TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, January 19, 2016



Mkurugenzi wa Kanda Kusini Mwa Afrika, Ulla Muller akizungumza wakati wa utoaji tuzo kwa wadau wa mradi wa kansa ya Shingo ya Kizazi iliyofanywa, PSI Tanzania, Marie Stopes pamoja na UMATI iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Kinga wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Neema Rusibamayilla akizungumza wakati wa utoaji tuzo kwa wadau wa mradi wa kansa ya Shingo ya Kizazi iliyofanywa, PSI Tanzania, Marie Stopes pamoja na UMATI iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Wakurugenzi wa Mashirika yaliyokuwa na Mradi wa Kansa ya Shingo ya Kizazi pamoja na wawakilishi wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wakifatilia maada wakati wa mkutano wa utoaji wa tunzo kwa wadau wa mradi iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya wadau wakifatilia maada wakati wa utoaji tunzo kwa mashirika yaliyokuwa katika mradi wa kansa ya Shingo ya Kizazi iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam. 
 (Picha na Chalila Kibuda wa Globu ya Jamii). 

Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii 
WADAU wa wanaoshughulika na kansa ya shingo ya kizazi kwa wanawake ni wachache ikilinganishwa na mahitaji yaliyopo nchini kwa tatizo hilo. 

No comments:

Post a Comment