TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, December 9, 2011

WEZI WALICHOMFANYIA DIAMOND!



.
EXCLUSIVE: usiku wa kuamkia jana, Wezi wameruka ukuta na kuingia kwenye nyumba anayomiliki mwimbaji DIAMOND Sinza na kufanikiwa kumuibia vitu kibao vikiwemo vifaa vya gari.
wakati wanaiba, DIAMOND hakushtukia chochote, baadae usiku ndio jirani yake akamuamsha akamwambia jamaa wamemuibia na kusepa.
vifaa vya gari alivyoibiwa thamani yake ni milioni 1.9! na ndani ya gari kulikua kuna nguo alizozitumia kushoot video yake mpya ambayo bado hajamaliza kuishoot na aliakiwa kuwa na nguo hizo hizo kwa ajili ya muendelezo wa SCENES.
kwenye gari pia kulikua na pete, saa 2, 1 ya rolex aliyonunua SOUTH AFRICA, cheni ya gold, viatu,mikanda na headphones za DR DRE ambavyo vyote wezi wamevibeba na mpaka sasa hajafaham ni watu gani waliohusika.
mlinzi alikuepo lakini walimteka na kumpiga, DIAMOND kuamka anakuta wamemfunga na gunia na damu kibao.

No comments:

Post a Comment