TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, September 8, 2014

BENKI YA EXIM YASHIRIKI MAONYESHO KATIKA SIKU YA WAHANDISI 2014

 Meneja Biashara Kubwa na Uwekezaji wa Benki ya Exim Tanzania, Bw. Justin Wambali (kulia) akimpatia kipeperushi chenye maelezo ya huduma zitolewazo na benki ya Exim mmoja kati ya wahandisi alipotembelea banda la benki hiyo wakati wa Siku ya Wahandisi inayoadhimishwa kila mwaka iliyoambatana na maonyesho ya biashara yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wa pili kulia ni Meneja Msaidizi Biashara Kubwa na Uwekezaji wa Benki hiyo, Bw. Joseph Lema na Bw. Thobius Samwel (watatu kulia) ambaye pia ni Meneja Msaidizi Biashara Kubwa na Uwekezaji wa benki hiyo.
 Meneja Msaidizi Biashara Kubwa na Uwekezaji wa Benki ya Exim Tanzania, Bw. Joseph Lema (Katikati) akizungumza na baadhi ya wahandisi kuhusu huduma zitolewazo na benki ya Exim walipotembelea banda la benki hiyo wakati wa Siku ya Wahandisi inayoadhimishwa kila mwaka iliyoambatana na maonyesho ya biashara yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kulia ni Meneja Biashara Kubwa na Uwekezaji wa Benki hiyo, Bw. Justin Wambali na Meneja Msaidizi Biashara Kubwa na Uwekezaji Thobius Samwel (watatu kulia).
 Meneja Msaidizi Biashara Kubwa na Uwekezaji wa Benki ya Exim Tanzania, Bw. Thobius Samwel (watatu kulia) akizungumza na baadhi ya wahandisi kuhusu huduma zitolewazo na benki ya Exim walipotembelea banda la benki hiyo wakati wa Siku ya Wahandisi inayoadhimishwa kila mwaka iliyoambatana na maonyesho ya biashara yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kulia ni Meneja Biashara Kubwa na Uwekezaji wa Benki hiyo, Bw. Justin Wambali na Meneja Msaidizi Biashara Kubwa na Uwekezaji Joseph Lema (Katikati). 
Meneja Biashara Kubwa na Uwekezaji wa Benki ya Exim Tanzania, Bw. Justin Wambali (kulia) akizungumza na Mhandisi Fedson Tella (kushoto) kuhusu huduma zitolewazo na benki ya Exim alipotembelea banda la benki hiyo wakati wa Siku ya Wahandisi inayoadhimishwa kila mwaka iliyoambatana na maonyesho ya biashara yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

No comments:

Post a Comment