TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, December 21, 2012

MOSHI MJINI HALI SI SHWARI, MACHINGA NA POLISI WAKABANA MASHATI,

 Baadhi ya wafanyabiashara ndogo ndogo wakiziba njia kwa mawe na tofali ili kuzuia magari kupita
  Baadhi ya wafanyabiashara ndogo ndogo wakiziba njia kwa mawe na tofali ili kuzuia magari kupita

 Baadhi ya wafanyabiashara wakisikilizia nini kitatokea baada ya mali zao kutaifishwa na Manspaa ya Mkoa wa Moshi usiku wa kuamkia leo.
 Gari la Polisi nalo likiingia eneo hilo la Tukio
 Baadhi ya Mabanda yakionekana chini baada ya kuvunjwa usiku na Watu wa Manspaa ya Moshi, na kutaifisha mali zote za wafanyabiashara ndogondogo.
 Baadhi ya Mabanda yakionekana chini baada ya kuvunjwa usiku na Watu wa Manspaa ya Moshi, na kutaifisha mali zote za wafanyabiashara ndogondogo.
 Askari akikatiza kuangalia hali ya amani kama inaendelea eneo hilo,
 hii ndiyo hali ambayo inaendelea hivi sasa mjini Moshi.
 Baadhi ya wakazi wa mji wa Moshi wakiondoka eneo la tukio kuokoa maisha yao, maana hali si shwari
 Gari zikiwa pembeni mwa barabara baada ya kushindwa kupita katika vizuizi vilivyowekwa na wafanya biashara hao.
 Si kwa magari tu yanayoshindwa kuendelea na safari zao, bali hata watembea kwa Miguu pia wanapata tabu kukatiza kwenye hali kama hii.
 Kila mtu anasema lake kuhusu hali ya Moshi, wakati huo huo simu nazo zikiendelea kuchukua matukio.
 Hii sasa ni hatari, mji ambao siku zote unasifika kwa usafi leo umegeuka dampo la taka.
 Wafanyabiashara ndogondogo, wakijadili jambo, pengine wanafilia jinsi maisha bora kwa kila mtanzania inavyogeuka kuwa Sudani ya Kusini.
 Wafanyabiashara ndogondogo, wakijadili jambo,
 Hawa wao hawaamini kilichotokea na kinachoendelea.
 Kibosile huyu, sikuweza kufahamu ni nani ila inaonekana ni mtu muhimu sana, maana yeye ndiye aliyejitokeza na gari lake la Sirikali, na hapa akiondoka eneo la Tukio baada ya kushindwa kufikia makubaliano na hawa machinga wa Kichaga.
 anasepa, yaani anaondoka zake, kazi kwenu sasa askari na watu wenu, inaonekana anawaza hivyo
 "Mimi simo tena, maana nimejaribu kuwatuliza hawa watu lakini hawanielewi, wasije vunja gari langu vioo bure, miye natimuka", anaonekana kusema maneno hayo moyoni mwake.
 Sijui niondoke, au nibaki, lakini hawa watu itakuwaje, anawaza na sikukuu hii
 anaamua kutimka zake
 Jamani ngojeni niende nifanye utaratibu sawa,
 Baadae ntarudi kama hali itaendelea kuwa hivi, maana mimi wanaweza kunielewa lakini siyo nyie Askali, watu hawawapendi hata kidogo, kwa madai kwamba si waaminifu hata kidogo.
 Baadae
 Kazi kwako, mimi naondoka, ila angalia vijana wako wasije kusababisha madhala makubwa tena, kama vip waacheni maana wana asira ya kuchukuliwa mali zao, ila ikiwa vip hata nyie ondokeni tu.
 kama unamfahamu mwenye gari namba hizo basi, tujuze.
 Baadhi ya machinga wa Kichaga, wakishuhudia kibopa akiondoka eneo hili la Tukio.

 Gari hii imeingia muda si mrefu, kuongeza Utulivu.
  Gari hii imeingia muda si mrefu, kuongeza Utulivu.
  Gari hii imeingia muda si mrefu, kuongeza Utulivu.
 Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio
 Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio
 Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio
 Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio
 Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio
 Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio
 Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio
 Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio
 Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio
 Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio
 Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio
 Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio
 Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio
 Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio
 Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio
 Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio

Askari nao wakizidi kumiminika eneo la Tukio(Picha Zote na Shaaban Mpalule).

Thursday, December 20, 2012

“CHAGGA DAY” yaikaribisha Krismasi Uchagani



“CHAGGA DAY” yaikaribisha Krismasi Uchagani

Katika kuzikaribisha sikukuu za Krismasi na mwaka mpya, tamasha la kihistoria la siku ya wachaga kufanyika siku ya Jumamosi Tarehe 22-12-2012 katika viwanja vya Ushirika, Moshi Mjini, Kilimanjaro kuanzia saa 4:00 asubuhi mpaka usiku.

Tamasha hili linalenga kuhamasisha jamii ya kabila hilo na makabila mengine kuenzi mila na tamaduni. Vilevile, kuhamasisha jamii na falimia zao zilizopo ndani na nje ya mikoa yao kukumbuka nyumbani na kutembelea wazee mara kwa mara.

Tuna imani kubwa kuwa zaidi ya watu 3,000 na familia zao, watahudhuria kwa wingi tamasha hili la kihistoria huku wakipata fursa ya:

Ø  Kusikia historia ya wachagga kwa kina toka kwa wazee wanatoka kwenye familia za wafalme na machief “MANGI MKUU” wa kichaga waishio mkoani Kilimanjaro.
Ø  Kuona na kucheza ngoma zote za asili za kichaga pamoja na vikundi tofauti tofauti vya ngoma za asili na sanaa za makabila mengine.
Ø  Kula aina zote za vyakula vya asili vya kichagga kama kiburu, kisusio, mtori, ndafu, shiro, kiumbo, kitawa, macharari, ngararimo, ng’ande n.k   
Ø  Kunywa vinywaji vyote vya asili vya kichagga kama mbege, dadii n.k
Ø  Kupata burudani kutoka bendi ya Akudo Impact, Msanii Costa Siboka kutoka Dar es Salaam na wasanii wote kutoka mikoa ya Kilimanjaro na Arusha.

Tumewaalika viongozi wa serikali yetu, wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa ndani na nje ya mkoa wa Kilimanjaro, viongozi wa asasi zisizo za kiserikali pamoja na asasi za serikali yetu, wakurugenzi wa makampuni ya utalii na hoteli kubwa za mikoa ya Kilimanjaro na Arusha.

Tumejipanga vizuri katika kufanikisha siku za makabila yote Tanzania kila mwaka tukianza na makabila wa kaskazini, lengo likiwa ni kuhamasisha jamii kuenzi mila na tamaduni za makabila yetu na kukumbuka kuzipeleka familia zetu nyumbani tuwapo nje ya mikoa yetu.

Imedhaminiwa na;-
Safari Lager, Pepsi, Konyagi, Precision Air, Radio 5 FM, Toyo, Samsung, Michuzi Blog Spot, Zizou Fashion, Mlonge Bi Makai, Egesha Trading Agency, Delina Group Enterprises and Albert Msando Legal Consultant.  

Waandaaji:      MyWay Entertainment Company.
Mkurugenzi Mkuu: Paul Siboka. Mganga
                       

CHAGGA DAY GUMZO MJINI MOSHI

 Baadhi ya Viongozi wa Maandalizi ya Tamasha la Chagga Day, wakiwa katika mazungumzo hatua za Mwisho mwisho
 Wakiwa katika Kikao katika Ukumbi wa Zumba Land Mjini Moshi
 Hii ni Moja ya Picha ya ndege za maonyesho ndani ya Ukumbi wa Zumba Land, ni kivutio kikubwa kwa watoto
 Hii ni Stage ambayo imejengwa kwa ajili ya Tamasha hilo
 Ni moja ya Picha za Vivutio kwa wateja ndani ya Ukumbi huo
 Hapa ni sehemu ya Kaunta katika Ukumbi huo wa Zumba Land,
 Baadhi ya Vifaa vya Michezo ya Watoto vilivyoko ndani ya Ukumbi wa Zumba Land
  Baadhi ya Vifaa vya Michezo ya Watoto vilivyoko ndani ya Ukumbi wa Zumba Land
 Ni kivutio mojawapo kilichopo ndani ya Ukumbi huo
 Ukumbi wa Zumba Land ni Ukumbi wa Kisasa ambao ujenzi wake umekamilika hivi karibuni, hivyo kuna manzali nyingi usizozitarajia, kama inavyoonyesha hapo katika Picha
 Mkurugenzi wa Zumba Land, Aubney Mawalla(kulia) akifafanua jambo wakati wa Kikao cha Mwisho cha Maandalizi ya Tamasha la CHAGGA DAY mjini Moshi siku ya kesho.Wengine katika Picha ni Mkurugenzi wa My Way Entertainment, Paul Siboka na Mama Siboka,Mwinyi Mwinyi( Mwandishi kutoka Gazeti la sani) na Adamu kutoka Kampuni ya Intergreted.
 Kibanda kwa ajili ya Tiketi hapo kesho
 Eneo ambao Vitapatikana Vyakula vya Kichaga kama vile Ndafu
 Mkurugenzi wa My Way Entertainment, Paul Siboka , akionekana kuwasiliana  na wenzake wakati kikao kikiendelea
 Hizi ni Picha za vivutio kwa wageni ndani ya Ukumbi huo wa Zumba Land
 Moja ya Familia za Mjini Moshi, Baba huyu akiwa na mkewe wakiwa na watoto wao katika moja ya michezo ya watoto ndani ya Ukumbi huo wa Zumba Land jana.
 Watoto wakiendelea na Michezo ya Bembea ndani ya Zumba Land
 Baba akicheza na wanae katika Ukumbi wa Zumba Land
 Baba akicheza na wanae katika Ukumbi wa Zumba Land
 Baba akicheza na wanae katika Ukumbi wa Zumba Land
 Baba akicheza na wanae katika Ukumbi wa Zumba Land
Mratibu wa Tamasha la Zumba Land, Adamu akionekana kufurahi jambo baada ya kikao kumalizika (Picha Zote na Shaaban Mpalule).

ZAO LA MKONGE HISTORIA YA TANZANIA

 Moja ya Mashamba ya Mkonge mkoni Tanga
 Moja ya Mashamba ya Mkonge mkoni Tanga
Moja ya Mashamba ya Mkonge mkoni Tanga(Picha Zote na Shaaban Mpalule)

MADEREVA KUWENI MACHO KATIKA KIPINDI HIKI CHA MWISHO WA MWAKA

 Ajali hii ni juzi kwenye Barabara ya kutoka Msata kwenda Segera
 Ajali hii ni juzi kwenye Barabara ya kutoka Msata kwenda Segera
Ajali hii ni juzi kwenye Barabara ya kutoka Msata kwenda Segera(Picha na Shaaban Mpalule)

UJENZI WA BARABARA YA BAGAMOYO KWENDA MSATA -BADO KIDOGO KUKAMILIKA KWA KIWANGO KIZURI CHA LAMI.

 Hii ni Barabara ya kutoka Bagamoyo Kwenda Msata, ambapo kimebaki kipande kidogo tu kukamilika kama inavyoonekana katika picha.
 Barabara ya Bagamoyo kwenda Msata
  Barabara ya Bagamoyo kwenda Msata
 Hapa Mafundi wakiendelea na makamilisho ya Barabara hiyo
Hapa Mafundi wakiendelea na makamilisho ya Barabara hiyo(Picha Zote na Shaaban Mpalule).