TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, September 24, 2011

JAMII imeshauriwa kujiunga na mfumo wa kisasa wa usimamizi wa vyombo vya habari wa kampuni ya Push Observer

Na Mwandishi wetu
JAMII imeshauriwa kujiunga na mfumo wa kisasa wa usimamizi wa vyombo vya habari wa kampuni ya Push Observer ili kuweza kupata taarifa mbalimbali sahihi za kisiasa, kiuchumi, kibiashara na kiafya.
Wito huo ulitolewa na gwiji la masuala ya usimamizi wa vyombo vya habari, Joe Taylor kutoka Marekani katika hafla fupi iliyowakutanisha wafau mbali mbali wa sekta ya habari, uchumi na biashara.
Bw. Taylor alisema kuwa kila mtu anawajibu wa kujua mambo mbali mbali kuhusiana na jamii na njia halisi ni kuputia mfumo wa kisasa (Digital Media Monitoring) ambao urekodi na kuhifadha taarifa hizo.
Alisema kuwa mfumo huo umeenea sana nchi za Amerika na Ulaya na kuishukuru kampuni ya Push Observer kuanzisha utaratibu huo ambao pia usaidia waandishi wa habari na wanafunzi.
Alifafanua kuwa kwa wafanya biashara, mfumo huo ndiyo utawapa mwanga zaidi wa biashara zao kwani utawawezesha kujua mwenendo wa biashara yake, kujua mpinzani au mshindani anafanya nini katika soko husika.
“Ni muhimu kwa wafanyabiashara kupata taarifa sahihi za mwenendo wa biashara husika, makampuni mengi nchi za Marekani na Ulaya yamefanikiwa kutokana na kutumia mfumo huo kwani biashara bila taarifa sahihi ni hasara,” alisema Taylor.
Afisa Mwendeeshaji Mkuu wa Push Observer, Omari Salisbury akimshukuru Bw. Taylor kwa ujio wake na kutoa mwanga wa mfumo huo ambao Tanzania haujaenea sana.
Salisbury alisema kuwa tokea kuanzishwa kwa kampuni yake, mpaka sasa makampuni sita yamejiunga na yanafanya vizuri katika soko.
“Kwa kweli tumefarijika sana na ujio wa Bw. Taylor na tunaamini wadau mbali mbali mbali pamoja na waandishi wa habari watafika katika ofisi zetu ili kupata kumbukumbu taarifa mbali mbali.
Alisema kuwa wameamua kuanzisha kampuni hiyo ili kuiweka Tanzania katika ramani ya kisasa ya mambo ya usimamizi wa vyombo vya habari na kuwapa taarifa wadau masuala ya kijamii kuweza kupata maendeleo ya kisasa.

Participants of a Good Governance workshop, in a group picture with the Minister of State in President’s Office Responsible for Good Governance Hon. Mathias Chikawe shortly after he opened a workshop on good governance organized by Oikocredit Tanzania. Oikocredit which is one the world’s largest sources of private funding to the microfinance sector, has so far loaned out Tshs44 billion to 44 Saccos in Tanzania. The workshop was held at Kuduchi Beach Hotel in Dar es Salaam this week.
Participants of a four-day good governance workshop,follow a lecture on good governance related topic in Dar es Salaam on Wednesday. The workshop has been organized by Oikocredit which is one the world’s largest sources of private funding to the microfinance sector. Oikocredit has so far loaned out Tshs44 billion to 44 Saccos in Tanzania. The workshop was held at Kuduchi Beach Hotel in Dar es Salaam this week.

Upi ? Msimamo wa viongozi wa nchi Afrika kuhusu Libya?
Je ? wanamtambua kiongozi halali wa Libya?
Vipi ? kiongozi wa waasi Mustafa Abdel-Jalil anatambulika na Viongozi wetu?
Wakati viongozi wa nchi mbali mbali wamekutanika mjini New York,kwa ajili
ya mkutano wa umoja wa mataifa UN,katika mkusanyiko huo wamo pia viongozi
wetu kutoka nchi za kiafrika ambao pia ni wanachama wa umoja wa Afrika AU,
ambayo Libya pia ni mwanachama wa AU,lakini utata unakuja nani kiongozi halali
wa nchi hiyo Libya? Kanal Gaddaf au Mstafa Abdel-Jalil ambaye nae yupo huko
New York.
Swali lingine kubwa ambalo wengi wetu tunajiuliza je ?viongozi wa nchi za
Afrika wanautambua uhalali wa Mstafa Abdel- Jalil ?kama hawautambui
je? watakubali kuwepo ukumbini na kumsikiliza otuba ya kiongozi huyo aleyeingia
madarakani kwa njia ya bunduki tena kwa kusaidiwa na NATO? au watakuwepo
ukumbini kwa mithali za kiswahili kila moja na lwake? yaani ya Ngoswe muachie
Ngoswe! je? fadhila za Kanal Gaddaf na mchango wake katika bara la Afrika
ndio zitakua zimesauliwa.
Mengi tunajiuliza lakini siye wafrika tunategea sikio uko UN kusikiliza msimamo
wa viongozi wetu juu ya kauli ya pamoja kuhusu maslahi ya bara la Afrika.

No comments:

Post a Comment