TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, September 23, 2011

Uzinduzi wa Mpango wa Uwazi wa Uwajibikaji

Mwenyekiti wa TEITI Jaji Paul Bomani akizungumza wakati wa semina ya wadau wa Nishati na Madini, wakati akiwasilisha mchango wake kwa serikali kuitaka iunde Wizara ya Madini tofauti na Nishati, Dar es Salaam leo

 Mbaraka Igangula akichangia hoja wakati wa semina ya wadau wa Nishati na Madini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya waandishi wa vyombo vya habari wakimhoji Mwenyekiti wa TEITI Jaji Paul Boman Dar es Salaam leo
 Mwanyekiti wa Mpango wa Uhamasishaji wa Uwazi katika mapato ya madini, mafuta na gesi asilia Jaji Paul Bomani akizungumza wakati wa uzinduzi wa semina ya uwajibikaji Dar es Salaam Kushoto ni Mjumbe wa Bodi Dkt. Stephen Munga.
 Jaji Paul Bomani akisisitiza jambo kwa wakati wa semina hiyo, Dar es Salaam leo
 Jaji Paul Bomani akiendelea kutoa ufafanuzi kuhusu malipo madogo ya fidia kwa wananchi
Baadhi ya washiriki wa Semina wakimsikiliza kwa makini Jaji Paul Bomani wakati akizungumzia sekta ya Nishati na Madini.(Picha Zote na Shaaban Mpalule).

No comments:

Post a Comment