TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, September 21, 2011

Baadhi ya Watendaji Mtaa na Kata kutoka wilaya za Kinondoni na Temeke mkoani Dar es salaam wakisikiliza kwa makini jana mjini Dar es salaam mafunzo ya kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi kwenye maeneo yao. Mafunzo hayo yanaendesha na Mradi wa Maboresho wa Sekta ya Sheria chini Chama cha Wanasheria wa Tanzania Bara(TLS).
Baadhi ya Watendaji Mtaa na Kata kutoka wilaya za Kinondoni na Temeke mkoani Dar es salaam wakisikiliza kwa makini jana mjini Dar es salaam mafunzo ya kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi kwenye maeneo yao. Mafunzo hayo yanaendesha na Mradi wa Maboresho wa Sekta ya Sheria chini Chama cha Wanasheria wa Tanzania Bara(TLS).
Wakili kutoka Chama cha wanasheria Tanzania Bara(TLS) John Seka akiwafundisha watendaji wa Mitaa na Kata jana mjini Dar es salaam juu ya utoaji wa msaada wa kisheria kwa wananchi wenye shida mbalimbali na hawawezi kumudu gharama kuajiri wakili. Watendaji hao wanatoka wilaya za Temeke na Kinondoni.

Wakili kutoka Chama cha wanasheria Tanzania Bara(TLS) Steven Madulu akitoa somo kwa watendaji wa Mitaa na Kata jana mjini Dar es salaam juu ya utoaji wa msaada wa kisheria kwa wananchi wenye shida mbalimbali na hawawezi kumudu gharama kuajiri wakili. Watendaji hao wanatoka wilaya za Temeke na Kinondoni.
Mtendaji Mtaa Kiungani Kata  ya Kurasini Manispaa ya temeke Theophilda Christopher akitoa maoni yake jana jijini Dar es salaam wakati wa mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uwezo watendaji wa Mitaa na Kata juu ya kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi. . Mafunzo hayo yanaendesha na Mradi wa Maboresho wa Sekta ya Sheria chini Chama cha Wanasheria wa Tanzania Bara(TLS).(Picha Zote na Tiganya Vincent-MAELEZO-Dar es salaam)

No comments:

Post a Comment