TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, January 11, 2012

LIVERPOOL YAILOWESHA MAN CITY-1-0

 Wachezaji wa Timu ya Liverpoll wakishangilia baada ya kuifunga timu ya Man City Muda Mfupi uliopita
 Wacheza wa Man City kushoto na Liverpool, wakijaribu kila mmoja kuwahi mpira wakati wa mchezo wao usikuu huu tarehe 11/1/2012
Mchezaji wa Liverpol, Stevin G, akifunga bao dhidi ya timu ya Man City-hadi mwisho 1-0

Ng'ombe wakali aina Nyankole kutoka Mwanza na Shinyanga



Ng'ombe wakali aina ya nyankole kutoka mikoa ya Kanda ya ziwa, wakisubiri kuchinjwa kama walivyokutwa katika hifadhi ya machinjio ya Ukonga Mazizini, Dar es Salaam leo.(Picha Zote na Shaaban Mpalule)

MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA

Wakati Tanzania ikiwa imeadhimisha Mafanikio ya Uhuru wa Miaka 50, Idadi kubwa ya wakazi Bado hali zao ni duni, kutokana na Miundo mbinu, ukosefu wa Ajira, pamoja na hali mbaya ya kiuchumi, kama ambavyo Mzee Kichaka Pori, alivyokutwa katika pilika za kutafuta mahitaji yake ya kila siku, nje ya Jiji la Dar es Salaam leo.(Na:Mpiga Picha wetu)

Wachina la Tamasha la wasanii laja

 Mwenyekiti wa Bodi ya wajumbe wa China, Zhu Jin Feng(kati), Mwenyekiti bodi ya Biashara  Afrika Hao Jianguo(kushoto) na Mkurugenzi wa Mahusiano na Udhamini, Yang Xiao, wakifafanua jambo kuhusiana na Tamasha la maadhimisho ya watu wa China kwa Mwaka huu, hafla hiyo imefanyika Katika Ukumbi wa Idara habari Maelezo, Dar es Salaam Leo(Picha na Shaaban Mpalule).
Baadhi ya watu wa china wakifutilia kwa makini mazungumzo hayo
 Mkurugenzi wa Shirika la Hifadhi ya Jamii(NSSF), Dkt, Ramadhani Dau,wakati wa Mazungumzo na wawekezaji wa Nje kuhusu Ujenzi wa Daraja la Kigamboni
 Waziri wa Ujenzi, Dkt, John Pombe Magufuli(kati) akiwa na Wadau wa Ujenzi katika Ndoto ya Ujenzi wa Daraja la Kigamboni
Picha inayoonyesha Ndoto za Ujenzi wa Daraja la Kigamboni

Tuesday, January 10, 2012

MAANDALIZI MASHUJAA MUSICA SIKU YA IJUMAA YAPAMBA MOTO

 Rais wa Bendi ya Mashujaa Muzika, Kajo Litungu,
 Kutoka kulia ni wacheza shoo wa Mashujaa Musica, Jack Spoila, Baby White, Salma Mwiba, Salma Teketeke, Suzy Mashujaa, na Aisha Twiga, wakati wa maandalizi na mpambano wa siku ya Ijumaa dhidi ya maasimu wao wakuu Mapacha watatu na Extra Bongo, katika Ukumbi wa Bussiness, Barabara ya Mwenge Victoria.
 Baadhi ya wanamuziki wa Mashujaa Musica
 Rais wa Bendi ya Mashujaa Musica, Kajo Litunguru(kushoto) akiongoza wenzake Jado Fid(Jembe) kulia, Pasia Budansi Black Bell wa pili kulia na Raja Radha, wakati wa mazoezi leo
 Wacheza Shoo wa Mawashujaa Musica, Juma Nyamwela(kushoto),Mpasi M-Pesa, na Kelvini Sayona Kill kuu
 Mcheza shoo wa Mashujaa Musica, Salma Teketeke(Mjukuu wa Babu)
 Wapiga Ngoma wa Mashujaa Musica, Sele Kadanse(kulia) na Dulla Ngoma
 Mpiga Kinanda wa Mashujaa Musica, Fredy Manzaka(Picha Zote na Shaaban Mpalule)

-WANAMUZIKI WAKESHA MAZOEZI KUJINDA DHIDI YA WAPINZANI WAO MAPACHA WATATU/EXRABONGO.

-JADO FID (JEMBE), ASEMA LENGO  LIMETIMIA

Aliyekuwa Rais wa Bendi ya Mashujaa Musica ,Jado Fid(Jembe)aliyejiudhuru wadhifa huo wa Madaraka baada ya kumalizika mwaka 2011, amesema kwamba, ameamua kupisha nafasi hiyo ili kuweza kutoa changamoto kwa wanamuziki wengine kupata uzoefu katika idara ya Uongozi kwenye Muziki.
Jado ambaye amekuwa Raisi wa Bendi hiyo tangu alipovuliwa Urais, Eliston Angai, mwaka juzi, ni kati ya wanamuziki wanaotakiwa kuigwa kutokana na Moyo wake wa Ujasiri na Utekelezaji wa Maadili ya Uongozi kwa wanamuziki, baada ya kuitoa katika hali ngumu na yenye misukosuko mingi bendi hiyo hadi alipoamua kustaafu ngazi ya juu ya Uongozi katika bendi hiyo.
"kwa ujuma nimeamua kuwapisha wengine pia ili kuwepo na mabadiliko kimziki, maana uongozi ni sawa na jalala la takataka, watu wengine wakisikia mtu ni kiongozi bila shaka wanadhani kwamba yupo katika hali ya furaha, amani, na hata kuwa mkamilifu kwa kila jambo, kiukweli uongozi ni mzigo, tena unapoona mtu kakaa kwa kipindi kirefu katika kuongoza anatakiwa kuhesimiwa sana, maana hakuna kazi ngumu kama kuongoza binadamu, tena watu wazima, hakika baada ya kusimamishwa Alistoni kwa wakati huo na kisha kubebeshwa nafasi kama ile, ilibidi nifanye kazi ya ziada, ukizingatia ndo tulikuwa katika kutengeneza nyimbo na Albamu za Bendi, so kiukweli namshukuru Mungu, aliweza kuniongoza vizuri hata kuweza kuelewana na kila mmoja wetu wakati wote wa Uongozi wangu, alisema Jado
Ukumbuke kwamba kati ya Nyimbo zinazovuma kwenye kundi la Mashujaa ni ule wa Safari ya Vikwazo, ambao ndiyo unabeba Ujumbe katika Albamu hiyo, Mtunzi ni Jado Fid, ambaye kwa sasa Mashabiki wamempachika jina la JEMBE au Mkapa, na kwa sasa akiendelea kutesa na nyimbo katika baadhi ya Vituo vya Radio na TV, Ukumu ya Mnafiki.
Siku ya Ijumaa katika Ukumbi wa Business uliopo eneo la Victoria, kutawashwa moto kutokana na Bendi tatu kubwa kuwasha moto ndani ya jukwaa moja, yaani MASHUJAA MUSICA, EXTRABONGO,na MAPACHA WATATU.
AKIZUNGUMZIA onyesho hilo, Rais Mteule wa Bendi hiyo, Kajo Litungu, alisema maandalizi yanakwenda vizuri ambapo wanategemea kuwasha moto mkubwa kwa lengo la kuwapa raha mashabiki wao kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam.
kundi hilo linaundwa na wacheza shoo, Jack Spoila, Baby White, Salma Mwiba, Suzy Joshua, Aisha Twiga, Juma Nyamwela, Mpasi M-Pesa, Kelvini Sayona Kill kuu, Sweety Baby, wapiga vyombo, Fredy Manzaka(Kinanda), Sele Kadanse(Ngoma), Dulla Ngoma, Amosi Nabii Sollo, Profa Kariakoo(Sollo)Baba Isaya Sharobaro(Risimu), Tonton Drama, Kamode Besi na Kassimu Bezi
Waimbaji wanaowakilisha kundi hilo nji pamoja na Jado Fid(Jembe), Kajo Litungu Dasia, Pasia Budansi Black Bell, Raja Radha, Jimmy Adori, Masudi Namba ya Mwisho, Salasini na Tatu, na upande wa Malapa ni pamoja na Ibrahimu Milinda Nyeusi, Yaniki Noha(Sauti ya Radi), na  Zidane Taarifa ya Habari.
chini ya Uongozi wao Makini ukiongozwa na Meneja Hamisi Promota, pamoja na jopo la kamati ya Ufundi, Makala Mbage (Mwanashinyanga)Prince Twalib,Yohana Malasusa na  Mamaaa Sakina,
Kiingilio katika Onyesho hilo kwa mujibu wa Kajo itakuwa shilingi Elfu saba 7,000/= mlangoni.

Monday, January 9, 2012

meli ya mizigo NZ Rena splits baada ya kupata dholuba baharini Safi-up






pwani katika New Zealand baada ya meli ya mizigo kuzama katika pwani stranded  ambapo mgawanyiko wa vipande wiliwi ulitokea. na inakadiliwa na Maritime New Zealand  kwamba vyombo mbali mbali vya na contena zilizokuwa ndani ya meli hiyo inayofikia 150 na watu wengi inasadikiwa  kuzama.
Kuosha vyombo wameanza ashore

Nigeria mgomo wa mafuta na kizaazaa na maandamano







Mgomo nchini Nigeria juu ya kuondolewa kwa ruzuku na kupanda kwa bei ya mafuta ya petroli huleta uchumi kusimama, na kusababisha vifo vya watu tatu katika mapigano na polisi.

MATUKIO YA PICHA KATIKA MCHEZO WA MAN U DHIDI YA MAN CITY

 Wachezaji wa MAN -U, Wakishangilia Ushindi dhidi ya Man City wa 3-2
 Mchezaji wa Man City, akijaribu Kumzuia Mchezaji wa Man U, nani
 Wachezaji wa West Hamu wakitazama kama kuna dalili zozote za Mpira kutinga wavuni
 Mwamuzi alikuwa na wakati Mgumu wakati wa kuamua tukio, wakati Mchezaji wa Chelsea akionyesha tendo la kushangilia mpira huo

Mchezaji wa Chelsea (TORES) chini akijaribu kulalamika baada ya kuchezewa faulo
Wachezaji wa Man U, Paul Scholes wakifanya mabadiliko dhidi yake ya Nani, wakati wa mchezo dhidi ya Man City.

Henry Awahamasisha wachezaji wa Arsenal kushinda kombe la FA

Thierry Henry aonyesha ushujaa katika mchezo wake wa kwanza baada ya kurejea Arsenal katika mechi zake saba anazotarajiwa kucheza, ambapo leo kafanikiwa kuifunga timu ya Leeds katika Kombe la FA raundi ya tatu kwenye Uwanja wa Emirates 1-0
Thierry Henry made the perfect return to Arsenal when he emerged as a substitute to score a late winner in the FA Cup third-round tie against Leeds United.

Henry, back in Arsenal colours for the first time since he left for Barcelona in 2007, scored his 227th goal for the club with 12 minutes remaining amid emotional scenes at the Emirates.
The 34-year-old - back at the club where he was recently honoured with a statue on a two-month loan from New York Red Bulls - had only been on 10 minutes when the magical moment arrived.
Henry took a pass from Alex Song in his stride in the area before steering a composed, angled, right-footed finished tantalisingly out of the reach of Leeds United keeper Andy Lonergan.
It finally broke the stubborn resistance of Leeds and was the signal for an outpouring of emotion as Henry pumped his chest in celebration after racing to hug his mentor Arsene Wenger on the touchline.
Arsenal keeper Wojciech Szczesny raced the length of the field to join the celebrations while Henry later indulged in a spot of impromptu cheerleading as he urged the supporters who worship him to even greater backing for Arsenal in the closing stages.
It was the perfectly scripted finale to a contest that needed Henry's Midas touch against a Leeds side who battled in a manner that did manager Simon Grayson and their magnificent travelling support great credit.
At the final whistle, with the first task of his temporary return to the club completed, Henry raised his arms to the heavens before falling into the arms of his Arsenal colleagues and taking the acclaim of an elated crowd.
Henry's presence, even on the bench, enlivened the stadium when he came out to warm up and later when his name was announced to rapturous applause.
And the 45 minutes that followed only increased the appetite and anticipation for his return as Arsenal dominated but failed to breach a resilient and well-organised Leeds defence.
With leading scorer and captain Robin van Persie rested, attacking duties fell to Andrey Arshavin and Marouane Chamakh, the pair combining in the opening moments only for the Russian to fire wildly over the top.
Sebastien Squillaci then headed narrowly wide and Aaron Ramsey was unable to navigate a way around Lonergan after he was played into the area by Arshavin.
Leeds United's big chance, in a half they spent mainly on the retreat, came when Luciano Becchio found space in the box but shot wastefully off target.
Arsenal's defensive resources have thinned out in the face of mounting injuries - and they were depleted further before the interval when Francis Coquelin pulled up with a hamstring problem and was replaced by Nico Yennaris.
The momentum remained with Arsenal after the break as Lonergan saved well low to his left from Mikel Arteta after the Spaniard was set up by Chamakh, and Arshavin fired across the face of goal after picking up Zac Thompson's misplaced pass.
Henry's increasingly energetic sprinting along the touchline drew a loud reaction from Arsenal's fans and he was finally introduced with 22 minutes left, replacing Chamakh. Theo Walcott also came on for Alex Oxlade-Chamberlain.
Henry was given a hero's welcome as he set about the business of attempting to break down a Leeds side proving as stubborn as they had been here at the same stage of the FA Cup last season.
And the moment Arsenal had been waiting for came with 12 minutes left as Henry gathered Song's pass in his stride before sparking scenes of ecstasy on and off the pitch with a perfect finish.
Leeds refused to be distracted by the euphoria and almost snatched a replay in the closing stages as Szczesny saved well from substitute Mikael Forssell.
This, however, was Henry's night and Henry's story. Now Arsenal fans will hope he can write fresh chapters before returning to the United States.
 



Mashabiki wa Manchester United katika kusherehekea ushindi wakati wa kufuta majeraha ya kufungwa na Manchester City. Picha: PA


Mchezaji Scholes aliyeingia dakika za kipindi cha pili, alitajwa kwenye benchi kwa ajili ya mchezo dhidi ya City.
 
 

WHITE BAD THE KILLER -MBIONI KUKAMILIKA

Msanii wa Filamu za Kitanzania(Shabani Swarehe)maarufu kama SHABAX analotumia kwenye sanaa,(kulia), akiwa na msanii mwenzake (Zainabu Mohame) maarufu kama TINA, wakionyesha hali ya kutoelewana wakati wa Mazoezi ya Kundi hilo Lenye Makazi yake Tabata Liwiti, jijini Dar es Salaam leo.(Picha na Shaaban Mpalule).
Filamu ya kitanzania yenye Mandhali ya kutisha na yenye mauaji yanayosisimua, Jambazi mkubwa ambaye ni msanii wa maigizo ya kuchekesha(Comed), Pembe, na wengine chipukizi , Dulla Nguvu, Moko , Shabax ambaye ambaye ameigiza kama jini muua wenye kudhulumu, wenye kuua watu, mlipa kisasi mtetezi wa Watu, na wengine wengi.
akizungumzia Filamu hiyo msanii Shabax, amesema kuwa filamu hii ni nzuri, Baada ya kucheza filamu ya Maisha ya Damu ambayo iko sokoni muda mrefu, baada ya kucheza kama jambazi(Iddi), "kikubwa ndugu yangu mwandishi, ninawambia watu wakae mkao wa kupata madhali ya kusisimua kutokana na filamu hii kuwa bora na iliyoandaliwa kimataifa, ukilinganisha na filamu zingine zinazotolewa na wasanii wa hapa nchini Tanzania" alisema Shabax
hata hivyo baadhi ya watu ambao walikuwa awadhanii kama msanii mwenzao Shabax anaweza kuigiza kwa kiwango cha hali ya juu wameshangazwa kutokana na ushirikiano baina yake na Msaanii wa COMEDI,  Pembe kuwa wa hali ya juu.
Filamu hiyo ambayo imehekitiwa sehemu mbalimbali za jiji la Dar es Salaam, ikiwemo Maeneo  ya Tabata, Vingunguti, Segerea, Banana, imenakishiwa madhali ya kuvutia kitendo kinachoionyesha kana kwamba imeratibiwa na kuhekitiwa nje ya nchi.

Serikali leo imetoa tamko la hatma ya wanafunzi waliofutiwa matokeo ya mitihani ya kumaliza elimu ya msingi 2011,

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo,(kulia) akifafanua jambo kuhusu Tamko la Serikali juu ya Hatma ya Wanafunzi waliofutiwa Matokeo ya Mitihani ya Kumaliza Elimu ya Msingi mwaka 2011, kushoto ni  Kaimu Kamishina na Mkuu wa Idara ya Sekondari, Charles Philemoni, iliyofanyika makao makuu ya Wizara ya Elimu Dar es Salaam leo.(Picha na Shaaban Mpalule).

Serikali leo imetoa tamko la hatma ya wanafunzi waliofutiwa matokeo ya mitihani ya kumaliza elimu ya msingi 2011, iliyofanyika makao makuu ya wizara ya Elimu Dar es Salaam leo, akizungumzia sakata hilo Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo, amesema kuwa kati ya wanafunzi 983 545 ya waliofanya mitihani, 567,767 sawa na asilimia 58.28 wamefaulu mtihani huo, na kwamba kati ya wanafunzi 9,736 wamefutiwa matokeo kutokana na kubainika kufanya udanganyifu