TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, September 24, 2011

MWENYEKITI WA TAASISI YA WAMA MAMA SALMA KIKWETE AKAGUA SHULE YA WAMA NAKAYAMA TARAYI KWA UZUNDUZI


Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (katikati akiongoza na Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya WAMA NAKAYAMA iliopo Nyamisati Rufiji mkoa wa Pwani (kushoto) Twaha Twaha (mwenye tai) pamoja na Mwalimu Mkuu Msaidizi wa shule hiyo Suma Mensah (kulia) Sept.3.2011 kwaajili ya ukaguzi wa maandalizi kabla ya ufunguzi rasmi wa shule hiyo Sept.29.2011 utakaofanywa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dr. Mohammed Shein . (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).
Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete (mwenye miwani) pamoja na Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Sekondari ya WAMA NAKAYAMA Mwalimu Msaidizi Suma Mensah iliopo Nyamisati Rufiji mkoa wa Pwani wakikagua mazingira ya shule Sept.23.2011 kabla ya ufunguzi rasmi wa shule hiyo Sept.24.2011 itakayofunguliwa rasmi na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt, Mohammed Shein. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).
Msanii mashuhuri na Mbunge wa Viti maalumu Vicky Kamata akiwa katika mazoezi ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya wasichana ya WAMA NAKAYAMA huko Nyamisati Mkoa wa Pwani kwaajili ya uzinduzi rasmi wa shule hiyo Sept.24.2011 utakaofanywa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt, Mohammed Shein. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).
Wanafunzi na Mwalimu Mkuu Msaidizi Suma Mensah wakiwa katika kufanya usafi
Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya WAMA NAKAYAMA huko Nyamisati Mkoa wa Pwani wakifanya mazoezi ya kimba wimbo maalumu Sept,23.2011 kwaajili ya uzinduzi rasmi wa Shule yao Sept.24.2011 utakaofanywa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar DDkt. Mohammed Shein. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).

No comments:

Post a Comment