TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, April 8, 2013

KAMBI YA MISS UTALII YAANZA UPYA- ZIARA MISS UTALII TANZANIA 2012-13 MIKUMI NATIONAL PARK- YAKAMILIKA KWA WASHINDI WA TUZO MBALIMBALI KUPATIKANA NDANI YA HIFADHI

 Washiriki wa Miss Utalii Tanzania 2012-13 wakiwa katika bwawa la Viboko Mikumi National Park.
 Washiriki wa Miss Utalii Tanzania 2012-13 wakiwa katika bwawa la Viboko Mikumi National Park.
 Washiriki wa Miss Utalii Tanzania 2012-13 walioshinda Tuzo mbalimbali za Utalii na Utamaduni zilizofanyika Mikumi National Park.
 Washiriki wa Miss Utalii Tanzania 2012-13 walioshinda Tuzo mbalimbali za Utalii na Utamaduni zilizofanyika Mikumi National Park.wakiwa na wahifadhi.
Kaimu  Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Dattomax Sellanyika, akimkabidhi tuzo ya Mikumi Conferance Tourism, Vestina Jax(Miss Utalii Dar es Salaam 2) 
 Kaimu  Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Dattomax Sellanyika, akimkabidhi tuzo ya Cultural Tourism, Nusura Said(Miss Utalii Simiyu).
 Kaimu  Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Dattomax Sellanyika, akimkabidhi tuzo ya Marin Park, Baby Juma(Miss Utalii Mtwara).
 Kaimu  Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Dattomax Sellanyika, akimkabidhi tuzo ya Forest Service, Flora Kazungu(Miss Utalii Vyuo Vikuu)
 Kaimu  Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Dattomax Sellanyika, akimkabidhi tuzo ya Mount Kilimanjaro, Anna Pogali(Miss  Utalii Kilimanjaro)
 Kaimu  Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Dattomax Sellanyika, akimkabidhi tuzo ya Ngorongoro Creater, Erica Elibariki(Miss Utalii Dodoma).
 Kaimu  Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Dattomax Sellanyika, akimkabidhi tuzo ya Sport Tourism,Hellen Mhando(Miss Utalii Tanga).
 Kaimu  Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Dattomax Sellanyika, akimkabidhi tuzo ya Serengeti Migration, Neema Kanafunzi(Miss Utalii Rukwa)
 Kaimu  Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Dattomax Sellanyika, akimkabidhi tuzo ya Tour Oparetor, Valelia Samsoni(Miss Utalii Kagera).
 Kaimu  Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Dattomax Sellanyika, akimkabidhi tuzo ya WildLife, Hadija Saidi(Miss Utalii Morogoro)
 Kaimu  Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Dattomax Sellanyika, akimkabidhi tuzo ya Bee keeping, Magreth Michael(Miss Utalii Tabora).
Kaimu  Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Dattomax Sellanyika, akimkabidhi tuzo ya Community Service, Sabrina Minja(Miss Utalii Shinyanga).

No comments:

Post a Comment