Mkuu wa utawala wa UVCCM Taifa Comred OMARI MWANANG'WALU akizungumza na
 baadi ya vijana kutoka vyuo mbalimbali vya mkoa wa DSM ambao walikuja 
kujifunza mambo mbalimbali ya UVCCM MAKAO MAKUU,,,KAMA VILE ,KANUNI YA 
UVCCM NA IDARA ZA UVCCM MAKAO MAKUU,,,,,
AKIAMBATANA NA COM MPOKWA,,kwa pamoja waliwapongeza vijana hao kwa moyo wao wakujenga UVCCM imara...
AKIAMBATANA NA COM MPOKWA,,kwa pamoja waliwapongeza vijana hao kwa moyo wao wakujenga UVCCM imara...
 mkuu wautawala alisema.."..tunatafuta utaratibu mzuri zaidi wa kuona 
tunaimarishaje matawi ya umoja wa vijana vyuoni nchi nzima,,,baada ya 
kikao na viongozi wenzangu tutawajulisha nini tumeamua kwa pamoja....."
- James Rock Mwakibinga and 21 others like this.
 - Asenga Abubakar Watu wanashindwa kuelewa nn maana ya neno Maalumu bad Kama hvyo chadema students org isingekuwa na maana
 - Joshua Victor Nkini ndg yangu kuwa mwelewa mwani siasa zimezuiwa kufanywa maeneo ya vyuoni,maofisini au mashuleni ila haijakataza mwanafunzi,mwanachuo au mfanyakazi kua na chama au kua mwanasiasa
 








No comments:
Post a Comment