TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, March 30, 2016

JAJI MKUU WA TANZANIA AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MAHAKAMA KATIKA MIKOA YA IRINGA, NJOMBE NA RUVUMA, AISIFU MAHAKAMA KANDA YA SONGEA KWA KUFANYA VIZURI.










AIRTEL FURSA YAFIKIA VIJANA WILAYANI NGARA

Profesa Muhongo: Kamilisheni miradi ya umeme vijijini kwa wakati


Na Latifah Boma Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewataka wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) awamu ya pili kufanya kazi kwa kasi zaidi ili umeme uweze kuwafikia walengwa kabla ya mwezi Juni mwaka huu.Akizungumza na watendaji kutoka kampuni ya CCC International Nigeria Limited, inayosambaza umeme katika mkoa wa Manyara, Profesa Muhongo alisema kuwa hajaridhishwa na kasi ya kampuni hiyo katika utekelezaji wa miradi ya umeme katika wilaya ya Simanjiro ambapo hakuna wateja waliounganishiwa umeme. Pia, Profesa Muhongo amelitaka Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) kufanya kazi kwa karibu na wakandarasi hao katika kutatua changamoto zinazowakabili ili waweze kukamilisha miradi hiyo kwa wakati. Aliwataka mameneja wa TANESCO kuongeza juhudi katika kazi zao ikiwa ni pamoja na makusanyo, utatuaji wa changamoto na uunganishaji wa umeme kwa wateja, na kusisitiza kuwa meneja atakayeshindwa kutekeleza majukumu yake ataondolewa katika nafasi yake. Awali, akielezea changamoto katika utekelezaji wa miradi ya umeme meneja mradi kutoka CCC International Nigeria Limited.Zhang Jiangaang, alieleza kuwa wamekuwa wakiibiwa vifaa vyao vya kazi kutokana na kuwepo kwa usalama mdogo hivyo kupelekea kutokamilisha mradi kwa wakati kutokana na hasara wanayoipata. 

WADAU WA SEKTA YA USAFIRI WA ANGA WAKUTANA KUJADILI MPANGO KAMAMBE WA USAFIRI WA ANGA ( CIVIL AVITIATION MASTER PLAN) JIJINI DAR ES SALAAM LEO



Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt Leonard Chamuriho akifungua warsha ya kujadili rasimu ya Mpango Kamambe wa Sekta ya Usafiri wa Anga( The Civil Aviation master Plan) iliyofanyika makao makuu ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA). Banana - Ukonga jijini Dar es Salaam leo. 

Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt Leonard Chamuriho(katikati) Mkurugenzi Mkuu wa TCAA, Hamza Johari(Kulia) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Mhandisi George Sambali (kushoto) wakiwa kwenye warsha ya kujadili rasimu ya Mpango Kamambe Sekta ya Usafiri wa Anga( The Civil Aviation master Plan) warsha hiyo ilifanyika katika ofisi za Makao makuu ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) ), Banana - Ukonga jijini Dar es Salaam leo.

Baadhi ya wadau mbali mbali wa sekta ya usafiri wa anga wakishiriki warsha ya kujadili rasimu ya Mpango wa Sekta ya Usafiri wa Anga( The Civil Aviation master Plan) uliofanyika makao makuu ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), Banana - Ukonga jijini Dar es Salaam leo.

WANAWAKE DODOMA WANUFAIKA NA ELIMU YA UJASILIAMALI INAYOTOLEWA NA MANJANO FOUNDATION

Ziara ya Mafuzo ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa

 Leo Jumatano tarehe 30 Machi 2016 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa chini ya Makamu Mwenyekiti Mh. Dkt. Pudenciana Kikwembe walipata fursa ya kutembelea ofisi za MKURABITA kwa ajili ya kujifunza juu ya madhumuni na shughuli za MKURABITA nchini.

Prof. Mbarawa afanya ziara kushtukiza KOJ Kurasini

 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akiongea na baadhi ya wafanyakazi wa TPA eneo la kupakulia mafuta yanayoingia nchini (KOJ) Kurasini leo jijini Dar es salaam. Wa kwanza kulia Mhandisi anayefanya kazi eneo la KOJ Jabiri Muyones.
 Kapteni Abdulla Mwingamno (kulia) akimuonesha Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa (kushoto) baadhi ya vifaa vya kituo cha kupakulia mafuta yanayoingia nchini (KOJ) Kurasini leo jijini Dar es salaam.
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akiongozana na Mhandisi anayefanya kazi eneo la KOJ Jabiri Muyones alipotembelea TPA eneo la kupakulia mafuta yanayoingia nchini (KOJ) Kurasini leo jijini Dar es salaam.

China yaonesha nia ya kuwekeza kwenye sekta ya nishati

























A pioneering webinar to bring together Supplier Management representatives from Boeing Defense, Space & Security and Tunisian aerospace manufacturers

Agence de Promotion de l'Investissement Extérieur (FIPA) - Tunisie

PRESS RELEASE
A pioneering webinar to bring together Supplier Management representatives from Boeing Defense, Space & Security and Tunisian aerospace manufacturers
Boeing presented eligibility requirements and a road map for what it takes to become a Boeing supplier
TUNIS, Tunisia, March 30, 2016/ -- In partnership with the Tunisian Foreign Investment Promotion Agency (FIPA) (www.InvestInTunisia.tn), the USAID-financed Business Reform & Competitiveness Project (BRCP) sponsored a pioneering webinar to bring together Supplier Management representatives from Boeing Defense, Space & Security (www.Boeing.com/defense) and Tunisian aerospace manufacturers.

Fiston Mwanza Mujila Announced Winner of the 2015 Etisalat Prize for Literature

Etisalat
PRESS RELEASE
Mujila is the first Francophone writer to win the prestigious Etisalat Prize, the first ever pan-African prize that celebrates debut fiction books by African authors
LAGOS, Nigeria, March 30, 2016/ -- Poet and novelist Fiston Mwanza Mujila was on Saturday, 19th March 2016 announced as the winner of the 2015 Etisalat Prize for Literature (http://Prize.Etisalat.com.ng) for his first novel, Tram 83. Originally written in French, Tram 83 was translated into English by Roland Glasser and published by Deep Vellum. 35-year-old Mujila is the first Francophone writer to win the prestigious Etisalat Prize, the first ever pan-African prize that celebrates debut fiction books by African authors.

Fiston Mujila was announced winner by the Chair of judges, Ato Quayson, at the award ceremony held at Intercontinental Lagos Hotel, which was broadcast live on Hip TV and viewed by over 30 million people across Africa. The event was also live-streamed on the internet.

Mujila was presented with a £15,000 cheque, an engraved Montblanc Meisterstück and an Iphone 6S. He will also have the opportunity to attend the Etisalat Fellowship, worth £13,000, at the prestigious University of East Anglia, United Kingdom, under the mentorship of Professor Giles Foden.

Born in Lubumbashi, Democratic Republic of Congo, in 1981, Mujila studied Literature and Human Sciences at Lubumbashi University. He now lives in Graz, Austria and is pursuing a PhD in Romance Languages. He has won many accolades for his writing, including the Gold Medal at the 6th Jeux de la Francophone in Beirut as well as the Best Text for Theater (State Theater, Mainz) in 2010. His writings are a response to the socio-political turbulence of post-independence Congo.

Energy and Environment Partnership Southern and East Africa announces opening of its 12th and 13th Call for Proposal

eep.JPG
PRESS RELEASE
Energy and Environment Partnership Southern and East Africa announces opening of its 12th and 13th Call for Proposal
The overall objective of the Programme is to reduce poverty through inclusive and job-creating green economy and improved energy access and security in the Southern and East Africa regions while mitigating global climate change
JOHANNESBURG, South Africa, March 29, 2016/ -- As a challenge fund, the Energy and Environment Partnership Programme with Southern and East Africa (EEP S&EA) (http://www.EEPAfrica.org) is seeking high-quality applications for projects in the two regions that can contribute to the reduction of poverty by promoting inclusive and job-creating green economy and by improving energy security while mitigating global climate change. EEP is jointly funded by the Ministry for Foreign Affairs of Finland (lead donor), the UK Department for International Development (DFID) and the Austrian Development Agency (ADA) while the EEP Coordination Office (ECO) is hosted by KPMG.

The partnership supports projects in Botswana, Burundi, Kenya, Lesotho, Mozambique, Namibia, Rwanda, Seychelles, South Africa, Swaziland, Tanzania, Uganda and Zambia.

The overall objective of the Programme is to reduce poverty through inclusive and job-creating green economy and improved energy access and security in the Southern and East Africa regions while mitigating global climate change. The immediate Programme objective is to achieve greater access to sustainable energy services through the fast tracking of RE/EE project demonstration and deployment, including through technological learning and private sector investment. Each EEP S&EA project supports these Programme objectives.

EEP Southern and East Africa Opens Simultaneously Two Funding Windows for Early Stage (CfP12) and Market Ready (CfP13) Projects. Both Windows Are Now Open For First Proposal Submissions.

Deadline for the submissions is April 25th, 2016 at 10h00 (South African time, GMT +2)

The applications for both windows are sought in two stages: 1) first application stage (current stage), based on which successfully ranked applicants are invited to submit 2) second application stage, the final project proposals.

First stage applications will be screened in terms of key criteria, including of the following types: a) technical scope b) business idea  c) development impacts and climate change mitigations d) finance and capacity of the applicant and e) regional aspects.

When preparing the application, it is of high importance to explain how the proposed project fulfils the following eligibility conditions “six rules”  as clearly as possible: 1) Clear development rationale and an economic rationale, 2) Clear demonstration of additionality, 3) Clear sustainable development outcomes, 4) Minimisation of market distortions, 5) Credible contribution to achieving systemic market impact, and 6) Incentives that are aligned with commercial partners. These are the criteria that the applicant needs to adhere to for having the opportunity to obtain EEP funding (please see Application Guidelines for details).

The Guidelines also address so called “red flags”, which are topics and conditions that cannot be funded by the EEP.

In addition, specific attention needs to be given to the following cross cutting characteristics; gender, poverty reduction, innovation and difficult markets.

For the projects selected through CfP12 and CfP13, the project implementation period starting in August 2016 is limited to 15 months.

CfP12 - Early Stage projects

The projects supported in CfP12 can be “last-mile” feasibility studies, pilot or demonstration projects. The scope of this Call for Proposals (CfPs) is limited to projects that deal with the development phase of renewable energy and energy saving/energy efficiency projects. The proposed project must comprise of activities that are part of a cycle leading to further investment and sustainable commercialization. The maximum grant allocation for a selected CfP12 project can fall in the range € 100 000 – 300 000 with a co-financing requirement a minimum of 30%.

CfP 13 – Market ready projects

The projects supported in CfFP13 are scale up to commercial operation, replication of commercially proven concepts to new markets (nationally or internationally) and rejuvenation of existing renewable energy and energy efficiency generation projects. Market Ready is to offer financing to projects that have a particularly strong possibility for raising other (commercial) sources of finance for project implementation, replication and/or scaling up. As concrete outputs, this result area will be characterized by the development of bankable renewable energy and energy efficiency demonstration of project proposals that involve technological, financing or business model innovation. The maximum grant allocation for a selected CfP13 project can fall in the range € 200,000 - € 1,000,000 depending on the project scope and level of verifiable co-financing brought in by the project.

Detailed information on the two Call for Proposals, as well as the online application tool, can be found at the Programme’s website at http://www.EEPAfrica.org
Distributed by APO (African Press Organization) on behalf of Energy and Environment Partnership Programme with Southern and East Africa (EEP S&EA).

CONTACT:
E-mail:
eep.cfp@kpmg.fi
Telephone: +27 (71) 7426081, between 10-14 South-African time (GMT+2.00)

Read more about EEP S&EA and subscribe to our newsletter at
http://www.EEPAfrica.org
SOURCE
Energy and Environment Partnership Programme with Southern and East Africa (EEP S&EA)
Multimedia content
Share
Twitter |  Facebook |  LinkedIn |  Google+ |  Tumblr |  Reddit |  Pinterest |  StumbleUpon

Benki ya Kilimo yajidhatiti kusaidia upatikanaji wa Masoko nchini


,













Tuesday, March 29, 2016

RAIS DKT. MAGUFULI APATA CHAKULA CHA MCHANA MGAHAWANI UWANJA WA NDEGE WA MWANZA AKIWA NJIANI KUELEKEA CHATO.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Joseph Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli pamoja na viongozi wa mkoa wa Mwanza wakijipatia chakula cha mchana katika mgahawa wa Victoria uliopo nye ya Uwanja wa Ndege wa Mwanza alipopumzika kwa muda kabla ya kuelekea nyumbani kwake Chato mkoani Geita kwa mapumziko mafupi. Pamoja nao mezani hapo ni Meya wa Ilemela Mstahiki Renatus Mulunga, Meya wa jiji la Mwanza Mstahiki James Bwire, Mkuu wa Mkoa wa MWanza  Mhe John Mongella na Mwenyekiti wa CCM Mkoa huo Ndg Anthony Diallo.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Joseph Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli pamoja na viongozi wa mkoa wa Mwanza wakiondoka baada ya kupata  chakula cha mchana katika mgahawa wa Victoria uliopo nye ya Uwanja wa Ndege wa Mwanza alipopumzika kwa muda kabla ya kuelekea nyumbani kwake Chato mkoani Geita kwa mapumziko mafupi. 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Joseph Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli pamoja na viongozi wa mkoa wa Mwanza wakiwa katika picha ya pamopja na kwaya ya Vijana ya Makongoro na viongozi wa dini katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza alipopumzika kwa muda kabla ya kuelekea nyumbani kwake Chato mkoani Geita kwa mapumziko mafupi.
PICHA NA IKULU.

BALOZI HAULE ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO.

 Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Mhe. John Haule akitia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) nchini Kenya, Mhe. TADUMI ON'OKOKO, kwenye Ubalozi wa DRC Nairobi leo, Mhe. ON'OKOKO, ambaye pia alikuwa mwenyekiti wa Mabalozi wanaowakilisha nchi zao Kenya, alifariki dunia tarehe 20 Machi 2016 huko Paris, Ufaransa, ambako alikuwa anatibiwa. Anayeshuhudia ni Kaimu Balozi wa DRC, Mhe. Michel Mubare, ambaye alifahamisha kuwa marehemu atazikwa Kinshasa baada ya mipango kukamilika.
 Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Mhe. John Haule (Kulia) akimfariji Kaimu Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mhe. Michel Mubare,  baada ya kutia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Balozi wa nchi hiyo Kenya, Mhe. Tadumi On'okoko jijini Nairobi leo.

TANZANIA NA KUWAIT ZASAINI MAKUBALIANO YA SAFARI ZA ANGA JIJINI DAR LEO.

 aziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam mara baada ya kusaini hati ya makubaliano ya safari za Anga kati ya Tanzania na Kuwait. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kuwait, Mhandisi Yousef Al Fozan.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kuwait, Mhandisi Yousef Al Fozan akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kusaini hati ya makubaliano ya safari za Anga kati ya Tanzania na Kuwait. Kulia ni Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa (kulia katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kuwait (Kushoto katikati).Wengine katika picha hiyo ni Maafisa kutoka Tanzania na Kuwait. 
Picha na Eleuteri Mangi –MAELEZO.