TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, September 23, 2011

Jaji Bomani azindua mpango wa uhamasishaji sekta ya madini


 Mwenyekiti wa Mpango wa Uhamasishaji wa Uwazi na Uwajibikaji katika Tasnia ya Uzinduaji (TEITI), Jaji Paul Bomani akizungumza wakati akizindua semina ya siku moja, kuhusu tafiti na sheria ya madini Dar es Salaama jana.
 Mjumbe wa kamati tekelezi ya TEITI kupitia vyama vya Kijamii kwenye Upande wa Madhehebu ya Dini Askofu Dkt. Stivin Munga, akizungumza jambo kwenye Mkutano Unaoendelea kwenye Jengo la Benjamini Mkapa Posta Mpya.
Mwenyekiti wa TEITI  Jaji Paul Boman (kulia), na wajumbe wengine wa Bodi hiyo wakiendelea na Mkutano huo

No comments:

Post a Comment