TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, July 23, 2014

MKUTANO MKUU WA BRN WAFANYIKA JIJINI DAR.

    Gavana  wa  Benki   Kuu  ya  Tanzania,  Prof.  Benno  Ndulu   akichangia   hoja   wakati  wa mkutano  wa  kupitia  taarifa  ya  mwaka mmoja ya utekelezaji  wa  Mpango  wa  Matokeo  Makubwa  sasa (BRN) uliofanyika  leo  Jumatano   Julai  23,  2014  katika  ukumbi   wa Mwalimu  Nyerere  Jijini  Dar es  Salaam.  Kulia  ni  Katibu   Mkuu  wa Wizara  ya Maji  na  Umwagiliaji  Mhandisi  Bashir Mrindoko
Katibu  Mkuu  Kiongozi  Balozi   Ombeni  Sefue  akichangia  hoja  wakati mkutano wa kupitia taarifa  ya  mwaka  mmoja  ya  utekelezaji  wa Mpango wa Matokeo Makubwa sasa uliofanyika leo Jumatano   Julai  23,  2014  katika ukumbi   wa Mwalimu  Nyerere Jijini  Dar es  Salaam. Kulia  ni Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Asha- Rose  Migiro   na (katikati)  Mtendaji  Mkuu  wa  Ofisi  ya  Rais-  Usimamizi  wa  Utekelezaji  wa  Miradi  (PDB),  Bw. Omari Issa.
 Naibu  Waziri  wa Viwanda  na Biashara, Mhe. Janet Mbene akichangia  hoja  wakati mkutano wa kupitia taarifa ya  mwaka  mmoja  ya  utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa sasa uliofanyika leo Jumatano   Julai  23,  2014  katika ukumbi   wa Mwalimu  Nyerere Jijini  Dar es  Salaam. Kushoto  ni Katibu  Mkuu Ofisi  ya Waziri Mkuu Tawala  za  Mikoa  na Serikali  za Mitaa (TAMISEMI), Bw. Jumanne Sagini.
 .       Naibu  Waziri  wa  Katiba  na  Sheria, Mhe. Angellah Kairuki (katikati)  akichangia  hoja  wakati mkutano wa kupitia taarifa ya  mwaka  mmoja  ya  utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa sasa uliofanyika leo Jumatano   Julai  23,  2014  katika ukumbi   wa Mwalimu  Nyerere Jijini  Dar es  Salaam.
1.       Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Harrison Mwakyembe  (kulia) akichangia akichangia  hoja  wakati mkutano wa kupitia taarifa ya  mwaka  mmoja  ya  utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa sasa uliofanyika leo Jumatano   Julai  23,  2014  katika ukumbi   wa Mwalimu  Nyerere Jijini  Dar es  Salaam. Kutoka  kushoto  ni  Waziri  wa  Elimu na Mafunzo  ya Ufundi,  Mhe. Shukuru  Kawambwa,  Naibu  Waziri  wa Fedha  na Uchumi, Mhe.  Mwigulu Nchemba,  na Katibu  Mkuu wa  Wizara  ya Nishati  na Madini,  Eliakim Maswi.

(PICHA NA ISMAIL NGAYONGA- MAELEZO)

No comments:

Post a Comment