TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, February 27, 2016

WAZIRI Nape awapongeza Efm

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza wakati wa hafla ya kutimiza mwaka mmoja kwa kipindi cha Makao Makuu ya Michezo (Sports Head Quarter) kinachorushwa hewani kupitia 93.1 Efm Radio jana jijini Dar es Salaam.
 Mtendaji wa EfmRadio Frances Ciza akizungumza wakati wa hafla ya kutimiza mwaka mmoja kwa kipindi cha Makao Makuu ya Michezo (Sports Head Quarter) kinachorushwa hewani kupitia 93.1 Efm Radio jana jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akikata keki ya birthday ya kipindi cha Makao Makuu ya Michezo (Sports Head Quarter) kinachorushwa hewani kupitia 93.1 Efm Radio jana jijini Dar es Salaam.Kipindi hicho kimetimiza mwaka mmoja tokea kuanzishwa kwake.Kulia nim Mkurugenzi Mtendaji wa EFM Radio Francis Ciza.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (wapili kulia) pamoja na mashabiki wa Timu za Taifa wakiwa wameshika  keki ya birthday ya kipindi cha Makao Makuu ya Michezo (Sports Head Quarter) iliyotolewa na mashabiki hao wakati wa hafla kutimiza mwaka mmoja tokea kuanzishwa kwa kipindi hicho jana jijini Dar es Salaam.Picha Frank Shija, WHUSM

No comments:

Post a Comment