TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, July 17, 2014

MATAWI MAALUMU YA UMOJA WA VIJANA WA CCM KUIMARISHWA VYUONI.

Mkuu wa utawala wa UVCCM Taifa Comred OMARI MWANANG'WALU akizungumza na baadi ya vijana kutoka vyuo mbalimbali vya mkoa wa DSM ambao walikuja kujifunza mambo mbalimbali ya UVCCM MAKAO MAKUU,,,KAMA VILE ,KANUNI YA UVCCM NA IDARA ZA UVCCM MAKAO MAKUU,,,,,
AKIAMBATANA NA COM MPOKWA,,kwa pamoja waliwapongeza vijana hao kwa moyo wao wakujenga UVCCM imara...
mkuu wautawala alisema.."..tunatafuta utaratibu mzuri zaidi wa kuona tunaimarishaje matawi ya umoja wa vijana vyuoni nchi nzima,,,baada ya kikao na viongozi wenzangu tutawajulisha nini tumeamua kwa pamoja....."

No comments:

Post a Comment