TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, September 10, 2014

Mkutano wa UKAWA na waandishi wa habari

Tanzania:

Umoja wa katiba ya wananchi nchini Tanzania-UKAWA- uliolisusia Bunge maalum la katiba tokea mwezi Aprili, leo ulikuwa na mkutano na waandishi habari .
Wakuu wa vyama vya upinzani UKAWA Wakuu wa vyama vya upinzani UKAWA
Madhumuni ya mkutano huo ni kueleza msimamo wa UKAWA kuhusu yalioafikiwa katika mazungumzo kati ya viongozi wa vyama vya kisiasa vinavyoundwa kile kinachojulikana kama Kituo cha Demokrasia Tanzania na Rais jakaya Kikwete kuhusu mkwamo uliojitokeza baada ya Ukawa kujitoa kwenye Bunge la katiba. Msimamo wa ukawa unafuatia maelezo yaliotolewa jana na Mwenyekiti wa Kituo hicho mbunge John Cheyo kuhusu matokeo ya mkutano wao na Rais Kikwe
Mohamed Abdul-Rahman amezungumza na katibu wa UKAWA Julius Mtatiro na kwanza anaelezea juu ya msimamo wao. Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

No comments:

Post a Comment