TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, July 17, 2014

MOTO WA MWANANYAMALA NA ROHO ZA UKATILI WA MIOYO YA WATANZANIA


Hii Ilikuwa Kama Picha ya Kivietinamu, maana tukio lenyewe ilikuwa kama jambo la kawaida kuona moshi wa Moto, ukianza Mdogo mdogo, Kamera Yetu inayoangaza pande zote yenyewe kazi yake ilikuwa ni kuhakikisha inakusanya vipande vipande (Crips) za Matukio isipikuwa Mkanda huu meneja aliyeandaa Vipande hivi naona hakutarajia kama kutatokea madhara makubwa kama ilivyo sasa, Pengine kwa mtazamo wake baada ya kuangalia Mikanda ya Wenzetu wa huko Majuu, Maana Movie za wenzetu kama unavyojua  tena, Wakiamua kutumia Magari basi Wanayateketeza kwa moto ili mradi tu Sinema hiyo Ikamilike, Tren na hata NDEGE.
Sasa mimi najiuliza kweli inakuwaje Moto Mkubwa kama huo unatokea wakati Vyombo husika vipo tena Mwananyamala Siyo Eneo ambalo utasema hakuna vitendea kazi, Vyombo husika vipo na Vimewekeza kwenye ardhi ya Mwananyamala, Watu walikuwapo wengi sana wa kuweza kuleta Amani kwa Kuchukua hatua Mapema, Kila Mtu siku hizi hakosi kuwa na Simu Mkononi, Sasa nikuulize wewe unayesoma muda huu hii habari, hiyo simu yako Mkononi unajua Matumizi yake? au ya kwako kazi yake ni kuwasiliana na huyo Mkeo/Mmeo/Boyfred/mchumba/biashara gani?Wizi tu; au kwa kuwa siku hizi kuna hata simu za Shilingi 1500? ndiyo maana hata wewe unayo, maana Simu ZENU hizo kuwaka zinawaka ila kubonyezeka hazibonyezeki.
Umbea tu unakusumbua, kuwa mwandishi wa habari basi utafute habari na utuletee matukio unayodhani kwamba unapenda yaendelee kutokea, unapata faida gani unaposhuhudia Uharibifu Mkubwa tena wa hatari kubwa ususani kwa Watoto wasiojua jinsi ya kujikwamua, au ndiyo ukomavu sasa wa Watanzania katika Maandalizi ya Uvunjifu wa Amani wa Makusudi unaoutafuta kwa Visingizio Visivyoturidhisha?
Tafakari@Kuhusu Mwananyala.

No comments:

Post a Comment