fichuo Tz Blog Kardinal Salvadore amesema kuwa sasa kanisa litakuwa likizingatia umuhimu wa kujenga sifa yake duniani kote, lakini kuweka akili matumaini kwa ujio wa mkombozi kwa mara ya pili.
- See more at: http://fichuotz.blogspot.com/2014/07/yesu-kristo-hatorudi-tena-viongozi.html?spref=fb#sthash.8EgKg6oL.dpuf

WANAWAKE WOTE KUANZIA MIAKA 11 HADI 46 NI LAZIMA WAKEKETWE. WAAGIZA WAPIGANAJI WA KIISLAM

 
ISIS yaagiza wanawake wote kuanzia umri wa miaka 11-46 kukeketwa.

Umoja wa Mataifa umeelezea ghadhabu kutokana na Fatwa iliyotolewa na Kundi la wapiganaji wa Kiislamu wa ISIS ya kuwataka wanawake wote waliozidi umri wa miaka 11 kukeketwa.
Afisa wa shirika la umoja wa mataifa nchini Iraq ,Jacqueline Badcock ameonya kuwa agizo hilo la kidini ama Fatwa itawaathiri zaidi ya wanawake milioni nne kati ya umri wa miaka 11-46.
Kundi hilo la wapiganaji wa Kiislamu ndilo linaongoza mashambulizi katika maeneo ya Kaskazini mwa Iraq na wao ndio wanaotawala mji wa Mosul.
Kundi hilo linalosheheni wapiganaji wa dhehebu la Sunni ndilo linaloendeleza wimbi la mashambulizi katika taifa hilo linalotishia kusambaratika katika ya maeneo yanayotawaliwa na madhehebu.
Ukeketaji sio kawaida nchini Iraq.

Mapema juma hili, Isisi iliwalazimisha Wakriso katika mji wa Mosul kuondoka na kuandika herufi N kwenye nyumba zao, hatua ambayo imetambuliwa kama kutaifisha mali za Wakristo katika eneo hilo.
Kulingana na amri hiyo mpya iliyotolewa chini ya Sharia, , wanawake wote kati ya umri wa miaka 11 na 46 wanapaswa kukeketwa.
ISIS yaagiza wanawake wote kuanzia umri wa miaka 11-46 kukeketwa.
Bi Badcock alisema kuwa utamaduni huo ni jambo geni sana nchini Iraq na ni swala linalopaswa kujadiliwa.
Alisema hayo alipokuwa akiwahutubia waandishi wa habari kupitia simu ya video katika mji mkuu wa Mkoa wa Kurdi wa Ibril.
Zoezi hilo la kuwapasha tohara wanawake limeenea sana katika mataifa mengi ya Afrika mashariki ya kati na jamii kadhaa barani Asia.
Baraza la Umoja wa mataifa lilipitisha mswada mnamo mwaka wa 2012 ya kuharamisha tamaduni hiyo ya upashwaji tohara kwa wanawake.
Isis ilitwaa mji wa Mosul mnamo mwezi wa Juni miongoni mwa miji mingine midogo midogo kuelekea mji mkuu wa Baghdad.

SERIKALI YAPOKEA MABEHEWA 25 YENYE THAMANI YA SH.BILIONI 4.3 KUTOKA INDIA

 Waziri wa Uchukuzi Dk.Harrison Mwakyembe (kulia), akiangalia moja ya mabehewa kati ya mabehewa 25 mapya ya kubebea kokoto yenye thamani ya sh.bilioni 4.3 aliyoyapokea kutoka Kampuni ya M/S Hindusthan Engineering and Industriles Limited ya India Dar es Salaam Leo, kwa ajili ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL). Wa pili kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa TRL, Mhandisi Kipalo Kisamfu.
 Waziri wa Uchukuzi Dk.Harrison Mwakyembe (katikati), akifurahia jambo wakati wa kupokea mabehewa hayo. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TRL, Mhandisi Kipalo Kisamfu na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk.Shaaban Mwinjaka.
 Mkurugenzi Mkuu wa TRL, Mhandisi Kipalo Kisamfu (mwenye tai kushoto),akimuelekeza jambo Waziri Mwakyembe.
 Waziri Mwakyembe akizungumza na waandishi wa habari wakati akipokea mabehewa hayo.
 Wafanyakazi wa  Mamlaka ya Bandari Tanzania (PTA) na wa TRL wakishusha toka katika meli moja ya mabehewa hayo.
 Baadhi ya wanahabari waliokuwepo kwenye hafla hiyo.
 Wafanyakazi wa  Mamlaka ya Bandari Tanzania (PTA) na wa TRL wakishusha toka katika meli moja ya mabehewa hayo.
 Waziri Mwakyembe akiangalia moja ya mabehewa hayo.
 Baadhi ya mabehewa hayo yakiwa yamepangwa katika njia yake bandarini baada ya kushushwa kutoka katika meli.
 Fundi wa Shirika la Reli Tanzania , Ephrahim Joel akikaza nati ya moja ya mabehewa hayo.
Fundi wa Shirika la Reli Tanzania , Francis Mpangala naye akikaza nati katika moja ya mabehewa hayo. (Imeandaliwa na mtandao wa  habari za jamii.com.


Na Dotto Mwaibale

SERIKALI imepokea mabehewa 25 mapya ya kubebea kokoto yenye thamani ya sh.bilioni 4.316 kwa ajili ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) kutoka Kampuni ya M/S Hindusthan Engineering and Industriles Limited ya India.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla ya kupokea mabehewa hayo Dar es Salaam leo, Waziri wa Uchukuzi Dk.Harrison Mwakyembe alisema mabehewa hayo ni sehemu ya mpango kabambe wa Serikali wa kufufua Kampuni ya Reli Tanzania chini ya mapngo wa Tekeleza kwa Matokeo Makubwa sasa (BRN).
Alisema mpango wa BRN kwa Kampuni ya Reli Tanzania umelenga kuiwezesha kampuni hiyo kiutendaji ili iweze kusafirisha tani milioni 3.0 ifikapo mwaka 2016 kutoka tani 200,000 zilizosafirishwa mwaka 2012 kupitia Reli ya kati.
"Katika harakati za kufikia malengo haya makubwa, Serikali kupitia bajeti zake za mwaka 2012/2013 na 2014, ilitenga fedha kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali iliyolenga kuboresha vitendea kazi vya Kampuni ya Reli Tanzania" alisema Mwakyembe.
Alitaja miradi iliyopangwa ni  pamoja na kujenga upya vichwa vya Treni 8, kununua vinchwa vya treni vipya 13, mabehewa mapya 274 ya kubebea mizigo na mabehewa ya breki.
Mwakyembe alitaja mradi mwingine ni kununua mashine ya kushindilia kokoto, kununua mabehewa 22 mapya ya abiria na kununua mabehewa 25 mapya ya kubebea kokoto ambayo yamepokelewa jana.
Katika hatua hiyo Mwakyembe ametumia fursa ?hiyo  kuipongeza TRL kwa kupokea mabehewa hayo kwa wakati na kuishukuru Kampuni ya Hindusthan Engineering and Industries Limited ya India kwa utengenezaji wa mabehewa hayo kwa muda uliopangwa.
Alisema lengo ni kuiwezesha TRL kufikia malengo ya kusafirisha mizigo tani 3.0 na kutembeza treni za abiria tano kwa wiki ifikapo mwaka 2016.

RAIS KIKWETE AANDAA FUTARI KWA WANANCHI WA BAGAMOYO

 Baadhi ya wananchi wa Bagamoyo wakiswali swala ya Magharibi wakati wa  futari iliyoandaliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Jumatano jioni Julai 23, 2013. Rais Kikwete, ambaye yuko katika ziara ya kikazi mkoani Ruvuma, aliwakilishwa na Mhe Ridhiwani.
 Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete akichota futari pamoja na  wananchi wa Bagamoyo walioalikwa katika futari iliyoandaliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Jumatano jioni Julai 23, 2013. Rais Kikwete, ambaye yuko katika ziara ya kikazi mkoani Ruvuma, aliwakilishwa na Mhe Ridhiwani.
   Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete akijumuka  na wananchi wa Bagamoyo walioalikwa katika futari iliyoandaliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Jumatano jioni Julai 23, 2013. Rais Kikwete, ambaye yuko katika ziara ya kikazi mkoani Ruvuma, aliwakilishwa na Mhe Ridhiwani.
  Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete akitoa neno la shukurani kwa wananchi wa Bagamoyo waliohudhuria  katika futari iliyoandaliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Jumatano jioni Julai 23, 2013. Rais Kikwete, ambaye yuko katika ziara ya kikazi mkoani Ruvuma, aliwakilishwa na Mhe Ridhiwani.
   Sehemu ya kinamama  wa Bagamoyo waliohudhuria katika futari iliyoandaliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Jumatano jioni Julai 23, 2013. Rais Kikwete, ambaye yuko katika ziara ya kikazi mkoani Ruvuma, aliwakilishwa na Mhe Ridhiwani.

 Baadhi ya wafanyakazi wahudumu katika futari iliyoandaliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Jumatano jioni Julai 23, 2013. Rais Kikwete, ambaye yuko katika ziara ya kikazi mkoani Ruvuma, aliwakilishwa na Mhe Ridhiwani.
 Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete akiagana na wananchi wa Bagamoyo walioalikwa katika futari iliyoandaliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Jumatano jioni Julai 23, 2013. Rais Kikwete, ambaye yuko katika ziara ya kikazi mkoani Ruvuma, aliwakilishwa na Mhe Ridhiwani.PICHA NA IKULU.

RAIS KIKWETE MGENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA LEO

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kasimama kikakamavu wakati wimbo wa Taifa ukipigwa kwenye Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yaliyofanyika katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014
  Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwela ngao kwenye mnara wakati wa Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yaliyofanyika katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Mohamed Ali Shein kwenye Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yaliyofanyika katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo. Wengine ni
 Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali na Waziri Mkuu Mzengo Pinda leo Julai 25, 2014
  Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Frederick Sumaye  kwenye Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yaliyofanyika katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo.Wengine toka kushoto ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe Maalim Seif Shariff Hamad, Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe Mohamed Chande Othman na Jaji Mkuu wa Zanzibar  Mhe omar  Othman makungu leo Julai 25, 2014
  Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiamkiana na wazee wa Tanzania Legion waliopigana katika vitra kuu ya dunia ya pili  waliohudhuria  kwenye Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yaliyofanyika katika bustani  ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kasimama kikakamavu wakati wimbo wa Taifa ukipigwa kwenye Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yaliyofanyika katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014.