TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, March 10, 2015

NHIF MOROGORO YAADHIMISHA WIKI YA WANAWAKE KWA KUTEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA MKOANI MOROGORO

ha1 
Katika kuadhimisha wiki hiyo Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ulitembelea kituo cha watoto yatima cha Aldee Musleem Chidren Centre cha Morogoro , na kugawa vitu mbalimbali ili kukidhi mahitaji ya kituo hicho vikiwemo vyandarua, vyakula na vifaa vya shule kama anavyoonekana Kiongozi wa msafara wa wafanyakazi wa NHIF Bi. Rose Ongara akikabidhi zawadi hizo kwa mmoja wa viongozi wa kituo hicho Bwana Rajabu Shomari. ha2Baadhi ya watoto wa kituo hicho wakikabidhiwa zawadi hizo na kiongozi wa msafara kutoka NHIF Bi Rose Ongara pamoja na wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya mkoani Morogoro. ha3Bi.Rose Ongara akifurahi na watoto wa kituo hicho wakati akikabidhi zawadi hizo.

No comments:

Post a Comment