TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, January 13, 2016

WAZIRI KITWANGA AKABIDHI VITANDA, MAGODORO, MASHUKA JIMBONI KWAKE, AAHIDI KUMALIZA TATIZO LA MAJI NA BARABARA MISUNGWI

kt1
Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya cha Misasi, Ernest Msiba akikijaribu kimoja kati ya vitanda 20 kabla ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Misungwi mkoani Mwanza, Charles Kitwanga (watatu kushoto) kumkabidhi vifaa hivyo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Nathan Mshana (wapili kushoto). Waziri Kitwanga alikabidhi vitanda (20), magodoro (20) pamoja na shuka (20) kwa ajili ya Kituo cha Afya cha Misasi pamoja na vitanda sita kati ya hivyo walikabidhiwa Zanahati ya Nyamijundu iliyopo Kata ya Kasololo jimboni humo. Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika katika Kijiji cha Misasi. Kushoto kwa Waziri ni Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF Kanda ya Ziwa, Meshack Bandawe, ambapo shirika lake pia lilitoa baadhi ya misaada katika kituo hicho cha afya. Picha zote na Felix Mwagara.
kt2
kt3
kt4
kt5
kt6
kt7

No comments:

Post a Comment