TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, December 6, 2011

MAHAFALI YA 46 YA CHUO CHA BIASHARA CBE DAR ES SALAAM

 Baadhi ya wahitimu wa chuo cha biashara CBE Dar es Salaam 2011
 Baadhi ya wahitimu wa chuo cha biashara CBE Dar es Salaam 2011
 Baadhi ya wahitimu wa chuo cha biashara CBE Dar es Salaam 2011
 Baadhi ya wahitimu wa chuo cha biashara CBE Dar es Salaam 2011
Mhitimu wa Stashahada ya Uongozi katika Biashara, Paul Mkoga - (wa kwanza kushoto) akiwa katika pozi wakati wa mahafali Katika chuo cha Uongozi wa Biashara (CBE)-Dar es Salaam 2011-
Mhitimu wa Stashahada ya Uongozi katika Biashara, Paul Mkoga - (wa kwanza kushoto) akiwa katika pozi wakati wa mahafali Katika chuo cha Uongozi wa Biashara (CBE)-Dar es Salaam 2011-
Mkurugenzi wa Mwana Milambo Bend, Amoni Mkoga(kushoto) akikabidhi zawadi kwa Mhitimu wa Stashahada ya Uongozi katika Biashara, Paul Mkoga - (kulia) wakati wa mahafali Katika chuo cha Uongozi wa Biashara (CBE)-Dar es Salaam 2011-kati kati ni Dada yao Mkubwa Lucy Mkoga na Rafiki yake
Dada wa Mhitimu wa Stashahada ya Uongozi katika Biashara, Paul Mkoga -Lucy Mkoga (kushoto), akikabidhi zawadi ,wakati wa mahafali Katika chuo cha Uongozi wa Biashara (CBE)-Dar es Salaam 2011-
Mhitimu wa Stashahada ya Uongozi katika Biashara, Paul Mkoga - (wa kwanza kushoto) akiwa katika picha na baadhi ya wanafamilia wakati wa sherehe  iliyofanyika Dar es Salaam 2011-
Mhitimu wa Stashahada ya Uongozi katika Biashara, Paul Mkoga - akiwa katika pozi  Katika chuo cha Uongozi wa Biashara (CBE)-Dar es Salaam 2011-
Mhitimu wa Stashahada ya Uongozi katika Biashara, Paul Mkoga - (wa pili kulia) akiwa katika na kaka yake Amon Mkoga(wa kwanza kulia) Dada yake Lucy Mkoga (wa Pilia Kushoto na rafiki yao, wakati wa mahafali Katika chuo cha Uongozi wa Biashara (CBE)-Dar es Salaam 2011
Bendi ya jeshi ambayo ilitumbuiza katika mahafali ya chuo cha Uongozi na Biashara CBE 2011(Picha Zote na Shaaban Mpalule)

No comments:

Post a Comment