TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, January 18, 2012

TASWIRA KATIKA JIJI LA DAR ES SALAAM NDIYO HII

 Hali hii inasababishwa na Ukosefu wa Ajira, hivyo Vijana wengi ukaa vijiweni kucheza Michezo kama hii, hali inayosababisha kuzorota kwa Uchumi kwa kuwa nguvu kazi ya Vijaa Upotea
 Hali ya Usafiri katika jiji la Dar es Salaam, majira ya Asubuhi na Jioni ni mbaya hivyo Abiria wengi Upata magari kwa Taabu kiasi ambacho uwafanya wengine kutembea kwa Miguu kurejea majumbani
 Hali ya Machinga kwa jiji la Dar es Salaam, inazidi kushamili kila kukicha, pamoja na kwamba maeneo ambayo wameondolewa ndo sasa biashara imeshika usukani
 Hawa jama wamekaa juu ya Waya, hii ni hatari pale inapotokea ajali na hata kwa usalama wao pia
 Baada ya kusiubiri Usafiri kwa Muda mrefu bila mafanikio, baadhi ya wakazi wa jiji wanaonekana kuchapa mwendo mdogomdogo kurejea kwenye makazi yao
 Baada ya kusiubiri Usafiri kwa Muda mrefu bila mafanikio, baadhi ya wakazi wa jiji wanaonekana kuchapa mwendo mdogomdogo kurejea kwenye makazi yao
 Hali ya Maisha inazidi kuwa ngumu kwa baadhi ya familia hata kushindwa kupeleka watoto shule na hivyo kujiingiza katika soko la Biashara kama walivyokutwa watoto hawa jiji jana
 Hili ni eneo la Barabara, katika Soko Kuu la Kariakoo, hata hivyo wafanyabiashara wamezingira hadi eneo la Barabara hata kusababisha magari mengi kupita kwa taabu
Vijana wakiendelea na biashara zao kwenye Mtaa wa Kongo Dar es Salaam leo(Picha Zote na Shaaban Mpalule).

No comments:

Post a Comment