- NITAMNG’OA SPIKA MAKINDA-MBUNGE
- POLISI: WALIOMPIGA MVUNGI NI HAWA
- MANUMBA ASTAAFU RASMI AJIRA POLISI
- CHADEMA KUIBURUZA CDA KORTINI
- VAN PERSIE AIZAMISHA ARSENAL
TAN
Bayport
Kikoa
Myway entertainment
FORE PLAN CLINIC
MPINGA CUP 2016
Mashujaa Fm 89.3, Lindi
Friday, November 15, 2013
NITAMNG’OA SPIKA MAKINDA-MBUNGE, CHADEMA: HATUHUSIKI MADAI YA ZITTO,
ZIARA YA RAIS KIKWETE WILAYANI MBOGWE, BARABARA YAPANDISHWA DARAJA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka
jiwe la msingi kuashiria uzinduzi rasmi wa ujenzi wa barabara ya Bwanga – Uyovu
yenye urefu wakilometa 45 inayojengwa kwa kiwango cha lami mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
(aliyeshika mkasi) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Bwanga
– Uyovu yenye urefu wa kilometa 45 inayojengwa kwa kiwango cha lami mkoani Geita.
Kulia kwa Rais ni Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na kushoto kwa
Rais ni Mbunge wa Bukombe Mhe. Kulikoyela Kahigi kutoka CHADEMA. Wengine ni baadhi
ya Mawaziri na Viongozi wa Kitaifa na kutoka mkoa wa Geita waliokuwepo katika sherehe
hizo.
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (aliyeshika kipazasauti) akitoa
taarifa kwa wananchi wa Iboya waliousimamisha msafara wa Rais Kikwete alipokuwa
kwenye ziara ya kikazi katika Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa
na Kiongozi wa Kikundi cha Mchelemchele kilichotumbuiza wakati wa sherehe za uzinduzi
wa ujenzi wa barabara ya Bwanga – Uyovu inayojengwa kwa kiwango cha lami mkoani
Geita.
Kikundi cha Mchelemchele kutoka Mwanza kikitumbuiza wakati wa sherehe za
uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Bwanga – Uyovu inayojengwa kwa kiwango cha
lami mkoani Geita.
===============================================================
“Hii imekuwa ni faraja kubwa kwa wana Mbogwe kwani suala la usafiri limekuwa ni kero ya muda mrefu, tunashukuru sana kwa kutembelewa na ugeni huu wa Kitaifa hapa mkoa ni kwetu” alisisitiza Mheshimiwa Masele.
===============================================================
ZIARA YA RAIS KIKWETE WILAYANI MBOGWE,
BARABARA YAPANDISHWA DARAJA
Wananchi wa
wilaya ya Mbogwe mkoani Geita wamenufaika kwa ziara ya Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kusikilizwa ombi
lao ambapo barabara inayounganisha maeneo ya Masumbwe na Makao Makuu ya wilaya
hiyo imepandishwa daraja na kuwa barabara ya mkoa. Awali barabara hiyo ilikuwa
ikihudumuwa na wilaya lakini ikipatiwa matengenezo ambayo hayakidhi ongezeko la
magari yanayotumia barabara hiyo kwa sasa.
Mheshimiwa Rais
akiwa njiani kutokea mji wa Masumbwe kupitia makao makuu ya wilaya mpya ya
Mbogwe kabla ya kuingia Geita alisimamishwa mara kadhaa na wananchi wanaoishi
katika vijiji inakopita barabara hiyo ambao walitumia fursa hiyo kuwasilisha
kero zao na hususan suala la barabara ambayo ilielezewa kutokidhi mahitaji
halisi kwa wakazi hao na maeneo jirani.
Akijibu maombi
ya wananchi hao, Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alielezea
kuwa barabara hiyo inayolalamikiwa kwa hivi sasa iko chini ya usimamizi wa
wilaya husika. Hata hivyo, kwa kuzingatia umuhimu wa barabara husika na uchanga
wa wilaya hiyo mpya, alikipokea kilio cha wananchi hao na kukubali barabara
hiyo ipandishwe daraja na kuwa ya mkoa.
“Nitatumia
mamlaka niliyopewa chini ya Sheriaya Mfuko wa Barabara Namba 13 ya mwaka
2007 kuipandisha barabara hii ambayo inaanzia Masumbwe kupitia
Mbogwe, Nyikanga hadi Butengo Lumasa yenye urefu wa kilometa 81 kwamba
itakuwa ya mkoa na hivyo kuwa chini ya usimamizi wa Tanroads” alisemaWaziri
Magufuli.
Aidha,
katika hatua nyingine Mheshimiwa Magufuli alibainisha kuwa katika mipango
ya mwaka ujao wa fedha wa 2014/2015, wizara yake itaanza kufanya upembuzi
yakinifu na usanifu wa kina wa barabara inayotokea mji wa Katoro hadi Ushirombo
yenye urefu wa kilometa 56 ili kuijenga kwa kiwango cha lami.
Naye Mbunge wa
Mbogwe Mheshimiwa Augusto Manyanda Masele kwa upande wake alielezea
kufurahishwa kwake na hatua hiyo na hasa katika kipindi hiki ambacho wilaya
hiyo mpya inahitaji kuimarisha miundombinu mbalimbali kwa lengo la kuharakisha
maendeleo katika eneo hilo.
“Hii imekuwa ni faraja kubwa kwa wana Mbogwe kwani suala la usafiri limekuwa ni kero ya muda mrefu, tunashukuru sana kwa kutembelewa na ugeni huu wa Kitaifa hapa mkoa ni kwetu” alisisitiza Mheshimiwa Masele.
Monday, November 11, 2013
JK ampa rungu Magufuli-Bwanga – Biharamulo.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtaka Waziri wa
Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Magufuli kuhakikisha kuwa Sheria ya Usalama
Barabarani inasimamiwa vizuri ili kuhakikisha kuwa barabara zinazojengwa nchini
zinadumu kwa muda uliokusudiwa.
Akizungumza katika
eneo la Buziku mkoani Geita wakati akizindua ujenzi wa barabara ya Bwanga hadi
Biharamulo yenye urefu wa kilometa 67, Rais Kikwete alisema kuwa wizara ya
Ujenzi ni lazima ihakikishe inasimamia sheria zilizopo na hasa hii ya
kutoruhusu magari yenye uzito uliozidi viwango vilivyoainishwa katika Sheria Namba
30 ya Mwaka 1973.
Akisistiza umuhimu wa
kutunza barabara Rais Kikwete alibainisha kuwa “adui wakuu watatu wanao
sababisha barabara kuharibika mapema ni; magari yanayobeba mizigo zaidi ya
uzito uliowekwa kisheria, ujenzi duni usiozingatia viwango na kuachwa kwa maji
kuzagaa barabarani”.
Wakati huo huo Rais
Kikwete alielezea kufurahishwa kwa kuanza ujenzi wa mradi huo kwani wapo baadhi
ya watu waliokuwa waliokuwa wakieneza taarifa kuwa sehemu hiyo ya barabara
haiwezi kujengwa lakini sasa wameumbuka.
Awali
akitoa maelezo ya mradi huo Mtendaji Mkuu wa Tanroads Injinia Patrick Mfugale
alielezea kuwa mradi mradi wa ujenzi wa barabara hiyo kwa kiwango cha lami umegharimu
Shilingi bilioni 55 fedha zote zikiwa zimetolewa na Serikali ya Tanzania.
“Mradi huu utajengwa kwa muda wa miezi 27 na hivyo kukamilika mwezi Februari
mwaka 2015” alisema Injinia Mfugale.
Naye Waziri wa Ujenzi
Mheshimiwa Magufuli alimhakikishia Rais Kikwete kuwa wizara yake itahakikisha
kuwa inamsimamia mjenzi wa mradi huo ambaye ni Kampuni ya Sinohydro Ltd. ya
kutoka Jamhuri ya Watu wa China ili aukamilishe kwa muda na viwango
vilivyokusudiwa na bila ya visingizio vya nyongeza ya gharama.
Akimpongeza Rais kwa kutekeleza ahadi yake, Waziri Magufuli alibainisha kuwa wananchi wa mikoa ya Geita na Kagera wamefurahishwa sana kuona kuwa hatimaye barabara hiyo muhimu inajengwa kwani hiyo ndiyo sehemu pekee iliyokuwa imebaki ikiwa haina lami kwa barabara inayounganisha mikoa hiyo ya ziwa.
Wednesday, November 6, 2013
A Presidential Surprise
|
Today,
President Obama and First Lady Michelle Obama kicked off the resumption
of East Wing and Executive Residence tours by surprising White House
tour guests in the Blue Room.
President
Barack Obama and First Lady Michelle Obama greet visitors in the Blue
Room during a White House tour, Nov. 5, 2015. (Official White House
Photo by Pete Souza)
| |||
| |||
|
Yesterday in the East Room,
President Obama welcomed the Stanley Cup Champion Chicago Blackhawks to
the White House -- the second time he's honored the team for their
Stanley Cup win.
Yesterday, Katherine Archuleta
was sworn-in as the 10th Director of the Office of Personnel Management
(OPM) and will serve as the Federal government’s personnel chief. She
will be the first Latina to hold this position.
READ MORE
We recently asked folks to share
their experiences getting covered since the Health Insurance
Marketplace opened for business on October 1st. Here are some of the
stories we heard.
|
DACICO WANAFUNZI WAENDELEA NA MITIHANI KATIKA CUMPUS YA DAR, MBEYA NA SUMBAWANGA.
Monday, November 4, 2013
President Obama Speaks Out in Support of ENDA
President
Barack Obama delivers remarks at the LGBT Pride Month Reception in the
East Room of the White House, June 15, 2012. (Official White House Photo
by Chuck Kennedy)
================================================================
This
week, the Senate is expected to take up a critically important piece of
legislation: the Employment Non-Discrimination Act, or ENDA. This bill
would make it explicitly illegal under federal law to fire someone
because of their sexual orientation or gender identity -- and it’s long
overdue.
In
an op-ed published in The Huffington Post, the President speaks
directly to the American people to ensure everyone understands what’s at
stake and why it’s so important that Congress move forward on this
legislation:
"It's
offensive. It's wrong. And it needs to stop, because in the United
States of America, who you are and who you love should never be a
fireable offense."
Subscribe to:
Posts (Atom)















