TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, January 23, 2014

MKAZI WA MWANZA SANGOMA AWATEKA WATOTO NA KUWATUMIKISHA KAMA MISUKULE

MGANGA wa kienyeji ‘Sangoma’aitwaye Ramadhani Issa (20) amedaiwa kuwatorosha watoto wawili, Salim Swalehe(13) na Laurent Oscar (13) wanaosoma katika Shule ya Msingi ya Pamba jijini hapa.
Sangoma Ramadhani Issa (20) akiwa chini ya ulinzi baada ya kunaswa.
Tukio hilo limetokea Januari 20, mwaka huu katika kitongoji cha Ujaluoni, Igogo jijini hapa baada ya watoto hao kutoonekana kwa mwezi mzima tangu Desemba 27, mwaka jana.
Inadaiwa kwamba watoto hao walirudi makwao kwa njia za ajabu na kusema walikuwa wamewekwa ndani kama misukule  nyumbani kwa mganga huyo.
Watoto waliokuwa wametekwa na sangoma Ramadhani Issa.
Wazazi wa watoto hao wanaoishi Mabatini, waliomba msaada kwa Kitengo cha Oparesheni cha Fichua Maovu (OFM) cha Global Publishers kumnasa mganga huyo.
OFM wakiwa na mtandao wa kijamii wa Farijika, waliambiwa na watoto hao kwamba walichukuliwa na mganga huyo Desemba 27, mwaka jana wakiwa katika matembezi ya sikukuu.
“Mganga alitugusa na shanga vichwani na kutufanya tupoteze kumbukumbu na kumfuata kila alipokuwa akienda,” alisema Laurent.
Hapa ni ndani ya getho la Sangoma Ramadhani Issa walipokuwa wakiishi watoto.
Watoto hao walidai kufikishwa kwenye kilinge cha mganga huyo na kufungiwa ndani huku wakilishwa karanga mbichi na ulezi kwa mwezi mzima.
Kama haitoshi walidai mganga alikuwa akiwalimisha na kuwachotesha michanga usiku kucha huku Salim akionesha chale alizochanjwa sehemu za magotini na kichwani.
Mtoto Salim alisema kuwa alimuona mwenzake Laurent akiruka kimiujiza jambo lililomshtua na kumfanya atoroke  baada ya kumuona mganga huyo kauacha mlango wazi.
Baadhi ya mazagazaga ndani ya gheto la sangoma huyo.
“Ndani ya nyumba kuna mauzauza mengi sana, wakati mwingine tulikuwa tunasikia sauti za watoto lakini hatukuwaona.
“Hata chakula (karanga na ulezi) tulikuwa tukipewa kingi, lakini tukila kidogo tu kinaisha kama vile tulikuwa tunakula na watu wengine,” alisema Salim.
Mmoja wa watoto waliokuwa kwa sangoma huyo akionyesha makovu ya chale kwa OFM.
Mmoja wa wazazi wa watoto hao ambaye ni Makamu wa Rais wa Chama cha Waganga wa Tiba za Jadi Tanzania (Tameto), Swalehe Issa Bukuku, alisema kuwa watoto hao walifika nyumbani wakiwa katika hali ya kuweweseka huku wakisisitiza walikuwa kwa mganga Igogo na wangeweza kuwapeleka kwa kuwa wanaikumbuka njia waliyopita siku ya kwanza.
Sangoma Rama akiandaa jeans yake baada ya kunaswa na OFM tayari kuelekea kituoni.
OFM na wazazi wa watoto hao pamoja na wanaharakati walifika kwa mganga huyo wakiwa na mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Ujaluoni.
Bahati mbaya mganga huyo alikuwa ametoka hadi ndugu yake alipompigia simu  na kumtaka afike kilingeni baada ya kuambiwa kulikuwa na wateja.
Safari ya kuelekea kituoni.
Mganga huyo alifika kilingeni kwake ndipo OFM ikiwa pamoja na mwenyikiti wa mtaa na wazazi wa watoto hao na Polisi Jamii, walimnasa na kumfikisha Kituo Kikuu cha Polisi cha Nyamagana na kufunguliwa jalada la uchunguzi MW/RB/07/2014 JALADA LA UCHUNGUZI.
Gheto la sangoma Rama kwa nje.

BARUA KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, JAKAYA MRISHO KIKWETE

Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete.
KWA: MHE. RAIS WA JAMHURI YA  MUUNGANO WA TANZANIA, JAKAYA MRISHO KIKWETE
Ndugu,
YAH: UNYANYASAJI ULIOPITILIZA WA BODI YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WASOMAO CHINA
Tafadhali rejea mada iliyotajwa hapo juu.
Mheshimiwa Rais, awali ya yote, tunapenda kuchukua fursa hii kukupa pole na majukumu yako ya kila siku na kukutakia heri ya Mwaka Mpya.
Mheshimiwa, tunaandika  barua hii ya  wazi kwako tukiomba  kutatuliwa  matatizo  yetu  makuu   mawili. Tumefikia hatua hii  baada  ya  kushindwa  kupata  suluhisho la  matatizo  haya kwa  watendaji  walio  chini  yako  ambao ni Bodi ya  Mikopo (HESLB)  na Ubalozi wa Tanzania  nchini China (kupitia mwambata  wa  wanafunzi).
1.    Ucheleweshwaji  uliopitiliza  wa pesa  za  kujikimu.
2.    Kiwango  kidogo cha  pesa ya  kusafirishia na kutolea  mizigo.
UCHELEWESHWAJI ULIOPITILIZA WA PESA ZA KUJIKIMU:
 Kwa  masikitiko  makubwa tunapenda kuwasilisha tatizo   la ucheleweshwaji uliopitiliza wa  pesa  za  kujikimu kwa  wanafunzi  tunaoendelea na masomo yetu nchini China. Kwa mujibu  wa  utaratibu  wa Bodi  ya Mikopo ni kwamba pesa  hii ya  kujikimu  inayozungumziwa ilipaswa iwe  imemfikia  kila mwanafunzi  kwa  mwaka  wa  masomo  kila  uanzapo  mwezi wa  tisa (Septemba).  Lakini katika   hali ya kusikitisha,  pesa  hii  bado haijatufikia   hadi  sasa  mwezi Januari.
Tumejaribu  kuchukua  hatua  nyingi  za  awali ikiwemo  kuwasiliana  na  ubalozi wtu  kwa kupitia  mwambata  wa  wanafunzi  wasomao  China (ushahidi    upo ) pia tumefanya  mawasiliano  na Bodi  ya  Mikopo moja  kwa  moja  bila  mafanikio yoyote (ushahidi  upo ushahidi ) zaidi ya  kuambulia  majibu yasiyo  na  kichwa  wala  miguu (ushahidi upo ).
Licha ya sisi kuwa wavumilivu kwa miezi zaidi ya mitano sasa, bado tunaendelea kupewa majibu mepesi ya kwamba tuendelee kuwa na amani na wavumilivu kwamba pesa zitakuja tu lakini haijulikani ni lini, mwezi gani na nini hasa chanzo cha kucheleweshwa mikopo hiyo?
Ikizingatiwa   kuwa  kuna baadhi  ya  wanafunzi  wanatarajia  kuhitimu mwezi  wa  saba (Julai) licha  ya  kwamba  wanahitaji  pesa  ya kujikimu  ila  pia  watahitaji pesa  kwa ajili  ya  kusafirishia  mizigo yao pindi watakapomaliza  muda  wao wa masomo  nchini China.  
KIWANGO KIDOGO CHA PESA YA KUSAFIRISHA MIZIGO:
Moja ya  changamoto  kubwa  ambayo imekuwa ikitukabili  wanafunzi  tusomao  China na  hasa  wakati  wa  kuhitimu  masomo  yetu ni  usafirishaji  wa  mizigo (vitu  mbalimbali  vikiwemo  vifaa  vya  utafiti, vitabu  na  vitu  binafsi).
Kwa wanafunzi waliohitimu  kabla ya mwaka 2013  walikuwa wanapewa pesa  ya kusafirishia mizigo kuanzia Dola za Kimarekani 3,000  hadi  3,500  lakini baadaye Bodi ya Mikopo iliamua kupunguza pesa hiyo  kufikia Dola za Kimarekani 1,200. 
Ukweli ni kwamba gharama  za usafirishaji wa mizigo kutoka China kwenda Tanzania zimeongezeka kwa kasi sana na  pesa hii  kwa  uhalisia  haitoshi hata  kidogo.
Kwa mshangao mkubwa na bila kushirikishwa  kwa wanafunzi  tusomao  China ambao  ndiyo  wanufaikaji, Bodi ya Mikopo iliamua kupunguza pesa hiyo kwa zaidi ya asilimia 100 hadi kufikia Dola za Kimarekani 1,200, pamoja na kwamba kiasi kilichoombwa baada  ya  utafiti  wa  kina  juu  ya gharama za  usafirishaji  na  utoaji  mizigo viliambatanishwa.
Kiasi hicho kusema ukweli hakikidhi gharama za usafirishaji wa mizigo ya wahitimu kutoka sehemu mbalimbali za China kwenda nyumbani Tanzania.
Mfano mwaka jana wanafunzi walishindwa kusafirisha baadhi ya vitu vyao kutokana na gharama kuwa kubwa sana na ambao waliweza kuongeza pesa kutoka mfukoni mwao na kusafirisha walishindwa kuvitoa pale bandarini Dar es Salaam.
HITIMISHO:
Kutokana na matatizo haya na mengine mengi ambayo tunashindwa kuyaeleza hapa, suala hili limesababisha usumbufu mkubwa kwa wanafunzi katika shughuli zao za kimasomo.  Hii  ni  pamoja  na  baadhi  ya  tafiti zao kushindwa  kufanyika ipasavyo.
Ombi letu kwa Mh.  Rais ni kwamba tunaomba tupatiwe ufumbuzi wa matatizo   yetu haraka kwa sababu tumeshavumilia  vya  kutosha.  Tunaomba pesa ya kujikimu  iwe inatumwa  kwa wakati na pia  pesa ya kusafirishia mizigo ipatiwe ufumbuzi.
Aidha irejeshwe kama ilivyokuwa awali au ikiwezekana iongezwe ili kukidhi  gharama za usafirishaji na utoaji  mizigo  Tanzania.  
Mheshimiwa Rais, ni wazi kuwa tumehuzunishwa na kusikitishwa sana na udhalilishaji, uonevu na unyanyaswaji tunaofanyiwa kutokana na kutowajibika kwa baadhi ya watendaji wa Bodi ya Mikopo na ubalozi  wetu ama kwa kutambua au kutotambua wajibu wao.
Tunaamini suala letu utalipa uzito unaostahili.
Tunatanguliza shukrani zetu za dhati na pia tunakutakia mafanikio mema katika shughuli zako za ujenzi wa taifa.
Wako wanafunzi  wa Tanzania walio China.

Aso Rock Clinic’s VIP Section Gets More Funds Than Two Federal Teaching Hospitals-PREMIUM TIMES

By Ini Ekott
The federal government will this year pump more cash into constructing an elite wing of the presidential clinic in Abuja where only a few big and mighty will receive attention, a spending that dwarfs the total funds allocated by government for entire developmental projects of two federal university teaching hospitals.
Under the proposed 2014 budget laid to the National Assembly last December, the “Construction of a VIP Wing at the State House Clinic will cost N705 million.”
That amount surpasses the government’s budgeted cost for the building of new wards (buildings), laboratories and all other developmental projects in two university teaching hospitals.
For instance, the University of Ilorin Teaching Hospital and the University of Benin Teaching Hospital, have been allocated a total of N662 million for capital expenditure this year.
The two medical facilities are only part of a long list of teaching hospitals which have their capital spending this year outdone by the VIP budget, tagged in the budget as SHMC- State House Medical Clinic.
Among 17 tertiary hospitals in the nation compared with the State House clinic, University of Ilorin’s allocation of N310 million will be the least if the National Assembly approves the budget as submitted.
Other similar hospitals receive a little above N310 million, and some up to N550 million.
The only teaching hospitals with capital budgets exceeding the spending for the Aso Rock elite facility are Nnamdi Azikiwe University, Awka, with N727 million; and the University of Nigeria, Nsukka, with N1.9 billion.
The skewed allocations are only the latest revelation from Nigeria’s scandalous national budget, tainted for years by spending plans that provide more funding for services available to a few powerful public officials, from the president and his ministers to federal lawmakers, while relatively little go to those that should benefit the public.
Analysts have for years criticized the allocations and have struggled to draw government’s attention for serious corrections.
“A country like Nigeria with its negative developmental indices cannot fritter away resources that are best conserved for national development,” said Ikeazor Akaraiwe of The Rule of Law Collective, a Nigerian civic platform which first raised concerns with the presidential medical spending.
In a statement to the media on Monday, the group described the 2014 budget before the National Assembly as the worst ever proposed in the nation’s history, and laid the responsibility on the finance minister, Ngozi Okonjo-Iweala.
“It is an affront to the sensibilities of the teeming poor in our country when a budget that smacks of profligacy and utter waste is tabled before the National Assembly to be passed into law in their name,” the group said.
“This budget and the 1,820 pages in which it was written, in all likelihood, will go down in history as one of the worst budgets ever proposed. It represents a complete detachment from reality. It is a shame that this budget proposal was tabled under the watch of Dr Ngozi Okonjo-Iweala. So much more was expected of her and it is disappointing that she has let this budget proposal proceed under her hand. The ultimate responsibility, though, must lie with President Goodluck Jonathan.”
The group also raised concerns with what it reflected as the lopsided allocation on military spending versus spending on the rehabilitation of ex-militants. Read their full statement here.
On Monday, in a rare admission of that possibility, the Director General, Budget Office of the Federation, Bright Okogu, acknowledged there were multiple errors in the new budget, but said they were “glitches” caused by the use of the Government Integrated Financial and Management Information System, GIFMIS, a new budgeting tool.
He referred to the allocation of millions of naira to non-existent projects like the huge sums allocated to the Mathematical Centre, Sheda, Investment and Securities Tribunal and other agencies for fuelling and maintenance of aircraft, boats and railway equipment.
Those agencies however own no aircraft, boats or even railway equipment.
“What happened was that GIFMIS, being a new system, had some glitches that reflected in some of the provisions. It is not totally strange,” Mr. Okogu said at the presentation of the budget details on Monday, by Mrs. Okonjo-Iweala. “Many of you have read about the Obamacare and the challenges they had in actually implementing it. It is a big system, bigger than ours, but with the same features.
The State House Clinic, pointed out by the Rule of Law Collective, is not open to the public. Currently, only staff of the State House are allowed services.
But the planned wing is expected to be used to provide exclusive services to the president and his vice, and senior government leaders visiting the presidential villa.
The N705 million allocated for the VIP wing of the hospital will not be the first, as the same construction had earlier received N300 million in 2012-totaling N1billion for just that unit.
Meanwhile, upgrades, repairs and construction in the entire hospital cost at least N506 million in 2011, N401 million in 2012, and over N300 million in 2013.

NAPE AGEUKA KAMA KINYONGA KUHUSU MAWAZIRI MZIGO

NAPE AGEUKA KAMA KINYONGA KUHUSU MAWAZIRI MZIGO

Soma taarifa hii aliyoitoa kwa waandishi wa habari leo

Mara baada ya kuundwa kwa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg. Abdulrahman Kinana mwanzoni mwaka mwaka jana, Sekretarieti hiyo imejiwekea utaratibu wa kufanya ziara mikoani kukutana na wananchi kusikiliza kero zao,kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM na kuimarisha Chama mikoani. Utaratibu huu ni agizo la mkutano mkuu wa Taifa wa nane wa CCM uliofanyika Novemba 2012 mjini Dodoma. Nanukuu azimio hilo;

“ Chama Cha Mapinduzi lazima kiwe karibu na wananchi, kisikilize changamoto zao na kiwasemee wananchi na hasa wanyonge” Moja ya maazimio ya Mkutano Mkuu wa nane wa CCM 2012.

Kwa hiyo msingi wa kwanza wa ziara hizo ni maagizo ya Mkutano Mkuu wa CCM Taifa ambacho ndicho kikao cha juu kabisa cha Chama. Msingi wa pili ni ukweli kuwa CCM ndio iliyopewa dhamana na kuingia mkataba na wananchi kupitia ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010/2015, hivyo inayowajibu wa kukagua utekelezaji wa ilani hiyo.

Na bila shaka wote tumeshuhudia jinsi ziara hizo zilivyoinua uhai wa Chama nchi nzima na kuongeza kasi ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi na kutatua kero mbalimbali za wananchi kwenye maeneo yao, kiasi cha kuongeza imani ya wananchi kwa CCM.

Tumeshuhudia makundi mbalimbali ndani ya jamii yakija kueleza changamoto zao ndani ya Chama. Makundi hayo ni pamoja na makundi ya wakulima, wafugaji, wafanyabiashara, wanafunzi na wafanyakazi hasa walimu. Huu ni uthibitisho wa kuongezeka kwa imani yao kwa CCM.

Katika mwendelezo wa ziara hizo mwishoni mwa mwaka jana Katibu Mkuu wa CCM na baadhi ya wajumbe wa Sekretarieti walifanya ziara ya siku 26 katika mikoa ya Ruvuma, Mbeya na Njombe. Pamoja na mambo mengine wananchi walilalamikia baadhi ya watendaji wa serikali hasa baadhi ya mawaziri wakiamini kuwa yapo mapungufu kadhaa yanayotokea kwenye wizara zao.

CCM kama lilivyo agizo la Mkutano mkuu la kuwasemea wananchi tulisikiliza kilio chao na kwa kufuata utaratibu, baadhi ya mawaziri hao waliitwa na kuhojiwa kwenye Kamati Kuu ya CCM mwezi Disemba 2013.

 Utaratibu wa watendaji wa serikali kutoa taarifa za utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwenye vikao vya Chama sio mgeni na wala haujaanza jana. Wakuu wa wilaya hutoa kwenye wilaya, wakuu wa mikoa hutoa mikoani kwao,hivyo sio utaratibu mpya.

Baada ya mahojiano hayo Kamati Kuu ya CCM ilitoa ushauri kwa serikali wa namna ya kurekebisha mapungufu yaliyoelezwa na wananchi. Kwakuwa kwa mujibu wa Katiba ya Nchi mwenye mamlaka na mawaziri ni Rais mwenyewe, CCM ililiacha suala hili kwake aangalie njia ipi bora ya kuondoa mapungufu tuliyoyaeleza.

Na kwenye taarifa yetu kwa vyombo vya habari baada ya kikao hicho tulisisitiza kuwa sio lazima awafukuze mawaziri husika isipokuwa wanaweza kufanya mabadiliko katika mfumo,sheria nk ili mradi kuwepo na mabadiliko katika kushughulikia mambo yaliyolalamikiwa na wananchi.

Hivi karibuni Rais amefanya mabadiliko kidogo kwenye baraza lake la mawaziri na kuwarudisha baadhi ya mawaziri waliolalamikiwa na wananchi na wabunge, ambao malalamiko hayo yaliungwa mkono na CCM. Ni kupitia malalamiko hayo ndipo lilipozaliwa jina la mawaziri mizigo. Baada ya uteuzi huo kukaibuka mjadala mkubwa nchini wakihoji kulikoni Rais kaamua kutowatimua mawaziri hao.

Kwanza haikua hoja ya CCM kuwafukuza mawaziri hao bali kuchukua hatua za kurekebisha mapungufu husika. Kufukuza inaweza kuwa ni njia ya kutatua tatizo lakini sio njia pekee. Hivyo basi CCM tunaamini kuwa kurudishwa kwao wamepewa fursa ya kurekebisha mapungufu tuliyoyasema kwa niaba ya wananchi. Tunaamini mawaziri wote hawatabweteka bali watatimiza wajibu wao na kuhakikisha wanawatumikia wananchi ambao ndio waajiri wa serikali.

Ifahamike kuwa Chama Cha Mapinduzi hakitasita kuchukua hatua kali dhidi ya mawaziri na watendaji wengine watakaoshindwa kurekebisha mapungufu na watakaoshindwa kutimiza wajibu wao vizuri. Wakumbuke kushindwa kwao kutimiza majukumu yao ni hujuma kwa Ilani ya uchaguzi ya CCM, CCM haitavumilia usaliti huo. Kukaa kimya kwa CCM itakua ni kujinyonga yenyewe jambo ambalo hatutaruhusu kabisa.

Tunajua wapo baadhi ya watendaji wa serikali wasiopenda kuhojiwa utendaji wao, tunawasihi kwa moyo safi wasiotaka kuulizwa juu ya utendaji wao waondoke serikalini wenyewe kwani CCM tutakuwa wakali sana kwenye mapungufu,kwani tukikaa kimya tutakua tunajihujumu wenyewe.

Tutatumia vizuri wingi wa wabunge wetu bungeni na wingi wa madiwani wetu kwenye halmashauri kuisimamia vizuri serikali. Hivyo kuanzia sasa kasi ya CCM kuisimamia serikali, kuisifu itakapofanya vizuri na kukosoa itakapofanya vibaya itaongezeka mara dufu kwa kila ngazi.

Tunawaomba watanzania kwa ujumla tuwape muda wateule hawa wa Rais watimize wajibu wao, lakini tusisite kusema pale tutakapoona mambo hayaendi kama tunavyotarajia. Uwajibikaji wa kweli ndio msingi wa mafanikio na maendeleo yetu.

CCM inawatakia kila lakheri kwenye kutimiza wajibu wao. Tuna matumaini makubwa kuwa wote kwa pamoja hawataisaliti ilani ya Uchaguzi ya CCM na kwamba hawatayaangusha matumaini ya wananchi kwa serikali yao.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
 
 Mara baada ya kuundwa kwa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg. Abdulrahman Kinana mwanzoni mwaka mwaka jana, Sekretarieti hiyo imejiwekea utaratibu wa kufanya ziara mikoani kukutana na wananchi kusikiliza kero zao,kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM na kuimarisha Chama mikoani. Utaratibu huu ni agizo la mkutano mkuu wa Taifa wa nane wa CCM uliofanyika Novemba 2012 mjini Dodoma. Nanukuu azimio hilo;
“ Chama Cha Mapinduzi lazima kiwe karibu na wananchi, kisikilize changamoto zao na kiwasemee wananchi na hasa wanyonge” Moja ya maazimio ya Mkutano Mkuu wa nane wa CCM 2012.

Kwa hiyo msingi wa kwanza wa ziara hizo ni maagizo ya Mkutano Mkuu wa CCM Taifa ambacho ndicho kikao cha juu kabisa cha Chama. Msingi wa pili ni ukweli kuwa CCM ndio iliyopewa dhamana na kuingia mkataba na wananchi kupitia ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010/2015, hivyo inayowajibu wa kukagua utekelezaji wa ilani hiyo.

Na bila shaka wote tumeshuhudia jinsi ziara hizo zilivyoinua uhai wa Chama nchi nzima na kuongeza kasi ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi na kutatua kero mbalimbali za wananchi kwenye maeneo yao, kiasi cha kuongeza imani ya wananchi kwa CCM.

Tumeshuhudia makundi mbalimbali ndani ya jamii yakija kueleza changamoto zao ndani ya Chama. Makundi hayo ni pamoja na makundi ya wakulima, wafugaji, wafanyabiashara, wanafunzi na wafanyakazi hasa walimu. Huu ni uthibitisho wa kuongezeka kwa imani yao kwa CCM.

Katika mwendelezo wa ziara hizo mwishoni mwa mwaka jana Katibu Mkuu wa CCM na baadhi ya wajumbe wa Sekretarieti walifanya ziara ya siku 26 katika mikoa ya Ruvuma, Mbeya na Njombe. Pamoja na mambo mengine wananchi walilalamikia baadhi ya watendaji wa serikali hasa baadhi ya mawaziri wakiamini kuwa yapo mapungufu kadhaa yanayotokea kwenye wizara zao.


CCM kama lilivyo agizo la Mkutano mkuu la kuwasemea wananchi tulisikiliza kilio chao na kwa kufuata utaratibu, baadhi ya mawaziri hao waliitwa na kuhojiwa kwenye Kamati Kuu ya CCM mwezi Disemba 2013.

Utaratibu wa watendaji wa serikali kutoa taarifa za utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwenye vikao vya Chama sio mgeni na wala haujaanza jana. Wakuu wa wilaya hutoa kwenye wilaya, wakuu wa mikoa hutoa mikoani kwao,hivyo sio utaratibu mpya.

Baada ya mahojiano hayo Kamati Kuu ya CCM ilitoa ushauri kwa serikali wa namna ya kurekebisha mapungufu yaliyoelezwa na wananchi. Kwakuwa kwa mujibu wa Katiba ya Nchi mwenye mamlaka na mawaziri ni Rais mwenyewe, CCM ililiacha suala hili kwake aangalie njia ipi bora ya kuondoa mapungufu tuliyoyaeleza.

Na kwenye taarifa yetu kwa vyombo vya habari baada ya kikao hicho tulisisitiza kuwa sio lazima awafukuze mawaziri husika isipokuwa wanaweza kufanya mabadiliko katika mfumo,sheria nk ili mradi kuwepo na mabadiliko katika kushughulikia mambo yaliyolalamikiwa na wananchi.

Hivi karibuni Rais amefanya mabadiliko kidogo kwenye baraza lake la mawaziri na kuwarudisha baadhi ya mawaziri waliolalamikiwa na wananchi na wabunge, ambao malalamiko hayo yaliungwa mkono na CCM. Ni kupitia malalamiko hayo ndipo lilipozaliwa jina la mawaziri mizigo. Baada ya uteuzi huo kukaibuka mjadala mkubwa nchini wakihoji kulikoni Rais kaamua kutowatimua mawaziri hao.


Kwanza haikua hoja ya CCM kuwafukuza mawaziri hao bali kuchukua hatua za kurekebisha mapungufu husika. Kufukuza inaweza kuwa ni njia ya kutatua tatizo lakini sio njia pekee. Hivyo basi CCM tunaamini kuwa kurudishwa kwao wamepewa fursa ya kurekebisha mapungufu tuliyoyasema kwa niaba ya wananchi. Tunaamini mawaziri wote hawatabweteka bali watatimiza wajibu wao na kuhakikisha wanawatumikia wananchi ambao ndio waajiri wa serikali.

Ifahamike kuwa Chama Cha Mapinduzi hakitasita kuchukua hatua kali dhidi ya mawaziri na watendaji wengine watakaoshindwa kurekebisha mapungufu na watakaoshindwa kutimiza wajibu wao vizuri. Wakumbuke kushindwa kwao kutimiza majukumu yao ni hujuma kwa Ilani ya uchaguzi ya CCM, CCM haitavumilia usaliti huo. Kukaa kimya kwa CCM itakua ni kujinyonga yenyewe jambo ambalo hatutaruhusu kabisa.

Tunajua wapo baadhi ya watendaji wa serikali wasiopenda kuhojiwa utendaji wao, tunawasihi kwa moyo safi wasiotaka kuulizwa juu ya utendaji wao waondoke serikalini wenyewe kwani CCM tutakuwa wakali sana kwenye mapungufu,kwani tukikaa kimya tutakua tunajihujumu wenyewe.

Tutatumia vizuri wingi wa wabunge wetu bungeni na wingi wa madiwani wetu kwenye halmashauri kuisimamia vizuri serikali. Hivyo kuanzia sasa kasi ya CCM kuisimamia serikali, kuisifu itakapofanya vizuri na kukosoa itakapofanya vibaya itaongezeka mara dufu kwa kila ngazi.

Tunawaomba watanzania kwa ujumla tuwape muda wateule hawa wa Rais watimize wajibu wao, lakini tusisite kusema pale tutakapoona mambo hayaendi kama tunavyotarajia. Uwajibikaji wa kweli ndio msingi wa mafanikio na maendeleo yetu.

CCM inawatakia kila lakheri kwenye kutimiza wajibu wao. Tuna matumaini makubwa kuwa wote kwa pamoja hawataisaliti ilani ya Uchaguzi ya CCM na kwamba hawatayaangusha matumaini ya wananchi kwa serikali yao.

In Strong Letter To Senate Leadership, 52 Senators Object To Attempts To Declare Seats of Defectors Vacant

By SaharaReporters, New York
Fifty-two members of the Nigeria Senate, nearly half of its membership of 109, have written to the leadership of the National Assembly to express their objection to any attempts to declare vacant the seat of any member of the Upper House who defects to another political party.
In the letter, dated January 20, the Senators warned that such vacancies should be declared only through a process of recall by the relevant constituents or by the pronouncement of a court of competent and final jurisdiction, rather than what they called ‘politics of intimidation, harassment and or comment that could jeopardize the peaceful co-existence of unity of Nigeria.’
The Senators, citing the crisis in the Peoples Democratic Party (PDP) which has resulted in some Senators planning to defect to other political parties, stressed the need to forestall imminent crisis in the polity.  Urging the Senate to continue to accommodate all legislators irrespective of their views, they said Nigeria could only make progress when they tolerate and respect one another and the rule of law.
“Having reaffirmed our confidence in the National Assembly as the only institution empowered by the Constitution to protect and defend the collective interest and yearning of Nigeria are however concerned about some comments, statements and threat in the print and electronic media credited to some elected and unelected persons threatening to declare vacant, the seats of some Senators who are the representatives of the Nigerian people in the National Assembly,” they said.
They stressed that they view such threats with serious concern as they are mischievous and capable of undermining the independence of the legislature and taking away the mandate given to such Senators as the representatives of the Nigerian people.
They further drew attention to a pending legal matter at the Federal High Court in Abuja on the same subject matter, pointing out that it is the practice of the Senate that where a matter is pending in a law court, it cannot be a subject of discussion or debate on the floor of Senate.
“We hereby note that this is not the first experience in the Senate where some Senators have moved to political parties of their choice as a result of one reason or the other, whereas, such has not caused any political tension or intimidation,” the letter cautioned.  “It is our resolve that the Senate should maintain and sustain this principle and precedence.”

CHADEMA hawana Ikulu wanarusha chopa tatu angani kujenga chama, wakichukua nchi itakuwaje?

Kurusha Helkopta kutoka Dar- Arusha (Takriban 450KM) kunagharimu takriban 5M, hii ni pamoja na Fuel, parking fees, Mshahara wa rubani na check up. 
1. Kurusha helkopta 3 kwa wakati mmoja kuzunguka mikoa 9 (Takriban 4,050KM) kutagharimu zaidi ya 45M
2. Usafiri wa ndani ya mikoa 9 kwa magari, chakula na malazi kwa viongozi kutagharimu takriban TShs laki 5 kwa kila kiongozi mmoja kwa siku.
3. Maandalizi ya sehemu za mikutano, majukwaa, vipaza sauti, umeme na viburudisho kutagharimu takriban TShs laki 5 kwa sehemu moja kwa kila siku moja.
Inaweza kugharimu chama zaidi ya TShs 600M kwa mzunguko wa mikoa 9 kwa siku chache.
Ni nini vyanzo vya fedha kwa matumizi haya, ruzuku, wafadhili wa ndani/nje au mkopo?
Haya yanafanyika huku chama kikiwa na ofisi za kupanga, huku ofisi nyingine zikiwa zimefungwa kutokana na kushindwa kulipa kodi, Baadhi ya ofisi za mikoa zikitumia magari binafsi ya wanachama waliojitolea huku viongozi wakuu wakisafiri na familia zao kubwa na watumishi wa ndani kwa gharama za chama.

4. Gharama za usalama (Redbigades) mikutanoni, chakula na usafiri vinaweza kugharimu TShs 5,000 kwa kila kijana mmoja kwa siku kwa eneo moja la mkutano.



LASU Students Disrupt Exams, Stone Vice Chancellor-PM News, Lagos

Some of the protesting students
By Sulaimon Mojeed-Sanni
Lagos State University students went on the rampage Thursday, disrupting the university’s  second semester examination and destroying properties in the process.
The protest which started Wednesday over the closure of the university’s registration portal, led to stoning of the University Vice Chancellor Prof. John Obafunwa, as he tried to evade the riotous students who had blocked the main gate and made bonfires on the Lagos-Badagry expressway.
An eye witness told P.M.NEWS Thursday that students threw sticks and stones at the Vice Chancellor’s convoy as he made to escape through an alternative route beside Conoil Filling station.
Trouble started in the university when the VC decided not to open the registration portal for over 2,000 students who are yet to register their second semester courses as exams was to begin Thursday, even though the banks are still collecting school fees from students, whose hope of registering gets slimmer by the day.
According to the students, only 708 were able to register before the portal was shut again leaving, 1292 students to their fate.
When the students union government went to plead on behalf of the students, the VC was reported as saying those yet to register are insignificant and would automatically have to carry the session over, a statement which infuriated the students and they decided to take laws into their hands.
A 100 level Political Science student, Adesegun Bisuga, laments the hard-line stand of the VC, saying he is inconsiderate.
“I personally don’t know why the VC decided to take that kind of hurting decision looking at the high fees the students are paying and after they struggle to pay, the VC denied us registration which will lead to the students having carry covers and extra year(s),” he said.
During an audience with the Vice Chancellor by members of the student union body, it was reported that the Vice Chancellor said 11,300 students, have registered so far, and the remaining the 1292 students crying foul falls in the rank of the minority.
Efforts to speak with the Dean of Students Affairs, Prof. Kabiru Akinyemi, was not successful as he said he cannot comment on the matter now. Calls put across to the Vice Chancellor were also ignored.
The speaker of the Students Parliamentary Council,  Sodiq Adewunmi Sanni, while speaking with our correspondent, advised that the university management should consider the students in view of the outrageous school fees they are paying.
“The university management needs to consider the students, they are paying the highest school fees for a state university in Nigeria. Even though I am not affected, the students’ school fees is outrageous. They have gone through a lot and to now deny them registration is not in anybody’s good interest.
“I would advise that the management postpone the exams till next week, so as to accommodate the 1292 students that are yet to register. That is not a figure to over look,” the speaker said.

WANANCHI WATAKIWA KUJIUNGA NA CHF HILI KUCHANGIA MABORESHO YA HUDUMA ZA MATIBABU-DC RUANGWA AGNES HOKORORO (MB)

211Nawaambieni CHF ndiyo mkombozi wa huduma za matibabu sasa…Mkuu wa wilaya ya Ruangwa Agnes Hokororo (MB) akitoa rai kwa wananchi wake  Wilayani humo wakati wa uzinduzi wa kampeni za uhamasishaji wananchi kujiunga na CHF ulioenda sambamba na upimaji wa afya bure chini ya uratibu wa NHIF Lindi uliofanyika  leo hii kwenye viwanja vya CWT Ruangwa.069Wananchi wakimsikiliza mkuu wa wilaya Agness Hokoro hayupo pichani wakati wa uzinduzi huo .
185
Meneja wa NHIF mkoa wa Lindi Fortunata Raymond  akiwaeleza wanahabari (hawapo pichani) namna ya utekelezaji wa zoezi la uhamasishaji wa wananchi kujiunga na CHF utakavyoendeshwa,sambamba na  mafanikio yanayotarajiwa kutokana na mkakati wa pamoja wa Mfuko na Mkuu wa wilaya ya Ruangwa ulivyokusudiwa.
229
 Upimaji wa afya bure ukiendelea,madaktari wa mfuko na hospitali ya wilaya wameendelea kutoa huduma za uwiano wa uzito wa mwili (BMI),shinikizo la damu (BP) na sukari ambapo suala la lishe na shinikizo la damu (BP)ni changamoto  iliyoweza kubainika hivyo ushauri ulitolewa,kushoto ni Dr. Rashida Omari  wa hospitali ya wilaya akimpima kiwango cha sukari mzee Abdalah Ngawenje. 239 
Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Agnes Hokoro (MB) akipima BMI kwenye viwanja vya CWT,anayempima ni afisa wa mfuko ofisi ya mkoa wa Lindi Laurent Hoja

WAFANYA BIASHARA NA KAMPUNI YA CHINA WORLD BUZ WAMALIZIKA SEMINA YA TRPLE “A” JIJINI ARUSHA

1 
Shafii Mwaijande Ofisa Mtendaji Mkuu wa China Word Buz kwa upande wa Tanzania akizungumza na wafanya biashara wadogo na wakati kwenye ukumbi wa Triple A jijini Arusha wakati wa Semina kwa wafanya biashara hao iliyomalizika leo 3 

MAMA KIKWETE ASISITIZA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI KUTOKA KWA MAMA KWENDA KWA MTOTO

IMG_0452  

Na Magreth Kinabo – Maelezo


 Mke wa Rais Mama Salma   Kikwete amewataka  Watanzania  kuongeza juhudi za kuzuia maambukizi ya Virusi
Vya Ukimwi(VVU)  kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto ili  katika  Tanzania iweze kuwa na kizazi kisichokuwa na VVU na ugonjwa wa Ukimwi.
 Kauli hiyo imetolewa leo na Mama Kikwete  ambaye pia  ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA)  wakati akifungua mkutano wa kitaifa wa  wadau wa kuzuia maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.
Aidha mama Kikwete aliwataka Watanzania kuchangia sh. 100 katika kupambana na tatizo kwa mchango  utawapa nguvu wadau wengine kuwaunga mkono.
 Aliwataka wadau wamaendeleo kuendele kuunga mkno katika juhudi za kuondokana na tatizo hilo.
 “ Lazima juhudi za makusudi zifanyike bila kuchoka kwa maeneo yote Serikali, NGO’s, taasisi za dini mashirika ya kiraia na watu binafsi . Hii itasaidia kunusuru kizazi chetu na kuwa na nguvu kazi iliyobora, kizazi kisichokuwa na maambukizi na VVU na Ukimwi,” alisema Mama Kikwete huku akisisitiza Tanzania bila Ukimwi inawezekana.
 Aliongeza kuwa mikakati imara na endelevu ni lazima iwepo kama vile kutoa huduma za kuzuia maambukizi ya VVU na Ukimwi kwa kushirikisha jamii na kutoa tiba kikamilifu zinaweza kupunguza maambukizi hayo.
 Alisema asilimia 98 ya  wakina mama wajawazito wanahudhuria kiliniki angalau mara moja  na asilimia 43 mara nne  wakati wa ujauzito kati ya hao, asilimia 81 wanapimwa VVU.
Aliwataka wakina mama wajazito kuhudhuria kiliniki wakati wa  ujauzito kuanzia siku ya kwanza hadi watakapoajifungua  ili idadi ya wanahudhuria kiliniki  iweze kufikia  asilimia 100.
 Naye Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid alisema hivi sasa Tanzania imefanikiwa kupunguza maambukizi hayo kwa asilimia 15 mwaka 2012  kutoka asilimia  19  mwaka 2011  na lengo ni kufikia asilimia 5 ifikapo mwaka 2015.
 Alisema asilimia 90 ya wakina mama wajawazito wamepimwa VVU kati yao asilimia 64 wamegundulika wanaishi na VVU , pia asilimia 55 ya watoto wanapatiwa dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo.(ARV’s).
 Kaimu Mkurugenzi wa Kinga kutoka wizara hiyo , Dk .Neema  Rusibamayilla alisema  alisema awamu ya pili ya kupambana na tatizo hilo itaanza Januari mwaka huu katika mikoa  mingine 16.
 Mratibu wa huduma hiyo kutoka Malawi, Dk. Michael Eliya alisema  ni muhimu kuweza katika  utoaji wa huduma, kuboresha miundombinu ,ikiwemo rasilimali fedha na watu katika kufanikisha malengo hayo.
======================================================

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, MHE. PEREIRA SILIMA AELEZEA MAFANIKIO YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YALIYOFIKIWA NA SERIKALI YA AWAMU YA NNE, JIJINI DAR

1 
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Pereira Silima(katikati) akitoa taarifa ya Mafanikio ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya Nne kwa Waandishi wa Habari(hawapo pichani) leo Januari 21, 2014 katika Ukumbi wa Mikutano, Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Jijini Dar es as Salaam(kulia) ni Kamishna wa Utawala wa Jeshi la Polisi, Clodwing Mtweve(Kushoto) ni Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari na Maelezo, Bw. Assah Mwambeni.
image 

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini, John Casmir Minja akiwa pamoja na Viongozi Wengine Wakuu wa Idara zilizo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakati Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Pereira Silima akitoa taarifa rasmi ya Mafanikio ya Wizara ya Mambo ya Ndani katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya Nne(wa pili kulia) ni Kamishna Mkuu wa Idara ya Uhamiaji, Sylivester Ambokile(kushoto) ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Nchini, Pius Nyambacha. image_1 
Baadhi ya Wakurugenzi mbalimbali wa Idara za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakifuatilia kwa makini taarifa ya Mafanikio ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya Nne iliyotolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Prereira Silima kwa Waandishi wa Habari leo Januari 21, 2014 katika Ukumbi wa Mikutano, Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Jijini Dar es Salaam(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).

Yet another impounded Aventador


Bulls can fly? Technically not.. but if you leave yours where it's forbidden, it's just a matter of time before two guys come and move it on a tow truck. This matte grey Lamborghini Aventador was left alone in a street of London and it's a good thing the owner didn't saw his car being impounded since the guys have moved the expensive supercar in a very unstable way!

Lowassa ahani msiba wa mama wa Mzee Makamba

 Na: Henry Mdimu

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa (kushoto) akimsikiliza Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, Mzee Yusuph Makamba (wa pili kushoto) wakati alipokuwa akimtambulisha dada zake,wakati Mh Lowassa alipokwenda kumpa pole Mzee Makamba aliyepatwa na msiba wa kufiwa na mama yake mzazi huko kijijini kwake Maezangula wilaya ya Korogwe, Mkoani Tanga jana.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (katikati) na Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, Mzee Yusuph Makamba wakimsikiliza Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Mh. January Makamba wakati wa mazungumzo yao.

DARAJA LA DUMILA LAHARIBIKA KUTOKANA NA MVUA

MAJI YA MAFURIKO YAKIPITA KWA KASI KANDO YA DARAJA LA MTO MAGOLE WILAYA YA KILOSA NA KUFANYA MATUMIZI YA BARABARA YA DODOMA-MOROGORO KUSHINDWA KUTUMIKA KUTOKANA NA MAFURIKO KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA YALIYOTOKANA NA MVUA KUBWA KUNYESHA MAENEO MBALIMBALI YA WILAYA HIYO MKOANI MOROGORO NA KUSABABISHA MABASI YA ABIRIA NA MALORI KUSHINDWA KUSAFIRI NA KULAZIMIKA KUZUNGUKA BARABARA YA MELELA, KIMAMBA KISHA DUMILA KUENDELEA NA SAFARI YA DODOMA LEO HUKU MAGARI MENGINE YAKIWA YAMEKWAMA.